Klabu ya Simba yatakiwa kuomba radhi kwa tukio linalodaiwa kudhalilisha watu wenye ualbino kwenye tamasha lao

Klabu ya Simba yatakiwa kuomba radhi kwa tukio linalodaiwa kudhalilisha watu wenye ualbino kwenye tamasha lao

MAISHA hayapo Hivo.

1. Chiba Alikuwa ANACHEZA ya moto Band nani alimdhalilisha????

2.Manara Alikuwa Mc nani alimdhalilisha?????

3. Keysha Alikuwa anaimba nani aliyemdhalilisha????

4. Zungu Alikuwa WASAFI nani aliyemdhalilisha???

MBELE KWA WENZETU
5. De brune na scores nani amewazalilisha.


Angevaa suti nadhani asingeonyeshwa amedhalilishwa.


MTU ANAONESHA KIPAJI CHAKE MNASEMA WAMEMDHALILISHA.

UJINGA UKIZIDI UNAKIWA U TAHIRA.
 
Potelea mbali lakini Tamasha lilifana sana kuliko la kwenu. Haya tusamehe basi
 
MAISHA hayapo Hivo.

1. Chiba Alikuwa ANACHEZA ya moto Band nani alimdhalilisha????

2.Manara Alikuwa Mc nani alimdhalilisha?????

3. Keysha Alikuwa anaomba nani aliyemdhalilisha????

MBELE KWA WENZETU
4. De brune na scores nani amewazalilisha.

MTU ANAONESHA KIPAJI CHAKE MNASEMA WAMEMDHALILISHA.

UJINGA UKIZIDI UNAKIWA U TAHIRA.
Hayo maswali unamuuliza Nani??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini albino ndio walalamike? Hawa watu wana tabia ya kujinyanyapaa sana!!! Ina maana angefanya hivyo mtu ambaye si albino wangelalamika kuwa binadamu amenyanyaswa?? Haya malalamiko yanawadhalilisha zaidi kwa mtazamo wangu!! Msanii anaweza kuvaa chochote!! aliyevaa hivyo si albino bali ni mtu msanii!! Sisi hatukumwona kama albino, tulimwona kama mtu msanii, bali wao albino hawakumwona kama mtu msanii bali walimwona kama albino akidhalilishwa!!
MBUMBUMBU ameongea hapa, kwahiyo Simba walikosa mtu wakachukua albino?
 
Kwa nini albino ndio walalamike? Hawa watu wana tabia ya kujinyanyapaa sana!!! Ina maana angefanya hivyo mtu ambaye si albino wangelalamika kuwa binadamu amenyanyaswa?? Haya malalamiko yanawadhalilisha zaidi kwa mtazamo wangu!! Msanii anaweza kuvaa chochote!! aliyevaa hivyo si albino bali ni mtu msanii!! Sisi hatukumwona kama albino, tulimwona kama mtu msanii, bali wao albino hawakumwona kama mtu msanii bali walimwona kama albino akidhalilishwa!!
Mko tayari kutetea ujinga sababu ya ushabiki!!
 
Wadau hao wametoa wito kwa kuitaka klabu ya Simba kuomba radhi kwa watu wenye ualbino na umma wa watanzania kwa vitendo vinavyodaiwa kutweza utu wa watu wenye ualbino na wameiomba Serikali pamoja na Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kusimamia jambo hilo.
Zungu amekushushua huku

1691585527068.png
 
Asingekua albino ingekuaje?
Acha ujinga wewe kuna brand moja ya nguo Marekani walipost picha ya mtoto mwenye asili ya kiafrika halafu kwenye caption wakaandika "cool monkey in the jungle" ..unajua nini kilifuata baada ya hapo? Ile habari ilifika hadi humu jf.
 
Sasa kama wanamlenga manara walitaka tunda man amtumie nani kufikisha ujumbe???..
 
Chama cha atu wenye Ualbino Tanzania (TAS) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wameitaka klabu ya Simba kuomba radhi kwa tukio waliloita la udhalilishaji.

Tukio hilo lilitokea Agosti 6, 2023 kwenye sherehe ya tamasha la siku ya Simba yaliyofanyika uwanja wa Taifa wa Benjamini Mkapa jijini hapa kwa kumpandisha mtu mwenye ulemavu wa ngozi akiwa amevishwa taulo ya watoto (baby diaper).

Msemaji wa Simba Ahmed Ally alipoulizwa kwa simu leo, amesema wamesikia na wapo tayari kufanya hivyo.

“Wamesema tuombe radhi? Basi sawa. Kwa sasa tuko busy na mechi ya kesho, akili yetu yote ipo kwa kwa ajili ya kesho. Haya mambo mengine tukianza kujibu tutavuruga utaratibu. Nitamuuliza CEO tuone tunafanya nini,” amesema.

Maoni yangu: mbunifu wa Simba sc katika matamasha hafai na hafai kabisa kiufupi anaichafua taasisi hii kwa kudhani kuwa anawafurahisha watu kumbe anadharirisha watu.

Hilo linapaswa kukemea kwa hali na Mali Tena kwa sauti kuu katika mpira wetu huu Tanzania.
Sio atu ni watu.
 
Back
Top Bottom