Klabu ya Uingereza ya Everton kucheza mechi ya kirafiki nchini Tanzania kwa hisani ya Sportpesa

Kina Meridian na Premier wao hawana msaada kwa Tz
 
The way Tanzanians huwaza you can see why wako LDC
we ndo mpuuz kabisa na shule yako inaonesha ndogo. hivi unajua maana ya LDC uliza bas kabla hujajidhalilisha humu. nikwambia tu nchi zote za kiafrika kasoro nchi tatu tu au nne ndio haziko LDC. chizi ww
 
Sisi tuna medals. When was the last time Tanzania walishinda kitu...lol
medal za kukimbiza upepo hahaha..unajua kenya vibaka wako wengi sana ndo mana wepesi wa kukimbia wasikamatwe
 
Kati ya shareholders tisa watano ni wakenya...kenya wammetuzidi vitu vingi mkuu tuwape heshima yao tuu.... Labda kama tuna chuki binafsi nao
tunajua..tunawatoa mipovu kenyan maana wanapenda misifa sana.
 
medal za kukimbiza upepo hahaha..unajua kenya vibaka wako wengi sana ndo mana wepesi wa kukimbia wasikamatwe
Tanzania ina Olympic medals mbili tu za silver tangu waingie huo mchezo. Juzi hata mmejaribu swimming mkalemewa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sisi tuna over 30 gold medals bill kuhesabu hizo zingine. Tumeshinda more cecafa cups than you.

Akili zenu duni, hata kwa uvivu mmelemewa na sports. Kweli apart from kuimba Chibudu Chibudu na kuongea hadithi za projects ambazo haijawahi anza mnajua nini nyie [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tz wako na 2 silvers,6 irons,15 stones,100 soil
 
Kungekuwa na Olympics ya uchawi na kukimbiza albino wangekua na medali mia mbili...kwa sasa, ni vivu tu kule dar is slum
 
Kumbe muda mwingine akili zimo
 
Tuna dig gold hapa hapa bongo wewe,tukakimbizane na vipande vya dhahabu vya nini!!you can share those gold pieces with somalia"you go for gold we for mines"
 
Tuna dig gold hapa hapa bongo wewe,tukakimbizane na vipande vya dhahabu vya nini!!you can share those gold pieces with somalia"you go for gold we for mines"
Gold ni yenu ama ni ya Acacia? [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…