Mjinga aliyekuzaaAcha ujinga wewe kuna brand moja ya nguo Marekani walipost picha ya mtoto mwenye asili ya kiafrika halafu kwenye caption wakaandika "cool monkey in the jungle" ..unajua nini kilifuata baada ya hapo? Ile habari ilifika hadi humu jf.
Hao ndio wanasababisha mtu mwenye albinism aoanekane hana maana kwenye jamii.
Kwa hiyo albino sio mtu.. duuh😂MBUMBUMBU ameongea hapa, kwahiyo Simba walikosa mtu wakachukua albino?
Brother Ali, Yellowman, Johnny Winter, Salif Keita, Victor Varnado etc.MAISHA hayapo Hivo.
1. Chiba Alikuwa ANACHEZA ya moto Band nani alimdhalilisha????
2.Manara Alikuwa Mc nani alimdhalilisha?????
3. Keysha Alikuwa anaimba nani aliyemdhalilisha????
4. Zungu Alikuwa WASAFI nani aliyemdhalilisha???
MBELE KWA WENZETU
5. De brune na scores nani amewazalilisha.
Angevaa suti nadhani asingeonyeshwa amedhalilishwa.
MTU ANAONESHA KIPAJI CHAKE MNASEMA WAMEMDHALILISHA.
UJINGA UKIZIDI UNAKIWA U TAHIRA.
NtuKwani albino chio ntu?
Kwenye number 5 fanya utafiti kwanza. Hao uliowataja hawana albinismMAISHA hayapo Hivo.
1. Chiba Alikuwa ANACHEZA ya moto Band nani alimdhalilisha????
2.Manara Alikuwa Mc nani alimdhalilisha?????
3. Keysha Alikuwa anaimba nani aliyemdhalilisha????
4. Zungu Alikuwa WASAFI nani aliyemdhalilisha???
MBELE KWA WENZETU
5. De brune na scores nani amewazalilisha.
Angevaa suti nadhani asingeonyeshwa amedhalilishwa.
MTU ANAONESHA KIPAJI CHAKE MNASEMA WAMEMDHALILISHA.
UJINGA UKIZIDI UNAKIWA U TAHIRA.