Klabu ya Yanga inaongozwa ovyo ovyo sana!

Klabu ya Yanga inaongozwa ovyo ovyo sana!

Ila utofauti wa aliyesajili tarehe 1 na 29 ni kwamba aliyefanya hivyo tarehe 29 ni mzembe na mvivu!!
Ila we jamaa una mapungufu makubwa kichwani sio bure nimejaribu kufatilia hoja zako ni bure kabisa. Unajuaje kama anayesafiri tarehe 29 ni mvivu na mzembe kana kwamba vile wewe ndiye mke wake unayeyajua majukumu yake.
 
Ila utofauti wa aliyesajili tarehe 1 na 29 ni kwamba aliyefanya hivyo tarehe 29 ni mzembe na mvivu!!
I think una depression, kuna uharaka gani wakati mda bado una ruhusu, let's say mpo kwenye mtihani duration ni saa mbili mmoja kamaliza ndani ya nusu saa, mwingine katumia saa moja na nusu utasema ni mzembe? as long as wapo ndani ya mda shida ipo wapi?
 
Ila we jamaa una mapungufu makubwa kichwani sio bure nimejaribu kufatilia hoja zako ni bure kabisa. Unajuaje kama anayesafiri tarehe 29 ni mvivu na mzembe kana kwamba vile wewe ndiye mke wake unayeyajua majukumu yake.
Chuki ikiambatana na wivu hua inatengeneza bomu baya sana
 
Ila we jamaa una mapungufu makubwa kichwani sio bure nimejaribu kufatilia hoja zako ni bure kabisa. Unajuaje kama anayesafiri tarehe 29 ni mvivu na mzembe kana kwamba vile wewe ndiye mke wake unayeyajua majukumu yake.

Kama mimi nina mapungufu, basi wewe ni mpumbavu kabisa tena zwazwa!!!
Kama umefuatilia hizo hoja zangu ukashindwa kuzielewa wewe si kilaza tu!??
Tatizo nyie mashabiki wa utopolo mnajulikana hamna akili, na mshaambiwa wenye akili huko utopolo ni wawili tu!
Mashabiki wote wa utopolo mnaona kilichofanyika na viongozi wenu ni sawa kwa sababu ya uzwazwa wenu ndio maana mnatetea, mkiambiwa ukweli mnapanic na kuja kutukana tu humu!!!
Poor utopolo!
 
C52DDD54-07DE-4A13-BD9B-DF842C5511A6.jpeg
 
I think una depression, kuna uharaka gani wakati mda bado una ruhusu, let's say mpo kwenye mtihani duration ni saa mbili mmoja kamaliza ndani ya nusu saa, mwingine katumia saa moja na nusu utasema ni mzembe? as long as wapo ndani ya mda shida ipo wapi?

Hivi unajua maana ya depression? Ama ndio kushindwa kwako kujibu hoja unakuja na njia dhaifu za kujihami namna hiyo?
Huo mfano uliotoa unaakisi kile nilichosema...!!
Huyo anayetumia muda mrefu kiuhalisia ni miongoni mwa vilaza!
Vipanga ndani ya muda mfupi wamemaliza, wale wazembe na wavivu huaza kusubiri vipanga wamalize ndio wapige chabo ama watoe nondo zao!
Kwa namna ulivyosema, ina maanisha wewe utakuwa ulikuwa mpiga chabo na kuingia na nondo, ndio maana unatetea upuuzi!!
 
Kama mimi nina mapungufu, basi wewe ni mpumbavu kabisa tena zwazwa!!!
Kama umefuatilia hizo hoja zangu ukashindwa kuzielewa wewe si kilaza tu!??
Tatizo nyie mashabiki wa utopolo mnajulikana hamna akili, na mshaambiwa wenye akili huko utopolo ni wawili tu!
Mashabiki wote wa utopolo mnaona kilichofanyika na viongozi wenu ni sawa kwa sababu ya uzwazwa wenu ndio maana mnatetea, mkiambiwa ukweli mnapanic na kuja kutukana tu humu!!!
Poor utopolo!
Hatimaye umeonesha rangi yako halisi, ni uzi uliokuwa umeambatana na chuki za usimba na uyanga. Mleta uzi hatimaye umeonesha kuwa wewe ni Kolokwinyo na lengo lako ilikuwa ni kuwachafua viongozi wa Yanga. Pole kolo
 
Hivi unajua maana ya depression? Ama ndio kushindwa kwako kujibu hoja unakuja na njia dhaifu za kujihami namna hiyo?
Huo mfano uliotoa unaakisi kile nilichosema...!!
Huyo anayetumia muda mrefu kiuhalisia ni miongoni mwa vilaza!
Vipanga ndani ya muda mfupi wamemaliza, wale wazembe na wavivu huaza kusubiri vipanga wamalize ndio wapige chabo ama watoe nondo zao!
Kwa namna ulivyosema, ina maanisha wewe utakuwa ulikuwa mpiga chabo na kuingia na nondo, ndio maana unatetea upuuzi!!
Kwavile hukupitia shule basi utawadanganya wasiosoma wenzio, nimeshuhudia watu kibao tu wakiwa ndio wa kwanza kumaliza lakini wamejibu majibu op na maswali yalioulizwa. Na kuna watu ambao ni slow but sure. Hawakurupuki, wanatafakari kwa kina, kisha ndipo huchukua hatua. Ila wakurupukaji huwa sio watu wa kuumiza akili hivyo sio ajabu akawa wa kwanza kumaliza na akawa ndio mtu alijibu majibu ya ovyo.
 
