Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 392
- 272
Imani inaniambia huenda Bado tukawa na Mwingine Mkubwa na Mzuri wa namna hii, Lakini Nawaza tu Sijui ni lini tutaacha Kuuwa Hawa Nyoka kwani Kimsingi tunaweza mfukuza akaenda Porini huko ili kumtunza na tukawa na Utalii Mzuri wa Nyoka hawa baadae. Mfano tukiamua kuwatangaza hawa tunaweza tukawa na Utalii Mzuri wa Kuona Nyoka hawa tu Kwa Mkoa wetu wa Tabora!Urambo.
Nyumba za makuti ni wapi?Ukienda nyumba za makuti.. Utapata hayo.. Ni rahisi tu ukielekezwa..
Sema vijana wa siku hizi kupewa code za namna hiyo ni ngumu sana.
Mate yake TU ni sumu Kali sana, akikutemea usoni umepofuka hapo HAPONdo mwenyewe mkuu ORIJINO KABISA, mdomo mweusi ndani na ana kichwa kama jeneza
Ni mbaya hii mkuu... Code za namna hii huwezi kupewa kiurahisi..TOA maelezo hapa wanaopenda kuroga, Wanga, vigagu, vigagula, samvu la chole almaarufu km wachawi wasio rasmi wachukue NOTICE
Nyumba za makuti ni waganga wa kienyeji original.Nyumba za makuti ni wapi?
SITAKI agandane mke wangu nataka dushe igeuke barafu au kipande cha mtu hata kukojoa asiweze kwenda kukojoa CHOONINi mbaya hii mkuu... Code za namna hii huwezi kupewa kiurahisi..
. Siyo majivu ya nyoka tu, hata majivu ya mbwa pia yanafanya kazi vizuri sana kugandisha wapenda wake za watu .
Duuuh aloooh basi ni mrefuNi urefu wake, anarefuka zaidi ya hapo.
Hiyo ni mashine kubwa
Tanzania hatuna pori tengefu kwaajili ya nyoka.Imani inaniambia huenda Bado tukawa na Mwingine Mkubwa na Mzuri wa namna hii, Lakini Nawaza tu Sijui ni lini tutaacha Kuuwa Hawa Nyoka kwani Kimsingi tunaweza mfukuza akaenda Porini huko ili kumtunza na tukawa na Utalii Mzuri wa Nyoka hawa baadae. Mfano tukiamua kuwatangaza hawa tunaweza tukawa na Utalii Mzuri wa Kuona Nyoka hawa tu Kwa Mkoa wetu wa Tabora!
Nenda Tanga-Korogwe-Hale, sehemu inaitwa mtaa wa mto Wa mbuzi...SITAKI agandane mke wangu nataka dushe igeuke barafu au kipande cha mtu hata kukojoa asiweze kwenda kukojoa CHOONI
Sasa mjukuu wa Kigogo hapo umepigapigaješ¤
kwa akili za wabongo ulitaka wamuombe kumuua?Yule mwamba wa snake in the city huwa anawakamata kilaini kabisa. Katika maisha yangu ya utoto ya kwenda vichakani na kupanda mikorosho nilishawahi kukutana na green mamba mwenye ukubwa unaolingana na huu.
Kwa akili za wabongo huyu nyoka amepondwa sana na mawe na magongo