Ndio 7bu yenyewe hiyo sasaMkuu koboko tena?!ngoja tuendelee Koboko hasa yule mkomavu anaweza kukugonga bila sababu ili ufe tu.
Dah miaka hio ndio ilikuwa na Koboko kila kona.1971 a long time ago
Kama ungeendelea aisee siwapatii taswira (picha) hao jamaahuyo mtaalam... huwa hafanyi makosa akiwa kazini, kipind cha zaman kidogo.... wazungu walienda tabora... wakasikia habari ya kiumbe huyu( kama ilivyo marufuku kumtaja jina)... wakabisha sana juu ya habar zake... maana wao walikuwa wanaamin hakuna kama cobra..
shauku ilivyowajaa... wakatoa dau zuuri... kwa kijana atakayemkamata 'mtaalam' na kuwaletea..... ghafla akajitokeza masai mmoja kwa kujiamin.. kuwa wampe siku tatu... atakuwa ameshamkamata....
masai akazama vichakani.... katika kupitapita... akamkuta mtaalam anakula asali..... masai akamvalisha gunia mtaalam pamoja na mzinga wa asalii.....
aisee... itaendelea... nisije nikafungua uzi ndan ya uzi....
Aha ha haaaaaa! Umenchekesha ila sidhani kama ataishiwa nguvu za kukimbia maana huyo jamaa ni mtata sana kwenye mbioHapo kwa hiyo ni kubeba kijinga cha moto na chumvi kibao mfukoni ni mwendo wa speed na kasauti ta ta ta ta ta ta ta ta ta
Mpaka aishiwe nguvu za kukimbia
Ndio Simba anakutafuna kwa sababu unakua msosi lakini Koboko anakuuwa basi.Ndio 7bu yenyewe hiyo sasa
Afadhali asee..alimuua?Hata simjui ila ni Hawa nyoka weusi, cha ajabu ktk lile yowe kalikuja ka kijana kadogo ndio kakapambana nae.
Sio Koboko huyo.Lkn lilibahatika kumtemea mate mama,
Alimuua na sikuwahi kufungua ten mlango wa jikoni hadi nilipopata msichana wa kunisadia kazi. Nae nilishampa tahadhari kbs mlango usikae wazi kukiwa hakuna mtu jikoni.Afadhali asee..alimuua?
Kumbuka hata koboko ana hiyo tabia pale anapohisi hatari, pia anatabia ya kutega kwenye paa la choo (kwa waliopitia maisha ya vijijini wanajua vyoo vya kule vinavyokuwa vifupi) sasa ukiingia tu kwa lengo la kujisaidia aja kubwa maana lazima utangulize kichwa, unajikuta unapata konzi murua kabisaNyoka anaependa kuingia ndani, kule Mtwara ni Cobra, na ndiye mwenye tabia ya kugonga vyombo, ama kila anachihisi ni hadui, awapo ndani ya nyumba.
Ni wapi huko?Alimuua na sikuwahi kufungua ten mlango wa jikoni hadi nilipopata msichana wa kunisadia kazi. Nae nilishampa tahadhari kbs mlango usikae wazi kukiwa hakuna mtu jikoni.
Yap, sio ila ndio nataka kujua jina. Ndio swilla au? Wale nyoka wakikomaa wanaota tena kisunzu km jogoo.Sio Koboko huyo.
Eeeh ni mjini, sema enzi hizo jirani yangu alikuwa amefyatua tofali na zilikuwa na muda mrefu pmj na mawe. Na mie kwangu sikuwa na uzioNi wapi huko?
Sio mjini?
Vibaya sanaDah miaka hio ndio ilikuwa na Koboko kila kona.
Ilikuwa ni kipindi cha masika, mvua imetoka kunyesha. Wahenga wakasema alikuwa anatafuta hifadhiNi wapi huko?
Sio mjini?
Hao wanaoota upanga kama wa Jogoo ni jamii ya koboko, wanapatikana sana majira ya kiangazi maeneo ya milimani pia wanatabia ya kusikilizia vishindo vya binadamu akijua upo peke yako au mpo wawili atawika, ila mkizidi mkiwa watatu na kuendelea anauchuna,Yap, sio ila ndio nataka kujua jina. Ndio swilla au? Wale nyoka wakikomaa wanaota tena kisunzu km jogoo.
Mimi ningemwacha tu aendeAha ha haaaaaa! Umenchekesha ila sidhani kama ataishiwa nguvu za kukimbia maana huyo jamaa ni mtata sana kwenye mbio
Nami ndivyo nijuavyo...Hapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
We jamaa! Kahhahahahahahah
Anhaaa ila wao hawana hasira km za hilo dude, maana kwa jinsi nilivyopitia comments za wadau humu basi hakika mama yetu tusingekuwa nae kbs.Hao wanaoota upanga kama wa Jogoo ni jamii ya koboko, wanapatikana sana majira ya kiangazi maeneo ya milimani pia wanatabia ya kusikilozia vishindo vya binadamu akijua upo peke yako au mpo wawili atawika, ila mkizidi mkiwa watatu na kuendelea anauchuna