Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Mmmmmh...ulipata na nguvu ya kuangalia season kweli?

Asee
 
Hahahahahahaha labda anapenda siasa sana, na rangi yake hiyo anatamanije awe hata diwani
 
Hua hagongwi huyu dadek mnashukuru hajadandia kwachin yagari
 
Hapo kwa hiyo ni kubeba kijinga cha moto na chumvi kibao mfukoni ni mwendo wa speed na kasauti ta ta ta ta ta ta ta ta ta
Mpaka aishiwe nguvu za kukimbia
 
Ya mwaka gani?!
Nlikisoma darasa latano 2003, stori inaitwa upatu shujaa huyu dogo alikua nawenzie kwenda kuchunga ghafla koboko akatokea akaua ng'ombe wakutosha wenzie wakakimbia upatu akajitoa kupambana had kumuua koboko nakurud nae home, unambiwa kijij kiliweka sherehe mana huyo koboko alikomaa na aliua watu namifugo wengi
 
Uoga kupiliza wa nyoka unaitwa Ophidiophobia mtu anaweza hata akaangusha gari kwa kuona nyoka mdogo barbarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…