Klabu ya Uingereza ya Everton kucheza mechi ya kirafiki nchini Tanzania kwa hisani ya Sportpesa

Klabu ya Uingereza ya Everton kucheza mechi ya kirafiki nchini Tanzania kwa hisani ya Sportpesa

Sportspesa walikosea sana kuweka hq zao Kenya especially kwa Mambo ya soccer labda ingekua riadha
ulitaka waiweke wapi? kampuni yenyewe ya kikenya sioni shida kuweka hq Kenya...
 
Hii habari niliiona tokea juzi ila nilikaa nione reaction huku, my findings ni kwamba sisi Watanzania ni watu tupo cool sana wala hatujaja kujidai na kujiproud kuhusu ujio wa Everton just imagine kama ingekua wanaenda Kenya???? View attachment 515384K
Kingine cha kushangaa ni kwamba wanaosema sportspesa ni yao, sportspesa inedhamini team moja for all that time lakini Tanzania haina hata mwezi wamedhamini team tatu kwa mabilioni ya pesa
get your facts together about Sportpesa. then come back again
 
Hii habari niliiona tokea juzi ila nilikaa nione reaction huku, my findings ni kwamba sisi Watanzania ni watu tupo cool sana wala hatujaja kujidai na kujiproud kuhusu ujio wa Everton just imagine kama ingekua wanaenda Kenya???? View attachment 515384K
Kingine cha kushangaa ni kwamba wanaosema sportspesa ni yao, sportspesa inedhamini team moja for all that time lakini Tanzania haina hata mwezi wamedhamini team tatu kwa mabilioni ya pesa
sadly you don't have the bragging rights juu ni kampuni ya Kenya ndio inawadhamini.kama msaada vile.hehee
alafu Fanya research before uropoke.unajiabisha kwa mambo madogo,sport pesa imedhamini team nyingi Kenya...acha aibu bana
 
Wabadili aje na kampuni niyawakenya(wakikuyu) nikama kusema Azam ibadili ikuje Nairobi na profits mingi ni hapo...fikiria msee
Screenshot_2017-05-16-23-54-08.png
 
Hii habari niliiona tokea juzi ila nilikaa nione reaction huku, my findings ni kwamba sisi Watanzania ni watu tupo cool sana wala hatujaja kujidai na kujiproud kuhusu ujio wa Everton just imagine kama ingekua wanaenda Kenya???? View attachment 515384K
Kingine cha kushangaa ni kwamba wanaosema sportspesa ni yao, sportspesa inedhamini team moja for all that time lakini Tanzania haina hata mwezi wamedhamini team tatu kwa mabilioni ya pesa
Sportpesa imethamini timu zifuatazo za kenya

1. Gor Mahia - 3.5m usd
2. Afc leopards - 1.5m usd
3. Nakuru all stars
4. Kenya 7s rugby - 6m usd

Halafu ndio official sponsors was

1. Kenya premier league - 4.36m USD
2. Basketball league
3. Kenya Safari rally
4. Kenya boxing league

Etc.


Has upgraded city stadium at a cost of 1m USD
 
sadly you don't have the bragging rights juu ni kampuni ya Kenya ndio inawadhamini.kama msaada vile.hehee
alafu Fanya research before uropoke.unajiabisha kwa mambo madogo,sport pesa imedhamini team nyingi Kenya...acha aibu bana
Sasa mbona unalia??
 
Sportpesa imethamini timu zifuatazo za kenya

1. Gor Mahia - 3.5m usd
2. Afc leopards - 1.5m usd
3. Nakuru all stars
4. Kenya 7s rugby - 6m usd

Halafu ndio official sponsors was

1. Kenya premier league - 4.36m USD
2. Basketball league
3. Kenya Safari rally
4. Kenya boxing league

Etc.


Has upgraded city stadium at a cost of 1m USD
Hiyo haipo kwenye list yao hizo labda ni wewe uliyedhamini usiwapakazie sportspesa
FB_IMG_1495908264140.jpg

HHizi ndio teams ambazo sportspesa wamezidhamini mpaka dakika hii.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom