Klabu ya Uingereza ya Everton kucheza mechi ya kirafiki nchini Tanzania kwa hisani ya Sportpesa

hapo nakubaliana nawe...nitaftie bibi kwanza wa tz...nipe namba nirushe mistari one two
Unataka type gani na rangi gani asee nikufanyie mpango..na madem wa huku wanvyopenda sifa,ukizingatia na nyie ni wapenda sifa classified, umkosi.
 
Unataka type gani na rangi gani asee nikufanyie mpango..na madem wa huku wanvyopenda sifa,ukizingatia na nyie ni wapenda sifa classified, umkosi.
rangi ya chocoleti ivi...rangi ya Vanessa Mdee hivi...mweupe pia si mbaya......kwanza leta facebook
 
sifa hampendi ama ni kwasababu hamna chochote cha kusifia...
Uwe unaona aibu muda mwingine, Tz tuna vitu vingi sana ambavyo tunaweza kujisifia kuwa navyo lakini kwa sababu hatupendi sifa na majigambo ya kitoto km Wakenya tunapotezea tu
 
Uwe unaona aibu muda mwingine, Tz tuna vitu vingi sana ambavyo tunaweza kujisifia kuwa navyo lakini kwa sababu hatupendi sifa na majigambo ya kitoto km Wakenya tunapotezea tu
haya anza sasa....vitu viwili tu ambavyo Kenya haina....unajua ni kawaida ndugu kumsikilia wivu mwenzake aliyefaulu zaidi...especially kwanza kama nyie ndio mnafaa kuwa mbele ya Kenya ukilinganisha rasilimali mlizo nazo...Kenya nusu ni desert esp kule karibu na Somalia..tungekua na nusu tu ya Tanzania, tungekuwa sasa hivi tunaimbwa top 4 largest economy in Africa...
 

Watacheza Kenya

Confirmed huko kwenu hakuna mpira

Kuna siasa tuu tena za kibashite
 
Hahahaaa mnavyopenda kujifarijj ndio maana mzee Mugabe aliwahi kusema hakuna taifa lenye watu waongo na wajanja wajanja kama Kenya kwa Africa, hakukosea kabisa
 
Na mbona wasicheze Nairobi? Hamna viwanja vinavyokidhi sio? Aibu Mungiki
 
Hahahaaa mnavyopenda kujifarijj ndio maana mzee Mugabe aliwahi kusema hakuna taifa lenye watu waongo na wajanja wajanja kama Kenya kwa Africa, hakukosea kabisa
wajanja ndio kabisa! yaani mnaibiwa hata mpaka watalii....heri kuwa mjanja kuliko kuwa mjinga.. kwanza kama sio Magu, tubgewaibia market zote hapa EAC...yaani mna uwoga wa kufikiria...na uchawi... vipi kuhusu albino? mliacha kuwasaka? Meanwhile In nairobi, someone is working hard...lakini naskia mlipata soko la mihogo hongera kwa hilo
 
Huko Nairobi hali ngumu sana ndio maana mbakuja kujazana huku kwenye neema, na uhakika ukija tz wewe Kenya utaisahau
 
Nadhani kigezo kikubwa walichotazama spotpesa mpaka kuleta tz mashindano kwanza washabiki, Tz ndio inaongoza kwa east Africa kuwa na washabiki WA mpira WA miguu kuliko kokote, tazameni michezo ya cecafa huwa haipitishi miaka 3 lazima irudishwe tz, kingine viwanja, kenya hawana viwanja vya mpira vyenye hadhi kubwa kama Tz
 
dah! maajabu hayo! mkenya afanye nini LDC
[emoji23] [emoji23] eti Tz ni LDC kweli nyie vilaza, kwa hiyo Ke ni DC? Sasa unakosema ni LDC mnakuja kufanya nn? Mmejazana huku hamtaki kabisa kurudi kwenu halafu mwajidai DC
 
[emoji23] [emoji23] eti Tz ni LDC kweli nyie vilaza, kwa hiyo Ke ni DC? Sasa unakosema ni LDC mnakuja kufanya nn? Mmejazana huku hamtaki kabisa kurudi kwenu halafu mwajidai DC

kila siku mnakuja huku na kusema tunajazana kwenyu, nyie mnajua watanzania wangapi wako hii Nairobi? Na tuna wachukua kama ndugu bila ugomvi. Nyinyi mnakuaga chini sana, washamba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…