KMT Wiki Hii Msajili wa Vyama, Jaji Mutungi, Father Kitima, Balozi Amina Salum Ali, Ismail Jussa, Mjengwa, Selasini, Kibamba, Cheyo Waunguruma!.

Msikilize Father Kitima kwenye kipindi hiki, akizungumzia urafiki wake na JPM

View: https://youtu.be/_iDRrF9NqwA?si=qTENE_Um7VoUyiB0Anzia dakika ya 20
P

Marafiki wa dhalimu walikuwa ni hao wahalifu kina Makonda, Sabaya, Kingai nk. Wengine walikuwa wanamchekea mdomoni ili wapate ulaji, vyeo ama favour fulani Fulani. Nape, Kinana nk walienda kumuomba msamaha, unaamini ulikuwa msamaha wa kweli au kujisalimisha Ili wabaki na vyeo au magendo Yao?
 
Umejaza machawa wenzako. Hapo ni Kitima , Jussa na Kibamba.
 
Hapo ni Father Kitima pekee ndiyo anaweza kuongea ukweli na kwa mbali mzee Cheyo, wengine wote ni chawa wa Rais hawana jipya.
Hujawatendea haki!, tujenge utamaduni wa kusikiliza kwanza ndipo tuchangie. Mtu kama Jussa, Kibamba, Hamad Rashid, Selasini kuwaita chawa sio kuwatendea haki!.
P
 
Umewahi kujiuliza swali kwann biashara ya Nguruwe hudorora kipindi fulani hivi
Inadorora kwasababu tupo Wakristo tunawasikiza wenzetu kufunga!, hata ile biashara ya wadada inadorora, hata uhalifu unapungua!.
P
 
Wakiristo mumekatazwa kula nguruwe ktk biblia. Sijui kwanini mnakula
It's true Wakristo na Waislamu ni watoto wa Baba mmoja na sheria ni moja ile ya Musa, kitimoto ni haramu!, ila Yesu ameitimilisha sheria, kimtiacho mtu najis ni kitokacho sio kiingiacho!.
P
 
Heshimu maoni ya wengine!.
P
CCM haijawahi kusikiliza maoni ya wananchi, rejea maneno ya balozi Karume alichokisema kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar kitendo ambacho pia kilimuweka madarakani ndugu yake, pia shsngazi Karume naye aliwahi kuzungumzia kuhusu CCM kutoliheshimu sanduku la kura ambalo lilimuweka madarakani Karume, CCM ikajitengea kura za wanajeshi yaani tunagawana nyama unajitengea pembeni maini na unakua mkali!
 
Mjengwa! Huyu nilikuwa nawasiliana naye sana kwenye Blog yake, Mjengwa alishabikia sana shule zifundishe kwa kiswahili tu huku yeye watoto wake akiwapeleka kwenye shule ya kimataifa Iringa! Mtu kama huyu ukimpa nyama awagawie wenzake usishangae ikimuozea mikononi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…