Unasema kuwa Yanga imeshaanza kuzembea, je ndio mara yao ya kwanza kushiriki michuano ya CAF? kiasi kwamba hawajui wajibu wao katika maswala ya usajili?
Tukio lililofanywa na TFF lilileta taharuki kwa wapenzi wa soka kiasi kwamba kila mmoja akaamini ni kweli Yanga imefungiwa usajili, ndio maana uongozi ukabidi kutoa sintofahamu hiyo kwa vitendo
Wewe ndio wa ovyo na mpuuzi kwasababu unataka kila kitu kifanyike unavyotaka wewe. Unasiku 11 mbele za kufanya jambo, na jambo lenyewe ni la masaa kadhaa tu wala halina tabu kufanyika lakini unashupaza shingo utafikiri kazi nzito kiasi kwamba hakiwezi kufanyika ndani ya siku moja au mbili za mwisho. Na ili uone ni ishu ndogo, ndani ya dakika kadhaa wachezaji 21 wamesajiliwa, ndio ujue wewe ni mpuuzi kiasi gani kukomalia kitu kidogo kisichochukua muda kufanyika wakati kuna takribani siku 11 mbele