Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Daaa aisee sipati picha abiria waliokuwa ndani ya basi walikuwa wanamwangaliaa kwa sura ya aina ganiii wakati koboko analikimbimbiza basiii lao maana nasikia yule mshenzi mkiacha tuu kioo wazi anaingia ndani na kishaa anaanza kufanya vujo zakeee
Hakufanikiwa kuingia ila washkaji waliokuwa pale stendi ya zamani wanasema choo cha kulipia kilikuwa hakitoshi mpaka ilibidi wengine wahonge.
 
E

Na hao bado hawajakomaa vizuri kuna koboko alionekana Zimbabwe alikuwa ni mrefu sana waliomuona wanasema ameweka record.
Ni kawaida kwa reptilia kukua kama wanapata favourable conditions zote.

Kuna mamba anazurura ziwa Victoria mto Rusizi na maeneo ya karibu wamempachika jina la Gustave, anakula binadamu kama hana akili vizuri wazungu wakamtengenezea muvi inaitwa Primeval.

Ameongezeka ukubwa vibaya mno
 
Yaani ileeeeeeeee paaaaap unafika home kitu unakiona nacho ndio kinashuka chini ya gari sipati picha mbio utakazoziacha hata Usain Bolt atashangaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii chumvi imezidi sasa
 
Yaani ileeeeeeeee paaaaap unafika home kitu unakiona nacho ndio kinashuka chini ya gari sipati picha mbio utakazoziacha hata Usain Bolt atashangaa
Unadhani mamba atashuka kama wewe unavyoshuka ghorofani? Yaani ni ile kushusha mguu wa kwanza tu tayari dose! Ukishusha mguu wa pili unapata tena, akishuka mwingine anapata pia. Jamaa halina muda wa mauzo, ni vita vita mura...
 
Unadhani mamba atashuka kama wewe unavyoshuka ghorofani? Yaani ni ile kushusha mguu wa kwanza tu tayari dose! Ukishusha mguu wa pili unapata tena, akishuka mwingine anapata pia. Jamaa halina muda wa mauzo, ni vita vita mura...
Hiki kiumbe hakifai
 
Duhhhh viumbe wengine bora majini
 
Tembea Na pilipili kavu mifukoni, nyoka aina yoyote hatokusogelea
 
Brother mimi mwenyewe nipo [B[USHIROMBO[/B] mwaka wa 8 huu na nimetembea kote MNEKEZI,BULEGA, KAKOYOYO,LUREMBELA,NYAMPLALA, BUTUBRI Sijawahi kusikia koboko wala nini isipokuwa COBRA ,CHATU ndo wanapatpatikana sana sasa wewe naomba unieleze huyo koboko wako ulimuonea barabara gani hapa USHIROMBO
 
Brother mimi mwenyewe nipo USHIROMBO mwaka wa 8 huu na nimetembea kote MNEKEZI,BULEGA, KAKOYOYO,LUREMBELA,NYAMPLALA, BUTUBRI Sijawahi kusikia koboko wala nini isipokuwa COBRA ,CHATU ndo wanapatpatikana sana sasa wewe naomba unieleze huyo koboko wako ulimuonea barabara gani hapa USHIROMBO
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii chumvi imezidi sasa
Mjomba sio chumvi ni kweli kabisaa koboko hata uwee na silaha moto na mpo wengi wote mnakula doziiii hata muende maji ya kuwasha,mabomu ya machozi, risasi za moto mapambano yake si ya kitoto.

Kuna uzii nautafutaa waziri nyalandu akiwa waziri wa maliasili alituma kikosi maalumu cha kupambana na koboko vita yake ilikuwa sio mchezoo huo uzi ulishawahi kuwekwa humu ngoja nitauweka kuna watu walikuwa wanatoa ushuhuda kuhusu mapambano yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…