Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Ukikutana na nyoka aina yoyote wewe mtemee mate yako tu kwisha habari. Hakuna cha koboko wala white mamba. Uzoefu huu nimefundishwa na babu kwahiyo tusilaumiane...
 
Nilichopenda kwenye habari hii ni jinsi unavyoelezea kama unatangaza mpira na moja ya timu zinazocheza unaishabikia wewe na ina miliki mpira kwa asilimia nyingi.
 
Chakula cha Honey badger (Nyegere) hawa. Pia hakatizi kwa Vicheche (mangoose)
 

Huyu ndio koboko mkuu, ndio sifa zake hizo, na sio sabini tu hata mia anawakalisha vizuri tu
 
Nyoka unapomuogopa unampa kichwa. Unaanzaje kuogopa chakula?mimi kijijini kwetu ukitaka watu wajae nyumban kwako na wagombanie kuingia ndani sema kuna nyoka. Utaona vitoto vya miaka mpaka mitatu vinakuja kasi sana kutaka kumkamata.ni chakula. Anatolewa magamba anachomwa na moto wa taratibu au anakatwa katwa vipande anakaangwa.hapo hiyo family siku hiyo watamla huku wakiimba kwa furaha sana.

Sisi wanaume tunaamini pia nyama yake inaongeza nguvu za kiume hasa hawa koboko ukila ile aisee....unakuwa gudume hasa. Na unaiona kazi yake maana wake huwa wanalalamika kuwa inakuwa issue mech usiku mzima.

Sometime anachukuliwa ngoz inavuliwa kitaalam halafu anaanikwa juani juu yake inawekwa miba ili kunguru wasimbebe. Akikauka anasagwa.ule unga tunatumia kwenye kinywaji. Au unakuwa unalamba. Wale wanaume wa kware ambao wanapenda kugonga sana anajipaka kidogo sehem yake ya uume. Hapo anaweza gonga wanawake hata 100 akawaua wote halafu ndo akamaliza.na anakua na speed ya ajabu sana kama nyoka koboko tu.

Na hawa koboko,kifutu na swila sisi hatuwashiki kwa kuwaua unatakiwa ucheze naye mpaka achoke then una mtaimu kichwan.yaani ni raha sana halaf ukimshika tu unamkata kichwa kwa meno. Basi hapo home inakuwa kama krismas na siku hiyo watakuja mabint kukusalimia kijiji kizima wakicheka cheka na kukusifia.

Nyoka watamu jaman acheni. Na usitumie ile dawa kama hujaoa maana ule mpako mmoja effect yake ni jumla ya miaka ambayo yule nyoka alibakiza kuish.ndo nayo inapungua unarud kuwa kawaida.
 
Ninao wanne nawafuga home aiseee kuna wakati hata bandan mwao huingii utaona dall zake hasa akiwa na njaa
 
Koboko ni aina gani ya nyoka?nadhani ndiye nyoka hatari kuliko njoka wengine wote anaishi kwwnye vichaka vilivyotulia na misitu yenye giza.yuko kundi lipi?
Na anapenda sana kukaa kwenye mashamba ya bangi na tumbaku,watu wa tabora habari zake wanazo huyo bwana akikulenga hakukosi na anajua kumsoma adui barabara
 

Hahaha eti anakula mti wa bangi
 
Huyu ni moja ya nyoka wenye kasi zaidi na wenye sumu kali zaidi duniani. Nyoka huyu hujulikana kama KOBOKO au Black Mamba, hupatikana katika sehemu za Mashariki na Kusini mwa Afrika na huishi katika Makazi yoyote ambayo hutoa joto na unyevunyevu. Nyoka huyu akitaka kufanya shambulio hutanua kinywa chake na shingo yake na hutoa sauti kama ile ya tairi likiwa linatoa upepo. 'Black mamba' ana aina mbili ya sumu zinazozalishwa katika mwili wake moja ni huitwa (Neuro) hii huathiri mfumo wa neva na nyingine ni (Cardio-toxin) hii huathiri mfumo wa moyo na sumu hizi zinaweza kuua binadamu chini ya dakika 20. Pia imethibitika kuwa matone mawili ya sumu yake yanaweza kuua lakini mbali na kiasi kikubwa cha sumu kali sana aliyonayo, Koboko hana ujanja mbele ya Nguchiro, Mbweha na Nyegere.
 
Umechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…