Marekani hawana koboko?View attachment 774626
Koboko kwenye kugonga yuko fasta na sumu yake inasambaa mwilini fasta wakati anatambaa yuko fasta huyu nyoka angekuwa anapatikana Marekani angesifiwa usiku na mchana kwenye maruninga.
Kwahiyo ni fix hii?Acha uongo kigoma kuna mbuyu???
Hata wa dawa hakuna
Wa kufuga, koboko ni native wa Africa.Marekani hawana koboko?
Mmmmh nazidi kujiwekea nadhiri ya kutokukanyaga pori lolote maisha yangu!huyo mdudu acha kabisa alitukimbiza kwenye landcruiser vumbi lilisimama kila mtu alijikojolea alipiga kioo cha gar mpaka kika weka mistar ya kijan,,ngoma ipo spid 80 lakin huyo mdudu alikuwa yupo sambamba na kioo cha dereva,wanaosema anakimbia spid 20 nawakatalia kabisa huyo mdudu ana kasi sana hata kama yupo mita mia huwezi kuwahi hata kuokota jiwe ameshakufikia,,huwa anambinu yake ya kumuu na mnatakiwa muwe weng kuanzia watano,, acha kabisa huyo mwamba ni nuksi ila huku tabora wapo weng ila ni ngumu sana kukutana na koboko asilimia 99 yeye ndo lazima aanze kukuona na kama ukikuta alishawah kujeruiwa na binadamu ndio anakuanzishia ambush ila kama hajapata dhoruba yoyote akikuona tu anawah kujificha kabla ya wew kumuona,,ukiona kajitokeza na ukamuona ujue ni balaa hilo kuwa mpole tu
Kbs yaani, mie siku moja tu nilikuwa napika zangu mara ile navuta mlango wa jiko ili niufunge ghafla naona nyoka anaingia ndani, nilichofanya ni kuachia mlango na kupitia mtoto wangu sebuleni mbio hadi nje na yowe la kufa mtu.Mmmmh nazidi kujiwekea nadhiri ya kutokukanyaga pori lolote maisha yangu!
Ee M/ Mungu nisaidie
Sawa heeNdio, laki tatu mpaka tatu na nusu.... Na sio hospital zote utazikuta hizi sawa
Hapana huenda na yeye alihadithiwa na mjomba au Shangazi.Kwahiyo ni fix hii?
Kausha tu kama hajawadhuru hadi mda huu, haitatokea!Ni kweli,ila unaweza kutoa taarifa wakaja wakamtibua
na wasifanikiwe kumuua ikawa balaa kijijini.
Huyu Nyoka Kifutu, na nyoka ambae wamakonde humwita Namalutu, ndiyo nyoka wanaongoza kwa kuwagonga watu huko Mtwara, hususani wilaya ya Newala na Tandahimba.Kifutu hashambulii binadamu hadi umkanyage kwa bahati mbaya. Tena akikuona unamkaribia anafoka kukupa tahadhari tu.
Ila ukigongwa na kifutu hata ukipona usife basi kuna uwezekano mkubwa ukalemaa kabisa mguu wako.
Wachache sana waling'twa na kifutu wakapona na kukosa ulemavu.
Siku nikitinga pori ntatembea na bangi, tukikutana namrushia jani[emoji23] [emoji23] [emoji23]Koboko wanapogombana na mmoja akazima,aliebaki uwa kuna majani anaenda anayatafuna na kuja kumwekea mwenzie aliezima ili aamke waendelee na mtanange...sema anapoenda kuyafata hayo majani huwa makini asionekane na mtu,kwasababu nasikia ni dawa pia kwa binadamu akiumwa na koboko.
Koboko sio mgomvi kiivo sana labda awe kajeruhiwa.nimefanya kazi chunya kipindi fulani huko nyuma,getini kuingilia ofisini kwa pembeni kuna kichuguu anaishi,mkubwa kabisa.saa 5 hivi anatoka kwenda kula kaya na kabda jua alijazama anarudi jicho nyanya.Sema usikae kwenye njia yake kwasababu habadili njia.
Koboko ni mtemi sana,ukikutana nae akasimama tulia tuli,huku ukiomba sala zako...atakutizama wee baadae akikuona we boya tu anashuka chini anasepa sema inataka moyo macho yake kama yanawaka moto kumtizama hasa akitoka kula jani pendwa.
Nyoka anaependa kuingia ndani, kule Mtwara ni Cobra, na ndiye mwenye tabia ya kugonga vyombo, ama kila anachihisi ni hadui, awapo ndani ya nyumba.Huyo ni kawaida yake kugonga vyombo vya ndani, ukitaka kumtoa kiurahisi we usihangaike tu, washa moto kisha chukua chumvi ile ya mawe tia kwenye moto ikianza kulia ile Ta ta ta taa taa utaona linavyotoka nduki, yaani hapo ndo utajua huyu Nyoka anambio namna gani kisha na wewe ndo utakapoanza kuchukua mazoezi ya kufukuzana nae, ila usimkimbize umbali mrefu maana mlio utakapokoma madikioni mwake na yeye atakugeuzia kibao
Alikuwa ni wa aina gani?Kbs yaani, mie siku moja tu nilikuwa napika zangu mara ile navuta mlango wa jiko ili niufunge ghafla naona nyoka anaingia ndani, nilichofanya ni kuachia mlango na kupitia mtoto wangu sebuleni mbio hadi nje na yowe la kufa mtu.
Kigoma hakuna mbuyu...hata wa bahati mbaya mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana huenda na yeye alihadithiwa na mjomba au Shangazi.
Akikufikia anatema hilo wese lake au?Nyoka anaependa kuingia ndani, kule Mtwara ni Cobra, na ndiye mwenye tabia ya kugonga vyombo, ama kila anachihisi ni hadui, awapo ndani ya nyumba.