Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

huyu mnyama ana courage ya ajabu sana akiamua kutuna hata simba hamsogelei. anapata chakula chake katika mazingira ya taabu sana i.e asali na nyoka japo katika mawindo yake hua anakosea step na kuuwawa na sumu ya nyoka.

Hapana mkuu, huyu mdudu ni kweli huwa anakosea step anagongwa na black mamba, lakini kabla ya kuwa unconscious anamuua kabisa black mamba then anapoteza fahamu kwa Muda fulani, akizinduka tu anaendelea kupiga msosi kama kawa, huwa hafi kabisa, anazimia tu.
 
Huyo nae ni habari nyingine, anaweza akabadili historia ya maisha yako kama wewe ni mwanaume within seconds

Honey budger yy ukiiba asali yake atakufuata kokote unakoenda kwa kunusa harufu, akifika anachomoa pumbu zako anaondoka nazo....haogopi mtu huyu mdudu, hata uwe na silaha:sly:
 
huyu black mamba ni mfalme wa poli haliwi na chatu maana ana spidi kali japo nasikia adui yake ni Eagle na tumbili, hua hachomoki lazima aliwe

pia kuna wale siafu weusi,nakumbuka sisi tuliwapaga jina lautani utotoni tulikuwa tunawita FFU,maranyingi wanapatikana maporini ukiwachokoza huwa wanahasira kari unaweza kuwasikia hadi wanavyo lia.hao pia koboko hapo haoni ndani
 
Mkuu kumbe unaijua habari yake!

Huyu mdudu alishawahi kunikosa kosa vibaya, alinirukia bahati nzuri nikajikwaa akapita juu japo alinijeruhi kidogo, nilisaidiwa na waliokuwa jirani, siku nyingine nilikuta hospitali watu wa familia moja watatu na majeraha mabaya, nikaelezwa ni hako kajamaa kanahusika
 
Mtaala mnaotumia umepitwa na wakati,black mamba ndio koboko
 
Hilo lilikuwa ni joka la kisra, majoka haya ya mibuyuni ni majoka ya karne,huwa mekundu kwa juu!yana sumu kali sana!ni kama mizimu
 
Thubutu.
Afu kuna sehemu niliona aina fulani ya nyoka yaani wamefanana kopiraiti na uume.
Wanaitwaje na wanapatikana wapi?
Yaani ukimuona ni kama umeuona uume tu

Ni kweli mkuu,nyoka hawa wakikugonga chini,unavimba juu!!
 
Unishindi mimi hata wale wanaokula panya nikisikia kaingia ndani nahamia guest house mpaka nihakikishiwe kauwawa na nyumba lazima ifanyiwe fumigation ya maana.
Likija swala la nyoka nakuwa mpole sana
 
Ni kweli mkuu wangu nilikuwa natazama Dstv channel ya wanyama wanasema sifa kubwa ya Honey barger ni ngozi ngumu so inakuwa vigumu sana meno ya Koboko kupenya na kumwachia sumu.Nilio hata Nguchiro wakimtoa jasho Koboko kwa kutumia wingi wao wanamzunguka akitaka kumgonga Nguchiro mmoja mwingine anamkusa mkia akigeuka mwingine anamgusa tumbo mchezo unaendelea hadi akachokoa na kutimia mbio.

Huyu jamaa kamsikia koboko sijui black mamba anajitapa kwamba ameshindikana, hapa black mamba analiwa vizuri tu, tena kiulaini kama urojo wa kipemba.
 
kifutu ni boomslang

Boomslang ana tabia ya kuishi juu ya miti na akiwa amejiviringa rangi yake ni greenish. Kifutu ni puffada na koboko ni black mamba. Period. Nenda pale snake farm Arusha ujionee mwenyewe.
 
huyu ndo kifutu yaani boomslang
hawa ni puff adder ndo koboko
kaka unafahamu study za reptiles na amphibians?unafahamu classification na identification vizuri?tusije bishana kumbe mwenzangu haupo huku kaka.

Kaka acha kupotosha watu kifutu sio boomslang.
 
Honey budger yy ukiiba asali yake atakufuata kokote unakoenda kwa kunusa harufu, akifika anachomoa pumbu zako anaondoka nazo....haogopi mtu huyu mdudu, hata uwe na silaha:sly:
duh! inabidi kuvaa chupi ya ngozi!
 
huyu mnyama ana courage ya ajabu sana akiamua kutuna hata simba hamsogelei. anapata chakula chake katika mazingira ya taabu sana i.e asali na nyoka japo katika mawindo yake hua anakosea step na kuuwawa na sumu ya nyoka.

Ni shujaa sana, kuna mahali tulikuwa km tumemfuga hivi kwa kumzoesha kumuwekea chakula sehemu moja, alikua akawa mkubwa sana. Even though she never been our friend ever!
 
Hii sumu inaonekana ni kali sana...... Lakini Mungu anamakususudi yake...pengine ndio dawa ya ukimwi hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…