Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegundua waTanzania wengi bado mapoyoyo sana. So nyie raha yenu mlitaka wa nje!?? Mbona mmejaa ushamba sanaaDah....roho yangu nahisi Kama bado haijaridhika!
Nilikuwa na matumaini makubwa leo tunawakera utopolo! Anyway ngoja tuone.
Yuko wapi sasaYule dogo ni bonge la mchezaji ni vile mmejaa ushamba hamjui hata ubora wa mtu.
Sijawahi kuona mchezaji ambaye mipira yake ya adhabu au kona ina hatari kama Calinhos hapa nchini.
Mbona hujaeleweka. Wamelipia hawajipia? Je simba imepata wanachokitaka hawajapata hata kama wataweka kwenye other platforms?.wameshapta wanachokitaka watu wako na bness kwa kichwaStress zitawauwa kutete ujinga! Unalipia Simba App mnasubiri kutangaziwa Habibu Kyombo then after few seconds inawekwa kwenye social medias nyingine tena bure.! Upuuzi mtupu.
Mpole mchukueni au mmemnunia kisa kamzidi manyeleKuhusu Usajili wa Kyombo.
Strikers wa Simba ..
1. Mugalu
2. Kagere
3. John Bocco
Unaposajili ni lazima ulete Jembe linalozidi wachezaji waliopo, au atleast kulingana nao.
Je Kyombo ana quality ya kuwazidi hao strikers wa sasa waliopo Simba? - JIBU BAKI NALO
Je hivi Simba wapo serious, Kama kweli walitaka Top perfomer wa kusimama pale mbele afungeli magoli..
Why wasingemchukua GEORGE MPOLE?
Hivi Kyombo na George Mpole nani amekiwasha sana Msimu huu? JIBU BAKI NALO.
Nini hicho ambacho Simba wamekiona kwa Habib Kyombo ambacho Mashabiki wa kawaida kabisa wa mpira hawajakiona?
Hivi nyie Simba hamuoni kuwa huu usajili mashabiki wenu wenyewe hawajaridhika nao?
Watu wasave hii comment, atapigwa mtu mawe hivi karibuni. Barbra ameona mbali.Ipo siku Ahmedy Ally atapigwa mawe na mashabiki wa Simba, yaani usajili huu ndo wa kusimamisha Afrika.? Amewaweka mashabiki kwenye tension kubwa sana, kumbe ni mchezaji ambaye wameenda kugombaniana na Singida.? Wonders shall never end[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na sijaona bado mtu alikuwa na vision kama yule. Alikuwa ni mzuri sana jamaa, angekuwa ndo anachezesha Yanga ya sasa ingekuwa hatari zaidiYule dogo ni bonge la mchezaji ni vile mmejaa ushamba hamjui hata ubora wa mtu.
Sijawahi kuona mchezaji ambaye mipira yake ya adhabu au kona ina hatari kama Calinhos hapa nchini.
Wanaompinga sio kwamba hawazioni namba za Kyombo, ila wanapinga tu kwa kuwa ndo wamezoea, kwa sababu kupinga ni jambo rahisi yaani..!Nimeangalia video fupi ya magoli aliyofunga Kyombo kule twitter, jamaa anajua, ana jicho la goli, yupo composed hana papara, aliwagonga mpaka utopolo.
Anafunga nje ya box, ndani, anajua kufunga kwa free kicks, yuko vizuri sana, muhimu apewe ushirikiano tu na wenzake
Wanajisahaulisha kuwa Mayele ndio top scorer kule Congo kabla hajaja huku. Mayele hana magoli ya penati kama Mpole.Natofautiana nawe kabisa,Mayele ni mchezaji wa pekee huwezi mlinganisha na Mpole.
Ukizungumzia viuongo waliomzunguka,zungumzia na mabeki wanavyomkaba Mayele.
Mayele anafunga katika mazingira magumu sana huwezi kumlinganisha na akina Mpole.
Hujui mpira...ungekaa kimya. Simba kwa hadhi iliyonayo sio ya kuokota wachezajiNimegundua waTanzania wengi bado mapoyoyo sana. So nyie raha yenu mlitaka wa nje!?? Mbona mmejaa ushamba sanaa
Kumbe hii ishu ni kweli?Bocco ndiye hirizi ya Timu!
Sema Mayele hajui kupiga penalt ndio maana hana magoli ya penalti, full stop.Wanajisahaulisha kuwa Mayele ndio top scorer kule Congo kabla hajaja huku. Mayele hana magoli ya penati kama Mpole.
Weka akiba ya manenoHujui mpira...ungekaa kimya. Simba kwa hadhi iliyonayo sio ya kuokota wachezaji
Ni nguvu moja sio guvu tuliza mkuu ndugu yangu.#GuvuMoya
Ile ilikuwa pure academy orientedYule dogo ni bonge la mchezaji ni vile mmejaa ushamba hamjui hata ubora wa mtu.
Sijawahi kuona mchezaji ambaye mipira yake ya adhabu au kona ina hatari kama Calinhos hapa nchini.
yule dogo sio level za bongo anacheza mpira wa darasani labda unaongelea ushabikiNdo yale ya Yanga na yule muangola wao kale keupe kembamba..endeleeni kuwasajili hao wa kutoka ulaya tuacheni sisi tupambane na wa ndani tutaona mwisho wa ligi