Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikutania??Hao wenye Ualbino kwao Ruksa kutania na kudhalilisha wenzao wakitaniwa wao ni kosa! Hili nalo mkalitizame[emoji419]
Ngoja waje wakulungwa watusaidie.Naomba hyo picha
Kwa hiyo wanamke akikubali kupigwa miti hadharani siyo ishubkwa kua kalipwa??Mlemavu mwenyewe aliridhia baada ya Kula hela ndefu
Hoja yako ni Nini???𝔸𝕝𝕓𝕚𝕟𝕠 𝕟𝕚 𝕓𝕚𝕟𝕒𝕕𝕒𝕞𝕦 𝕡𝕚𝕒 𝕜𝕠 𝕒𝕟𝕒𝕨𝕖𝕫𝕒 𝕗𝕒𝕟𝕪𝕒 𝕝𝕠𝕝𝕠𝕥𝕖 𝕟𝕒 𝕚𝕜𝕒𝕨𝕒 𝕜𝕒𝕨𝕒𝕚𝕕𝕒 𝕥𝕦 𝕞𝕫𝕖𝕖...vipi kama angekua mtu wa kawaida?je mngehoji?basi wasipwe fursa maana wakipewa wanasema ni udhalilishaji.
Kwa hiyo cabinet nzima ya Simba ilijipanga kumtania Manara ??Hao wenye Ualbino kwao Ruksa kutania na kudhalilisha wenzao wakitaniwa wao ni kosa! Hili nalo mkalitizame[emoji419]
We mwaka huu utapata shida sana...poleChama cha watu wenye Ualbino Tanzania (TAS) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wameitaka klabu ya Simba kuomba radhi kwa tukio waliloita la udhalilishaji.
Tukio hilo lilitokea Agosti 6, 2023 kwenye sherehe ya tamasha la siku ya Simba yaliyofanyika uwanja wa Taifa wa Benjamini Mkapa jijini hapa kwa kumpandisha mtu mwenye ulemavu wa ngozi akiwa amevishwa taulo ya watoto (baby diaper).
Msemaji wa Simba Ahmed Ally alipoulizwa kwa simu leo, amesema wamesikia na wapo tayari kufanya hivyo.
“Wamesema tuombe radhi? Basi sawa. Kwa sasa tuko busy na mechi ya kesho, akili yetu yote ipo kwa kwa ajili ya kesho. Haya mambo mengine tukianza kujibu tutavuruga utaratibu. Nitamuuliza CEO tuone tunafanya nini,” amesema.
Maoni yangu: mbunifu wa Simba sc katika matamasha hafai na hafai kabisa kiufupi anaichafua taasisi hii kwa kudhani kuwa anawafurahisha watu kumbe anadharirisha watu.
Hilo linapaswa kukemea kwa hali na Mali Tena kwa sauti kuu katika mpira wetu huu Tanzania.
Kwa nini albino ndio walalamike? Hawa watu wana tabia ya kujinyanyapaa sana!!! Ina maana angefanya hivyo mtu ambaye si albino wangelalamika kuwa binadamu amenyanyaswa?? Haya malalamiko yanawadhalilisha zaidi kwa mtazamo wangu!! Msanii anaweza kuvaa chochote!! aliyevaa hivyo si albino bali ni mtu msanii!! Sisi hatukumwona kama albino, tulimwona kama mtu msanii, bali wao albino hawakumwona kama mtu msanii bali walimwona kama albino akidhalilishwa!!Chama cha watu wenye Ualbino Tanzania (TAS) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wameitaka klabu ya Simba kuomba radhi kwa tukio waliloita la udhalilishaji.
Tukio hilo lilitokea Agosti 6, 2023 kwenye sherehe ya tamasha la siku ya Simba yaliyofanyika uwanja wa Taifa wa Benjamini Mkapa jijini hapa kwa kumpandisha mtu mwenye ulemavu wa ngozi akiwa amevishwa taulo ya watoto (baby diaper).
Msemaji wa Simba Ahmed Ally alipoulizwa kwa simu leo, amesema wamesikia na wapo tayari kufanya hivyo.
“Wamesema tuombe radhi? Basi sawa. Kwa sasa tuko busy na mechi ya kesho, akili yetu yote ipo kwa kwa ajili ya kesho. Haya mambo mengine tukianza kujibu tutavuruga utaratibu. Nitamuuliza CEO tuone tunafanya nini,” amesema.
Maoni yangu: mbunifu wa Simba sc katika matamasha hafai na hafai kabisa kiufupi anaichafua taasisi hii kwa kudhani kuwa anawafurahisha watu kumbe anadharirisha watu.
Hilo linapaswa kukemea kwa hali na Mali Tena kwa sauti kuu katika mpira wetu huu Tanzania.
Hakuna cha ajabu. Mwaka jana liliingizwa jeneza, watu wakataka waombwe radhi, wakaombwa ila ujumbe ulifika. Mwaka huu pia wataomba radhi ila ujumbe umefika. Mwaka ujao pia ataletwa albino kwa utaratibu mwingine, wataombwa radhi ila ujumbe utakuwa umefika. Madam si kinyume na sheria yoyote ya nchi au ya soka, albino wataendelea kuletwa na wataombwa radhi, yataisha ila ujumbe utakuwa umefikaChama cha watu wenye Ualbino Tanzania (TAS) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wameitaka klabu ya Simba kuomba radhi kwa tukio waliloita la udhalilishaji.
Hakukuwa na udhalilishaji wowote.
Shida unazijua jikite kwenye hoja.We mwaka huu utapata shida sana...pole
Kwa hiyo hao wanaolalamika wamewasingizia??Hakukuwa na udhalilishaji wowote.
Basi uwe na subira pia watafanya marekebisho na siyo kuwatupia lawama papo kwa hapo.Wanakosea BBC na CNN na wanakuambia kumradhi Mimi Nani nisikosee.
Jikite kwenye hoja.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe ni msemaji wao??Basi uwe na subira pia watafanya marekebisho na siyo kuwatupia lawama papo kwa hapo.
Hapana ni mtoa maoni kama wewe
Kweli kabisa Azam walificha Hilo tendo.Me nilijua ni uzushu kumb kweli,. Ndomana Azam hawakutuonyesha live kwani walijua wazi ni tukio la udhalilishaji na ingewaangukia wao moja Kwa moja .
Dogo anatafuta sana attention😂😂kila saa anafungua uziLakini na wewe ulipaswa kuwa na utulivu,ukahakikisha makosa kwa kichwa cha habari hayapo.Hakukuwa na sababu ya kukimbilia kupost na makosa mengi kisha lawama uwatupie Moderators kwa kuchelewa ku edit makosa yako ya uandishi.
Kuna utani mwingine haufai, hapo walitaka kufanya Nini sasa au maana Yao Nini, kuharibu tu sherehe na kuleta makandokando yasio na maana.