Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Hapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Hajakosea, black mamba ni koboko na puff adder ni kifutu. Na ni kweli amepata jina la black mamba kwa sababu kinywa chake ni cheusi. Ngozi yake ni kijivujivu sio nyeusi
 
Niliyowahi kushuhudia ya nyoka huyu Chunya mbeya acha ninyamaze tu asije fika hapa nilipo!.
Alifunga kijiji kizima baada ya kukorofishwa na vijana wa kisukuma na wawili wali-rest in peace before hawajamuona dokta.
Nitakuja na story kamili nikipata muda jinsi kijiji kilivyopata shida siku 3 kumuwinda mpaka kumuua lkn ni simulizi mpaka leo toka mwaka 2011
 
Hapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Huyo unaemwelezea ndio kifutu... koboko ndio black mamba mkuu
 
Na swila ndo yupii jaman nazidi kuchanganyikiwaa
 
Dawa yake HoneyBurger ( Nyegere )
 
Kabla hujaanzisha uzi hakikisha kwa kusearch kwanza kama hyo mada ilishaletwa ikajadilowa au lah
 
Ukiona mzungu anakwambia most dangerous snake in Afrika ujue inawezekana yuko Afrika ndo maana wanamweka namba nne Duniani kwa sumu angekua ulaya angekua namba moja wazungu sometimes ni hawakubali ukweli
 
12km/hr hta nn nakimbia zaid ya iyo
 
Sasa eti wanasema huwezi kumtaja.

Hii haina maana yoyote na ndio maana hatuwezi kujifunza mambo tunasubiri wenzetu wajifunze ndio tusome vitabuni.
 
Labda simba, chui ni hatari pia.

Koboko ni nyoka hatari. Mate yake tu ni sumu tosha ya kukua ndani ya muda mfupi. Akiamua kung'ata, anang'ata eneo ambalo halitibiki hata iwe vipi. Mara nyingi target zake ni kisogoni. Pia koboko akiamua kukimbia hakuna wa kumshinda. Ana uwezo wa kuruka mita kadhaa kwa mara moja. Hivyo hata uwe na speed ya bolt, kwa nyoka huyo unajidanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…