Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkHuyu anayetanua shingo ni cobra check on YouTube
Kabisa bro umeongea ukweliUmechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
Sio huyo mkuu,mwenyewe ni mweusi tii
huyu ni cobra na si black mamba.......bro unafanyia wapi tafiti zako bro.
Sawa brohuyu ni cobra na si black mamba.......bro unafanyia wapi tafiti zako bro.
kuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kwelijina "Black Mamba" linatokana na uweusi uliopo ndani ya mdomo wake, na siyo kwamba yeye ni mweusi kwa rangi.
Naomba unisadie tofauti za black mamba na cobra.kuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kweli
Black Mamba na Cobra wanasadikiwa kuwa katika family moja (elapidae). Cobra (swila) hutanua sana mbavu zake, na koboko mweusi (black mamba) hutanua kwa kiasi kidogo. Black mamba huacha mdomo wake mweusi wazi, ndio maana akaitwa BLACK MAMBA (japo rangi ya mwili wake si nyeusi).Umechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
Bro usikariri vitu inategemeana environment ya uyo nyoka fanya utafiti vizurSio huyo mkuu,mwenyewe ni mweusi tii
Asante james maana watu awajui species izi vizur wao wakiona black wanajua atakuwa mweusi tiiBlack Mamba na Cobra wanasadikiwa kuwa katika family moja (dendroaspis). Cobra (swila) hutanua sana mbavu zake, na koboko mweusi (black mamba) hutanua kwa kiasi kidogo. Black mamba huacha mdomo wake mweusi wazi, ndio maana akaitwa BLACK MAMBA (japo rangi ya mwili wake si nyeusi).
Ata black mamba anatuanua ilo sio kama cobra anavyofanyaHuyu anayetanua shingo ni cobra check on YouTube
Mziki wake sio simba,Faru John ita utakavyo wanamuachia himaya wanatimka....binadam ukikazingua kama mwanaume kanakimbilia haya maeneo yakutafutia heshima nyumbani.hakafai aisee huyu koboko kanamla kuanzia kichwani pamoja na sumu zake zote.Nyegere ni hatari sn
Dah! Tabu yote ya nini?Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
Wa kijani ni Green Mamba...kuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kweli