Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Hakuna ushahidi wa kisayansi unao onyesha kuwa huwa linanyonya sumu,sumu ikishaingia kwenye damu inachanganyika na damu,ili uinyonye itabidi unyonye damu.
Jiwe lipo mkuu hata mim nmewai sana kushuhudia kama unasuma likiwekwa linanasa sumu ikisha linaachia bila hil jiwe vifo vyanyoka nange vngekua vingi mana hospital ningum vjijin
 
Ukinywa hiyo ngoka wa chini ya kitovu anakua na sumu kali sana na ana uwezo wa kuingia shomoni na kutoka mara nyingi zaidi bila kuchoka
Na kila mara lazima tui la nazi lirushwe mbali zaidi.
 
UPUMBAVU WA WATU NI HUU
YAANI INAONEKANA KOBOKO NDIO BABA LAO DUNIANI KOTE SASA HAKUNA LA ZAIDI
MIMI BORA NIKUTANE NA KOBOKO KULIKO POLISI FULANI WA MITAA FULANI

UKITAKA KUAMINI KAULI YANGU UTAISHIA KUSIKIA MASIMULIZI TU LAKINI KUJA KUPATA WATU WALIOULIWA NA KOBOKO BASI YAWEZA KUWA NI WATU WAIWIL AU MMOJA NAO UNASIMULIWA TU HATA MAKABULI YAO HAYAPO.

AMBAO WANAELIMU ZA NYOKA NAIMANI KABISA HAKUNA NYOKA AMBAYE NI TISHIO
MFANO KWA FACT(Nyuki ni hatari sana kama usipomjua alivyo lakini tunaowajua nyuki unalina asali hata pasipo moto na mchana wa jua kali kabisa)

Uzembe mkubwa tulionao nikujazana hofu namna hii ndio maana tunakufa sana kwa vitu vidogo ambavyo kiuhalisia hakuna hata ambavyo ungeweza kupona
ila ushakalili koboko hatari hatari hatari Pumbaaaaaaafu.😀😀😀😀

huyo koboko bora nikutane naye kuliko mfalme **** maana kinachokupata ha ha ha ha aha ha mie simooooooo
Kuna majukwaa na threads tofauti ambapo unaweza kuongelea polisi, mfalme, nyuki etc na pia sio lazima upendezewe na wanachopendezewa wewe, wape uhuru wale wanaopenda masimulizi ya koboko na usionekane kukereka
 
Jiwe lipo mkuu hata mim nmewai sana kushuhudia kama unasuma likiwekwa linanasa sumu ikisha linaachia bila hil jiwe vifo vyanyoka nange vngekua vingi mana hospital ningum vjijin
Tatizo ni ushahidi wa kisayansi.
 
King Cobra na ujanja wake wote hawezi kumfikia Koboko aliyekomaa.
 
Samaki anachora tatoo[emoji1] [emoji1]
Maumivu anayoyapata hapo kama ni haja zote zimetoka tena bila yeye kujijua.

Wana maumivu makali sana hao
Niliguswa na jamii ya huyo yaani maumivu yalikuwa ni makali sana lakini sio kama ya huyu
 
Ushahidi unaonyesha kuwa ukiwa na bahati unaweza kupona,kuna watu kama wawili hivi waliogongongwa na Koboko na kulazwa ICU na kuwekwa kwenye Life Support Machine bila ya Antivenin na kwa bahati nzuri walipona,tukio hili lilotokea huko Zimbabwe.
Mkuu achana na story za Zimbabwe, wewe uliza hata hapo ulipo kuna wazee wanajua mziki wa huyo koboko hakuna kupona eti kwa kupelekwa hospitali. Nachojua tu maeneo ya Kakonko kuna mzee mmoja anatibu kwa kutumia miti pori sikuwahi kusikiwa mwingine yeyote mahali popote.Urambo kule waligongwa watu wawili walikuwa porini wanachana mbao hawakuchukua hata dakika hamsini.
 
Mkuu achana na story za Zimbabwe, wewe uliza hata hapo ulipo kuna wazee wanajua mziki wa huyo koboko hakuna kupona eti kwa kupelekwa hospitali. Nachojua tu maeneo ya Kakonko kuna mzee mmoja anatibu kwa kutumia miti pori sikuwahi kusikiwa mwingine yeyote mahali popote.Urambo kule waligongwa watu wawili walikuwa porini wanachana mbao hawakuchukua hata dakika hamsini.
Hao walikosa tiba wa Urambo
Lakini wapo wazee wanatibu aina nyingi za sumu ya nyoka.
Kama hujawahiwa ni kwaheri
Lakini wapo wanaopona
 
Nlikisoma darasa latano 2003, stori inaitwa upatu shujaa huyu dogo alikua nawenzie kwenda kuchunga ghafla koboko akatokea akaua ng'ombe wakutosha wenzie wakakimbia upatu akajitoa kupambana had kumuua koboko nakurud nae home, unambiwa kijij kiliweka sherehe mana huyo koboko alikomaa na aliua watu namifugo wengi
2003 ulikuwa la tano
 
Back
Top Bottom