Klabu ya Simba yatakiwa kuomba radhi kwa tukio linalodaiwa kudhalilisha watu wenye ualbino kwenye tamasha lao

Hoja yako ni Nini???

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We mwaka huu utapata shida sana...pole
 
Kwa nini albino ndio walalamike? Hawa watu wana tabia ya kujinyanyapaa sana!!! Ina maana angefanya hivyo mtu ambaye si albino wangelalamika kuwa binadamu amenyanyaswa?? Haya malalamiko yanawadhalilisha zaidi kwa mtazamo wangu!! Msanii anaweza kuvaa chochote!! aliyevaa hivyo si albino bali ni mtu msanii!! Sisi hatukumwona kama albino, tulimwona kama mtu msanii, bali wao albino hawakumwona kama mtu msanii bali walimwona kama albino akidhalilishwa!!
 
Chama cha watu wenye Ualbino Tanzania (TAS) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wameitaka klabu ya Simba kuomba radhi kwa tukio waliloita la udhalilishaji.
Hakuna cha ajabu. Mwaka jana liliingizwa jeneza, watu wakataka waombwe radhi, wakaombwa ila ujumbe ulifika. Mwaka huu pia wataomba radhi ila ujumbe umefika. Mwaka ujao pia ataletwa albino kwa utaratibu mwingine, wataombwa radhi ila ujumbe utakuwa umefika. Madam si kinyume na sheria yoyote ya nchi au ya soka, albino wataendelea kuletwa na wataombwa radhi, yataisha ila ujumbe utakuwa umefika
 
Reactions: BRN
Me nilijua ni uzushi kumbe kweli,. Ndomana Azam hawakutuonyesha live kwani walijua wazi ni tukio la udhalilishaji na ingewaangukia wao moja Kwa moja .
 
Lakini na wewe ulipaswa kuwa na utulivu,ukahakikisha makosa kwa kichwa cha habari hayapo.Hakukuwa na sababu ya kukimbilia kupost na makosa mengi kisha lawama uwatupie Moderators kwa kuchelewa ku edit makosa yako ya uandishi.
Dogo anatafuta sana attention😂😂kila saa anafungua uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…