COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
As per 2017...wazungu ni wawili tuView attachment 515565Nyie wakenya kwa uongo hamjambo ... Mnasema sport Pesa ni yenu hahaha
sasa wewe tuambie niyakina nani going by that structureView attachment 515565Nyie wakenya kwa uongo hamjambo ... Mnasema sport Pesa ni yenu hahaha
Kati ya shareholders tisa watano ni wakenya...kenya wammetuzidi vitu vingi mkuu tuwape heshima yao tuu.... Labda kama tuna chuki binafsi naoKampuni ya Bulgarians na American nyie ni house boys tu
Sijawahi on mtu mwenye akili pungufu kama wewe. Kweli hata huwezi fanya Google search..lolHiyo haipo kwenye list yao hizo labda ni wewe uliyedhamini usiwapakazie sportspesa View attachment 515488
HHizi ndio teams ambazo sportspesa wamezidhamini mpaka dakika hii.
Hiyo haipo kwenye list yao hizo labda ni wewe uliyedhamini usiwapakazie sportspesa View attachment 515488
HHizi ndio teams ambazo sportspesa wamezidhamini mpaka dakika hii.
Sisi tuna medals. When was the last time Tanzania walishinda kitu...lolNyie labda mletewe team ya kurusha tufe, hamna kitu huko zaidi ya kukimbia kama swala aliyepata ugonjwa wa mdondo
Kijana. Angalia shareholding uone who form the majority shareholding. Povu la nini aisee?Kampuni ya Bulgarians na American nyie ni house boys tu
kweli...
Sportspesa walikosea sana kuweka hq zao Kenya especially kwa Mambo ya soccer labda ingekua riadha
Sportpesa ni ya kenya....Tanzania mmejaa tu wivuWait, kumbe Sportpesa sio ya wakenya?
Nani anaimiliki kumbe?
Sportpesa ni ya kenya....Tanzania mmejaa tu wivu
Huna kichwa kizuri weweOkay. Nimeona ownership structure.
Sio ya Wakenya percee, 50% ya owners wanatoka nje ya Kenya.
una aibu kweli..who are the majority share holders?Okay. Nimeona ownership structure.
Sio ya Wakenya percee, 50% ya owners wanatoka nje ya Kenya.
The way Tanzanians huwaza you can see why wako LDCNow its so clear ni wivu tu... Sportpesa ni ya Wakenya... why is this even a discussion?
can english company use swahil word....i.e pesa? i wonder if is not Kenyan co. basi itakua tzView attachment 515565Nyie wakenya kwa uongo hamjambo ... Mnasema sport Pesa ni yenu hahaha