Klabu ya Yanga inaongozwa ovyo ovyo sana!

Klabu ya Yanga inaongozwa ovyo ovyo sana!

Deadline ni lini? Kuna Klabu imesajili wachezaji chini ya kumi unadhani ndiyo imetoka hiyo.
Yanga wapo sahihi kabisa kuchelewesha majina.
Yatapelekwa majina sahihi
Baada ya TFF kutoa ile list yanga fasta wameingiza majina 20, utagundua watanzania bado tuna mambo ya kusubiri dk za mwisho.
 
Kama kuna club imesajilinwachezaji chini ya 10, ndio iwe sababu ya yanga kutokusajili hata mmoja?
Usahihi wa Yanga kuchelewesha majina ni upi?
Unaposema yatapelekwa majina sahihi ina maana Yanga haina majina sahihi ya wachezaji wake tokea dirisha la usajili lifunguliwe hasa wale wanaoendela na mikataba yao?
Mimi naona ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimya tu, maana hata maswali niliyokuuliza sidhani kama una uwezo wa kuyajibu kwa akili zako finyu!
Labda niku ulize wewe dada, kuna mwaka Yanga haija wahi kucheza ligi sababu ya kuchelewesha majina?
 
Baada ya TFF kutoa ile list yanga fasta wameingiza majina 20, utagundua watanzania bado tuna mambo ya kusubiri dk za mwisho.
Yanga inawaumiza vichwa sana, si mnasema imefungiwa kusajili sasa hayo majina 20 yametoka wapi?
 
Kufuatia taarifa iliyotolewa na TFF inaonyesha Club ya Yanga haiafanya usajili wa wachezaji kwa msimu wa 2023/24.

Mashabiki wasiojitambua wametetea club ya Yanga kwa kutoa hoja dhaifu eti muda bado upo, mara sijui strategy na blah blah kibao!

Wengine sijui watasajili wale walioiva n.k!

Tunajiuliza kwani wachezaji waliotangazwa kwenye page zao hawawaamini?

Je, wale waliokuwa nao msimu uliopita ambao hawajamaliza mikataba na hawana mpango wa kuwaacha inakuwaje wasiwe kwenye data base hadi muda ambao TFF wametoa list ya Club zilizosajili?

Wanaona kuchelewa kusajili ni ujanja na akili siyo? Kwa hiki walichokifanya viongozi wa Yanga ni uzembe wa hali ya juu!

Hata kama bado siku za kukamilisha zimebaki nyingi, ilitakiwa wake wachezaji waliotangazwa kwenye page zao na wale wanaoendelea na mikataba yao wawe wameingizwa kwenye data base za mamlaka husika!

Hili la Yanga kuchelewesha usajili si suala la kushangilia!

Ulichokiandika umekielewa kwanza wewe mwenyewe? Yaani unalalamika kuchelewesha wakati jambo bado halijapita deadline. Kuchelewa kwa kitu ni hali ya kupitiliza deadline, kama deadline haijavuka hauwezi kusema kuwa limecheleweshwa. Azam ana wachezaji zaidi ya 25 mbona hauwapigii kelele kuwasajili wachezaji saba pekee?

Kazi ya kusajili wachezaji kwenye system ni kazi ya siku moja tu, wala sio kazi kubwa msikuze mambo madogo yakaonekana kama ni ishu kubwa. Wacha viongozi wa Yanga waweke kila kitu sawa wakiingiza wachezaji wameingiza kwa uhakika sio yale ya kuanza kuangaika kumnyofoa fulani ili tumuweke fulani. Wakiwa tayari wameshajiridhisha watawaweka wachezaji kwenye mfumo.
 
Comment yako inadhihirisha ulivyo zwazwa na kilaza!
Haya jione ulivo mpumbavu kitu bado siku 10 ushafungua uzi unalaumu viongozi
Screenshot_20230721-090907.png
 
Kufuatia taarifa iliyotolewa na TFF inaonyesha Club ya Yanga haiafanya usajili wa wachezaji kwa msimu wa 2023/24.

Mashabiki wasiojitambua wametetea club ya Yanga kwa kutoa hoja dhaifu eti muda bado upo, mara sijui strategy na blah blah kibao!

Wengine sijui watasajili wale walioiva n.k!

Tunajiuliza kwani wachezaji waliotangazwa kwenye page zao hawawaamini?

Je, wale waliokuwa nao msimu uliopita ambao hawajamaliza mikataba na hawana mpango wa kuwaacha inakuwaje wasiwe kwenye data base hadi muda ambao TFF wametoa list ya Club zilizosajili?

Wanaona kuchelewa kusajili ni ujanja na akili siyo? Kwa hiki walichokifanya viongozi wa Yanga ni uzembe wa hali ya juu!

