[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Njooni kwetu mpate dawa za nyoka uyo koboko unamkamata na mkono
Hajakosea, black mamba ni koboko na puff adder ni kifutu. Na ni kweli amepata jina la black mamba kwa sababu kinywa chake ni cheusi. Ngozi yake ni kijivujivu sio nyeusiHapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Huyo unaemwelezea ndio kifutu... koboko ndio black mamba mkuuHapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Na swila ndo yupii jaman nazidi kuchanganyikiwaaKoboko ana hasira sana ukikutana nae ni kutambika kikwenu au sala ya mwisho.
Usithubutu kukimbia kwani ana mbio za ajabu na kama kuna matuta ukajifanya kuyaruka yeye anatambaa juu ya matuta umenielewa
Ukiwa na gari ukamuona barabarani ataifukukuza gari na kuingia kwa chini na kujificha mpaka kwako
Hasira za kurushwa akitoka hapo ana uwezo wa kuuwa watu 25 kwa mkupuo na sumu yake huvuki dakika 30 ulimi nje.
Nawapenda nyoka lakini huyu sio rafiki kabisa very aggressive
Honey burger hauliwi na sumu ya nyoka mkuu yule ni habari nyingineHoney badger akikutana nakoboko aliekomaa panakua hapotoshi anaweza kumwua ila nayey hachukuia round
Yule anazimia kwa muda halafu anaendelea kudunda kama kawaida [emoji38][emoji38][emoji38].....Honey burger hauliwi na sumu ya nyoka mkuu yule ni habari nyingine
Muwinda huwindwa, hapa tai alimchanganya koboko na nyoka mwingine akagongwa, koboko hakuachia mpaka chui alipotia timu chi nae akapiga kwenzi.
Dawa yake HoneyBurger ( Nyegere )NI NYOKA WENYE SUMU KUBWA SANA,MFANO TUU BLACK MAMBA AMBAYE HUKU NDIO TUNAMWITA KOBOKO ANAUWEZO WA KUKUGONGA MARA 120 BILA KUCHOKA WALA KUPUNGUZA KIWANGO CHA SUMU ANAYOTEMA KILA ANAPOKUGONGA,SUMU AMBAYO INAKWENDA KUHARIBU NEVA ZA FAHAMU,PIA CHEMBE ZA KUGANDISHA DAMU ILI USITOKE KWENYE JERAHA YAANI PLATELETS HUWA HAZIWEZI ZUIA DAMU ISIACHE KUTOKA,NA PIA HUATHIRI MFUMO MZIMA WA DAMU,NI NYOKA HATARI SANA,
Hahaha acha tuYule anazimia kwa muda halafu anaendelea kudunda kama kawaida [emoji38][emoji38][emoji38].....
Kuna wanyama wamebarikiwa aise hasa huyu nyegere...
Kabla hujaanzisha uzi hakikisha kwa kusearch kwanza kama hyo mada ilishaletwa ikajadilowa au lahKuna sehemu nipo huku mkoani tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana tabora ,shinyanga,singida na kigoma.
Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayali kumuongelea kiundani wala kumtajaa kwa sababu ukiwa ndani ya mkoa wa tabora au shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.
Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chuiii
Huyu jamaa hua anasiz tuhoney badger
12km/hr hta nn nakimbia zaid ya iyoHuu ni moto wa kuotea mbali
Nakumbuka wakati Marehemu Samuel Sita aliomba watumwe kikosi kazi wakawasake hawa viumbe Urambo lakini walitahadharishwa wakaambiwa wanakwepa shaba hao na wana mbio za 12km/h
Ilibidi waombwe na wanakijiji wasaidie lakini wapi walikuwa wameishaua wanne
Ni kiumbe hatari kuwahi kuishi na wanapatikana maeneo mengi East and southern Africa
Wanatajwa sana kwa hilo jina mimi sijawahi kuambiwa usimtaje
Labda simba, chui ni hatari pia.Kuna sehemu nipo huku mkoani tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana tabora ,shinyanga,singida na kigoma.
Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayali kumuongelea kiundani wala kumtajaa kwa sababu ukiwa ndani ya mkoa wa tabora au shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.
Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chuiii
HapanaHivi koboko ndio anaitwa kifutu kwa jina lingine?