Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikumi nilimkuta 2009[emoji216]Niliwahi kutembelea Meserani snake park huko Arusha, sikuwa na idea na baadhi ya nyoka, je huyu mdudu anapatikana pale? Na pia kuna snake park moja pale Mapinga Bagamoyo ningependa kujua kama wapo ili nifanye utalii wa ndani tena
Ungemuona anakufuata ungechukua uamuzi gani?
Binafsi ninapoenda kijijini na kutembelea porini muda wote huwa nahakikisha sime lipo kiunoni, yaani ama zangu ama zake
Umefanya kosa kurud mana huyu mdudu anakisasi sana pia unashukuru hajamua kukufanyia ambush napikpik yako ungeisomaHuyu nyoka nilishamkanyaga kwa pikipiki bila ya kumpasua na alidunda na kuruka kwakua nilikua spidi sana nilisimama mbali kwa woga nika iacha pikipik nikaikagua sikumuona niliporudi mahali nilipomkanyaga sikumkuta hata damu hamna so inawezekana ni mgumu sana
Ndio, laki tatu mpaka tatu na nusu.... Na sio hospital zote utazikuta hizi sawaHivi dawa hospital si ghali sana
Maana kama nakumbuka kuna wakati walisema imefika laki tatu
Ila kwenye hili halina ushahidi inaweza ikawa ni myth tu,kama kuna mtu alishawahi kuliona tukio hilo ni vizuri aweke kisa hapa.Anakula sana bangi,thus why ukilima shamba la bangi na akawa anashinda humo,anakuriri hakudhuru ila sasa aingie mwizi kuiba atamshughulikia. Ni mlinzi mzuri
Wacha nilime Bhangi kisha nikishajua mshkaji anatia timu, naenda kuripoti polisi nawaambia nimeona shamba la bhangi nendeni mkazing'oe lipo sehemu fulaniAnakula sana bangi,thus why ukilima shamba la bangi na akawa anashinda humo,anakuriri hakudhuru ila sasa aingie mwizi kuiba atamshughulikia. Ni mlinzi mzuri
Sio kweli, kwenye hatari hata mremavu wa miguu atatimua mbio,Mbio zamashindanon tena mkiwa uwanjan nitofaut nambio yakukimbizwa tena porin, ukchanganya woga,mawenge namajan huchukui round ushakula kiss of death
Ni navyojua sio kwamba akikanyagwa nagari hafi, isipokuwa kwa sababu ya Uwezo wake Mkubwa wa spidi ni vigumu sana kumkanyaga. Ila anachokifanya atakaa huko chini ya gari na utasafiri nae weeee ila ukifika tu utakaposhuka ndio utakutana na cha mtema kuni.na je ina maana ana ugumu wa aina gan kias ata akanyagwe na gar hafi ???? na nilickia pia wanamhusisha na nguvu za giza.....kiumbe wa ajabu je ni kwel??
wamekufanya nini hao polisi we mjamaa?Wacha nilime Bhangi kisha nikishajua mshkaji anatia timu, naenda kuripoti polisi nawaambia nimeona shamba la bhangi nendeni mkazing'oe lipo sehemu fulani
Una uhakika?Mimi mbona simuogopi?
Wanakuwaga na tabia ya kunasa kwenye ream/ring. Hapo ndio angekiona cha motoUmefanya kosa kurud mana huyu mdudu anakisasi sana pia unashukuru hajamua kukufanyia ambush napikpik yako ungeisoma
Hasingekuepo na hako ka komenti tusingekasoma leo hahaUmefanya kosa kurud mana huyu mdudu anakisasi sana pia unashukuru hajamua kukufanyia ambush napikpik yako ungeisoma
Hahaha aHasingekuepo na hako ka komenti tusingekasoma leo haha
Aaaaargh! Basi tu nawachukiawamekufanya nini hao polisi we mjamaa?