Hata kama bado siku za kukamilisha zimebaki nyingi, ilitakiwa wake wachezaji waliotangazwa kwenye page zao na wale wanaoendelea na mikataba yao wawe wameingizwa kwenye data base za mamlaka husika!

Hili la Yanga kuchelewesha usajili si suala la kushangilia!
utakuwa unatokea mbagala wewe?
ovyo ovyo ndiyo nini sasa?
jamani mnashindwa hata kujua kuandika na kuzungumza lugha ya taiaf kwa ufasaha japo kidogo
 
Kufuatia taarifa iliyotolewa na TFF inaonyesha Club ya Yanga haiafanya usajili wa wachezaji kwa msimu wa 2023/24.

Mashabiki wasiojitambua wametetea club ya Yanga kwa kutoa hoja dhaifu eti muda bado upo, mara sijui strategy na blah blah kibao!

Wengine sijui watasajili wale walioiva n.k!

Tunajiuliza kwani wachezaji waliotangazwa kwenye page zao hawawaamini?

Je, wale waliokuwa nao msimu uliopita ambao hawajamaliza mikataba na hawana mpango wa kuwaacha inakuwaje wasiwe kwenye data base hadi muda ambao TFF wametoa list ya Club zilizosajili?

Wanaona kuchelewa kusajili ni ujanja na akili siyo? Kwa hiki walichokifanya viongozi wa Yanga ni uzembe wa hali ya juu!

Hata kama bado siku za kukamilisha zimebaki nyingi, ilitakiwa wake wachezaji waliotangazwa kwenye page zao na wale wanaoendelea na mikataba yao wawe wameingizwa kwenye data base za mamlaka husika!

Hili la Yanga kuchelewesha usajili si suala la kushangilia!
KUMANISHA NINI!!
 
Baada ya TFF kutoa ile list yanga fasta wameingiza majina 20, utagundua watanzania bado tuna mambo ya kusubiri dk za mwisho.
Bado siku nyingi (zaidi ya 10) haraka ya nini?
 
Kama kuna club imesajilinwachezaji chini ya 10, ndio iwe sababu ya yanga kutokusajili hata mmoja?
Usahihi wa Yanga kuchelewesha majina ni upi?
Unaposema yatapelekwa majina sahihi ina maana Yanga haina majina sahihi ya wachezaji wake tokea dirisha la usajili lifunguliwe hasa wale wanaoendela na mikataba yao?
Mimi naona ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimya tu, maana hata maswali niliyokuuliza sidhani kama una uwezo wa kuyajibu kwa akili zako finyu!
Akili ndogo na ya kitoto kamwe haiwezi kuongoza akili kubwa.
Kenge wewe
 
Akili ndogo na ya kitoto kamwe haiwezi kuongoza akili kubwa.
Kenge wewe

Sasa matusi ya nini? Ama ndio umepanic kwa hasira uchwara…?
Wewe mpumbavu sana!!
 
Haya jione ulivo mpumbavu kitu bado siku 10 ushafungua uzi unalaumu viongozi View attachment 2695065

Wewe ndiye pumbavu zaidi, tena zwazwa kabisa!
Unaona jinsi hao viongozi wa Yanga walivyo wa hovyo na vihiyo!
Wamekimbilia kuapdate taarifa baada ya TFF kutoa hiyo list ya awali!
Wewe unaona ni ujanja sasa?
Ndio maana mashabiki wa Yanga mliwahi kuitwa manyani!!
 
Ulichokiandika umekielewa kwanza wewe mwenyewe? Yaani unalalamika kuchelewesha wakati jambo bado halijapita deadline. Kuchelewa kwa kitu ni hali ya kupitiliza deadline, kama deadline haijavuka hauwezi kusema kuwa limecheleweshwa. Azam ana wachezaji zaidi ya 25 mbona hauwapigii kelele kuwasajili wachezaji saba pekee?

Kazi ya kusajili wachezaji kwenye system ni kazi ya siku moja tu, wala sio kazi kubwa msikuze mambo madogo yakaonekana kama ni ishu kubwa. Wacha viongozi wa Yanga waweke kila kitu sawa wakiingiza wachezaji wameingiza kwa uhakika sio yale ya kuanza kuangaika kumnyofoa fulani ili tumuweke fulani. Wakiwa tayari wameshajiridhisha watawaweka wachezaji kwenye mfumo.

Wewe ndiye ukisome ukielewe!
Kilaza kama wewe huwezi kuelewa kilichoandikwa maana kimekuzidi kimo!!!
Unasema eti viongozi wa Yanga acha waingize wachezaji kwa uhakika, ina maana kumbe waliopo hawana uhakika nao, eti wasihangaike kumnyofoa fulani na kumuweka fulani, maanake ni kwamba hawana uhakika na wanachofanya, ndio maana hao viongozi nasema ni wa HOVYO kabisa!!!
 
Back
Top Bottom