Hatimaye umeonesha rangi yako halisi, ni uzi uliokuwa umeambatana na chuki za usimba na uyanga. Mleta uzi hatimaye umeonesha kuwa wewe ni Kolokwinyo na lengo lako ilikuwa ni kuwachafua viongozi wa Yanga. Pole kolo

Kumbe ulikuwa hujui, wala sijifichi kama ulivyojificha wewe usiye na akili kama mlivyoambiwe na yule mzungu pori!!!
Kiufupi, mashabiki wa yanga wote hawana akili maanake ni wapumbavu miongoni mwao ni wewe, isipokuwa watu wawili!
Hilo naamini unaliunga mkono kwa 100% kwa jinsi unavyoleta utetezi wako uchwara!!!
Angalia ulivyokuja na uzi wako wa kinafiki hapa..!!
Pumbav kabisa ww!
 
Hivi unajua maana ya depression? Ama ndio kushindwa kwako kujibu hoja unakuja na njia dhaifu za kujihami namna hiyo?
Huo mfano uliotoa unaakisi kile nilichosema...!!
Huyo anayetumia muda mrefu kiuhalisia ni miongoni mwa vilaza!
Vipanga ndani ya muda mfupi wamemaliza, wale wazembe na wavivu huaza kusubiri vipanga wamalize ndio wapige chabo ama watoe nondo zao!
Kwa namna ulivyosema, ina maanisha wewe utakuwa ulikuwa mpiga chabo na kuingia na nondo, ndio maana unatetea upuuzi!!
Kifupi ni kwamba huna akili sina namna nyingine ya kukuelezea, taasisi zina utaratibu wake hawafanyi kiza kisa kuna mbwa anabweka humu JF umeambiwa hao TFF wanataka majina ya nini ilihali wata anza verification tarehe 1? na hio taarifa ilikua ya nini kuitoa hadharani wakati inahusu wanachama wake?
 
Kwavile hukupitia shule basi utawadanganya wasiosoma wenzio, nimeshuhudia watu kibao tu wakiwa ndio wa kwanza kumaliza lakini wamejibu majibu op na maswali yalioulizwa. Na kuna watu ambao ni slow but sure. Hawakurupuki, wanatafakari kwa kina, kisha ndipo huchukua hatua. Ila wakurupukaji huwa sio watu wa kuumiza akili hivyo sio ajabu akawa wa kwanza kumaliza na akawa ndio mtu alijibu majibu ya ovyo.
Huyo mbwiga ana msongo wa mawazo
 
Kumbe ulikuwa hujui, wala sijifichi kama ulivyojificha wewe usiye na akili kama mlivyoambiwe na yule mzungu pori!!!
Kiufupi, mashabiki wa yanga wote hawana akili maanake ni wapumbavu miongoni mwao ni wewe, isipokuwa watu wawili!
Hilo naamini unaliunga mkono kwa 100% kwa jinsi unavyoleta utetezi wako uchwara!!!
Sasa kama viongozi wa Yanga ni wa hovyo na bado wanachukua makombe yote mbele yenu nyie ni hovyo pro max
 
Kumbe ulikuwa hujui, wala sijifichi kama ulivyojificha wewe usiye na akili kama mlivyoambiwe na yule mzungu pori!!!
Kiufupi, mashabiki wa yanga wote hawana akili maanake ni wapumbavu miongoni mwao ni wewe, isipokuwa watu wawili!
Hilo naamini unaliunga mkono kwa 100% kwa jinsi unavyoleta utetezi wako uchwara!!!
Unaweza kunitofautishia kati ya upumbavu na umbumbumbu? Maana ni ajabu wewe uliye mbumbumbu kumcheka mpumbavu.
 
Kifupi ni kwamba huna akili sina namna nyingine ya kukuelezea, taasisi zina utaratibu wake hawafanyi kiza kisa kuna mbwa anabweka humu JF umeambiwa hao TFF wanataka majina ya nini ilihali wata anza verification tarehe 1? na hio taarifa ilikua ya nini kuitoa hadharani wakati inahusu wanachama wake?
Wewe ni pumbafu kabisa!!!
 
We bwege nini? Unalalamika nini sasa na mwenyewe unasema siku zimebaki nyingi

Anayelalamika labda ni Baba yako!!
Soma kilichoandikwa uelewe!
Ama ndio umepanic...?
Stupid!!
 
Unaweza kunitofautishia kati ya upumbavu na umbumbu? Maana ni ajabu wewe uliye mbumbumbu kumcheka mpumbavu.

Niletee kamusi yenye neno umbumbu ili nikutofautishie!
Ninachojua wewe ni mpumbavu!
Period.
 
Huna tofauti na mavi ya kuku

Wewe ni mavi ya bata!
Cheki unafiki wako hapa unajifanya shabiki wa Simba!
Huyo Manara uliyemzungumzia hapa, sasa ni kiongozi wako huko utopolo! Tukisema yanga ina viongozi wa ovyo, mnakuja kutetea hapa kwa kutukana!
 
Back
Top Bottom