Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
- Thread starter
-
- #21
ulitaka waiweke wapi? kampuni yenyewe ya kikenya sioni shida kuweka hq Kenya...Sportspesa walikosea sana kuweka hq zao Kenya especially kwa Mambo ya soccer labda ingekua riadha
Victor Wanyama anawabeba.Sportspesa walikosea sana kuweka hq zao Kenya especially kwa Mambo ya soccer labda ingekua riadha
sio victor wanyama peke take...sipia nyinyi mna yule jamaa wa genk...Victor Wanyama anawabeba.
get your facts together about Sportpesa. then come back againHii habari niliiona tokea juzi ila nilikaa nione reaction huku, my findings ni kwamba sisi Watanzania ni watu tupo cool sana wala hatujaja kujidai na kujiproud kuhusu ujio wa Everton just imagine kama ingekua wanaenda Kenya???? View attachment 515384K
Kingine cha kushangaa ni kwamba wanaosema sportspesa ni yao, sportspesa inedhamini team moja for all that time lakini Tanzania haina hata mwezi wamedhamini team tatu kwa mabilioni ya pesa
sadly you don't have the bragging rights juu ni kampuni ya Kenya ndio inawadhamini.kama msaada vile.heheeHii habari niliiona tokea juzi ila nilikaa nione reaction huku, my findings ni kwamba sisi Watanzania ni watu tupo cool sana wala hatujaja kujidai na kujiproud kuhusu ujio wa Everton just imagine kama ingekua wanaenda Kenya???? View attachment 515384K
Kingine cha kushangaa ni kwamba wanaosema sportspesa ni yao, sportspesa inedhamini team moja for all that time lakini Tanzania haina hata mwezi wamedhamini team tatu kwa mabilioni ya pesa
Pia ikumbukwe ya kuwa ha hata kampuni za nje huthamini kuweka makao yao makuu Nai, iweje sasa ya mkenya mwenyewe ipelekwe TZ?ulitaka waiweke wapi? kampuni yenyewe ya kikenya sioni shida kuweka hq Kenya...
Mbwana Samata na leo katupia kambanisio victor wanyama peke take...sipia nyinyi mna yule jamaa wa genk...
Ukweli but kitalii mtasaidika kimpango.Hata ikicheza, italeta kikosi cha tatu, au wachezaji waliostaafu, no first eleven
Umepona after kunyoroshwa TwitterKenya kwa sasa inakosa mvuto.
Wabadili aje na kampuni niyawakenya(wakikuyu) nikama kusema Azam ibadili ikuje Nairobi na profits mingi ni hapo...fikiria mseeSiku za usoni watabadili.
Sportpesa niya kubet si club...bora Luna watu wakubet wanaget faidaSportspesa walikosea sana kuweka hq zao Kenya especially kwa Mambo ya soccer labda ingekua riadha
Wabadili aje na kampuni niyawakenya(wakikuyu) nikama kusema Azam ibadili ikuje Nairobi na profits mingi ni hapo...fikiria msee
Sportpesa imethamini timu zifuatazo za kenyaHii habari niliiona tokea juzi ila nilikaa nione reaction huku, my findings ni kwamba sisi Watanzania ni watu tupo cool sana wala hatujaja kujidai na kujiproud kuhusu ujio wa Everton just imagine kama ingekua wanaenda Kenya???? View attachment 515384K
Kingine cha kushangaa ni kwamba wanaosema sportspesa ni yao, sportspesa inedhamini team moja for all that time lakini Tanzania haina hata mwezi wamedhamini team tatu kwa mabilioni ya pesa
Sasa mbona unalia??sadly you don't have the bragging rights juu ni kampuni ya Kenya ndio inawadhamini.kama msaada vile.hehee
alafu Fanya research before uropoke.unajiabisha kwa mambo madogo,sport pesa imedhamini team nyingi Kenya...acha aibu bana
Hiyo haipo kwenye list yao hizo labda ni wewe uliyedhamini usiwapakazie sportspesaSportpesa imethamini timu zifuatazo za kenya
1. Gor Mahia - 3.5m usd
2. Afc leopards - 1.5m usd
3. Nakuru all stars
4. Kenya 7s rugby - 6m usd
Halafu ndio official sponsors was
1. Kenya premier league - 4.36m USD
2. Basketball league
3. Kenya Safari rally
4. Kenya boxing league
Etc.
Has upgraded city stadium at a cost of 1m USD
Kampuni ya Bulgarians na American nyie ni house boys tuulitaka waiweke wapi? kampuni yenyewe ya kikenya sioni shida kuweka hq Kenya...
Nyie labda mletewe team ya kurusha tufe, hamna kitu huko zaidi ya kukimbia kama swala aliyepata ugonjwa wa mdondoMwaka ujao ni zamu ya kenya nazan kenya watapelekewa timu kubwa zaid
Hatuwategemei sportspesa sisi tunajitangaza wenyewe mpaka kwenye premier league tena kwa team kubwaUkweli but kitalii mtasaidika kimpango.
Can't you just go and do research on Google man...daaah watu vichwa emptyHiyo haipo kwenye list yao hizo labda ni wewe uliyedhamini usiwapakazie sportspesa View attachment 515488
HHizi ndio teams ambazo sportspesa wamezidhamini mpaka dakika hii.