Koboko aka Black Mamba

Koboko aka Black Mamba

Urambo.

FB_IMG_1711394765875.jpg
Imani inaniambia huenda Bado tukawa na Mwingine Mkubwa na Mzuri wa namna hii, Lakini Nawaza tu Sijui ni lini tutaacha Kuuwa Hawa Nyoka kwani Kimsingi tunaweza mfukuza akaenda Porini huko ili kumtunza na tukawa na Utalii Mzuri wa Nyoka hawa baadae. Mfano tukiamua kuwatangaza hawa tunaweza tukawa na Utalii Mzuri wa Kuona Nyoka hawa tu Kwa Mkoa wetu wa Tabora!
 
TOA maelezo hapa wanaopenda kuroga, Wanga, vigagu, vigagula, samvu la chole almaarufu km wachawi wasio rasmi wachukue NOTICE
Ni mbaya hii mkuu... Code za namna hii huwezi kupewa kiurahisi..

. Siyo majivu ya nyoka tu, hata majivu ya mbwa pia yanafanya kazi vizuri sana kugandisha wapenda wake za watu .
 
Ni mbaya hii mkuu... Code za namna hii huwezi kupewa kiurahisi..

. Siyo majivu ya nyoka tu, hata majivu ya mbwa pia yanafanya kazi vizuri sana kugandisha wapenda wake za watu .
SITAKI agandane mke wangu nataka dushe igeuke barafu au kipande cha mtu hata kukojoa asiweze kwenda kukojoa CHOONI
 
Imani inaniambia huenda Bado tukawa na Mwingine Mkubwa na Mzuri wa namna hii, Lakini Nawaza tu Sijui ni lini tutaacha Kuuwa Hawa Nyoka kwani Kimsingi tunaweza mfukuza akaenda Porini huko ili kumtunza na tukawa na Utalii Mzuri wa Nyoka hawa baadae. Mfano tukiamua kuwatangaza hawa tunaweza tukawa na Utalii Mzuri wa Kuona Nyoka hawa tu Kwa Mkoa wetu wa Tabora!
Tanzania hatuna pori tengefu kwaajili ya nyoka.
Watu wetu hawana elimu ya kuhifadhi nyoka.
Wenzetu India wamefanikiwa kuwahifadhi Kobra na wenyeji huko wameelimishwa kiasi cha kutosha kuhusu viumbe hao.

Labda tuanze sasa kukusanya nyoka tukawahifadhi kwenye kisiwa cha Saananne, Rubondo au hifadhi ya Gombe
 
SITAKI agandane mke wangu nataka dushe igeuke barafu au kipande cha mtu hata kukojoa asiweze kwenda kukojoa CHOONI
Nenda Tanga-Korogwe-Hale, sehemu inaitwa mtaa wa mto Wa mbuzi...

Nenda kaulizie hayo maeneo utampata mtaalam wa hivyo.
 
Yule mwamba wa snake in the city huwa anawakamata kilaini kabisa. Katika maisha yangu ya utoto ya kwenda vichakani na kupanda mikorosho nilishawahi kukutana na green mamba mwenye ukubwa unaolingana na huu.


Kwa akili za wabongo huyu nyoka amepondwa sana na mawe na magongo
kwa akili za wabongo ulitaka wamuombe kumuua?
 
Back
Top Bottom