Jiwe lipo mkuu hata mim nmewai sana kushuhudia kama unasuma likiwekwa linanasa sumu ikisha linaachia bila hil jiwe vifo vyanyoka nange vngekua vingi mana hospital ningum vjijinHakuna ushahidi wa kisayansi unao onyesha kuwa huwa linanyonya sumu,sumu ikishaingia kwenye damu inachanganyika na damu,ili uinyonye itabidi unyonye damu.
Na kila mara lazima tui la nazi lirushwe mbali zaidi.Ukinywa hiyo ngoka wa chini ya kitovu anakua na sumu kali sana na ana uwezo wa kuingia shomoni na kutoka mara nyingi zaidi bila kuchoka
Kuna majukwaa na threads tofauti ambapo unaweza kuongelea polisi, mfalme, nyuki etc na pia sio lazima upendezewe na wanachopendezewa wewe, wape uhuru wale wanaopenda masimulizi ya koboko na usionekane kukerekaUPUMBAVU WA WATU NI HUU
YAANI INAONEKANA KOBOKO NDIO BABA LAO DUNIANI KOTE SASA HAKUNA LA ZAIDI
MIMI BORA NIKUTANE NA KOBOKO KULIKO POLISI FULANI WA MITAA FULANI
UKITAKA KUAMINI KAULI YANGU UTAISHIA KUSIKIA MASIMULIZI TU LAKINI KUJA KUPATA WATU WALIOULIWA NA KOBOKO BASI YAWEZA KUWA NI WATU WAIWIL AU MMOJA NAO UNASIMULIWA TU HATA MAKABULI YAO HAYAPO.
AMBAO WANAELIMU ZA NYOKA NAIMANI KABISA HAKUNA NYOKA AMBAYE NI TISHIO
MFANO KWA FACT(Nyuki ni hatari sana kama usipomjua alivyo lakini tunaowajua nyuki unalina asali hata pasipo moto na mchana wa jua kali kabisa)
Uzembe mkubwa tulionao nikujazana hofu namna hii ndio maana tunakufa sana kwa vitu vidogo ambavyo kiuhalisia hakuna hata ambavyo ungeweza kupona
ila ushakalili koboko hatari hatari hatari Pumbaaaaaaafu.😀😀😀😀
huyo koboko bora nikutane naye kuliko mfalme **** maana kinachokupata ha ha ha ha aha ha mie simooooooo
Wanakula huko CameroonHuyo ndio viper?
Tatizo ni ushahidi wa kisayansi.Jiwe lipo mkuu hata mim nmewai sana kushuhudia kama unasuma likiwekwa linanasa sumu ikisha linaachia bila hil jiwe vifo vyanyoka nange vngekua vingi mana hospital ningum vjijin
Ndo viper mwenyewe.Huyo ndio viper?
Sio tatoo ni sumu hiyo ambayo hutolewa na tenticles.Samaki anachora tatoo[emoji1] [emoji1]
Kama huna mchubuko mdomoni safi tu.Hilo unachukua unalamba
Maumivu anayoyapata hapo kama ni haja zote zimetoka tena bila yeye kujijua.Samaki anachora tatoo[emoji1] [emoji1]
Mkuu achana na story za Zimbabwe, wewe uliza hata hapo ulipo kuna wazee wanajua mziki wa huyo koboko hakuna kupona eti kwa kupelekwa hospitali. Nachojua tu maeneo ya Kakonko kuna mzee mmoja anatibu kwa kutumia miti pori sikuwahi kusikiwa mwingine yeyote mahali popote.Urambo kule waligongwa watu wawili walikuwa porini wanachana mbao hawakuchukua hata dakika hamsini.Ushahidi unaonyesha kuwa ukiwa na bahati unaweza kupona,kuna watu kama wawili hivi waliogongongwa na Koboko na kulazwa ICU na kuwekwa kwenye Life Support Machine bila ya Antivenin na kwa bahati nzuri walipona,tukio hili lilotokea huko Zimbabwe.
Sasa hivi Box jellyfish ndie anae ongoza kwa kuuwa watu kuliko Shark.Maumivu anayoyapata hapo kama ni haja zote zimetoka tena bila yeye kujijua.
Hao walikosa tiba wa UramboMkuu achana na story za Zimbabwe, wewe uliza hata hapo ulipo kuna wazee wanajua mziki wa huyo koboko hakuna kupona eti kwa kupelekwa hospitali. Nachojua tu maeneo ya Kakonko kuna mzee mmoja anatibu kwa kutumia miti pori sikuwahi kusikiwa mwingine yeyote mahali popote.Urambo kule waligongwa watu wawili walikuwa porini wanachana mbao hawakuchukua hata dakika hamsini.
Uliwahi kumuona akitibu mtu alie gongwa na Koboko?!Nachojua tu maeneo ya Kakonko kuna mzee mmoja anatibu kwa kutumia miti pori
Hivi ni mrefu zaidi ya African Rock Python?Yaah hujakosea ni the most longest, fastest and deadliest animal in africa
Hapana python mrefu sana ila ajamuacha mbali. Koboko ni wapiliHivi ni mrefu zaidi ya African Rock Python?
2003 ulikuwa la tanoNlikisoma darasa latano 2003, stori inaitwa upatu shujaa huyu dogo alikua nawenzie kwenda kuchunga ghafla koboko akatokea akaua ng'ombe wakutosha wenzie wakakimbia upatu akajitoa kupambana had kumuua koboko nakurud nae home, unambiwa kijij kiliweka sherehe mana huyo koboko alikomaa na aliua watu namifugo wengi
Yeah, naweza hata kukupeleka kwake. Pia nakupeleka kwa huyo aliyegongwa na koboko ashuhudie mwenyewe aliyemtibu. Wote wapo hadi leo hii!Uliwahi kumuona akitibu mtu alie gongwa na Koboko?!