Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

hahaaa...daahhh acha basiii marehemu angefanyaje ??!!
 
Kuna koboko mmoja alikuta roli la madawa limeanguka vidonge vikawa vimesambaa kila mahali kwa njaa zake koboko yule akala Viagra basi alisimama mwezi mzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] chaii
 
Kinachochekesha ni kwamba pamoja na sumu yake yote akimng'ata nguchiro anazimia tu hafi. Hahahahahaha, nilivyosikia NAT GEO Wild nilicheka kweli, Mamba kajipiga akakang'ata kakalala baada ya muda kakamdaka yeye.
Nakumbuka na mimi niliona kipindi kinacho fanana na hicho ulichoona wewe battle ilikuwa ya haja!! Utofauti ni kuwa Mamba alikang'ata mara nyingi nyingi sana.

Kutokana na Majeraha Mamba alikufa ila alishakaingizia sumu ya kutosha kalizima kwa muda halafu kikaamka tena kikamla Mamba kiroho safi kabisa.

Hivi kuna tofauti kati ya nguchiro na Nyegele? (Honey badger) Kwa sababu ile niliyoona mimi ilikuwa Mamba vs Honey badger.
 
Nyoka wengi hua wana aibu na huwa wa kwanza kuretreat unless wawe cornered, koboko hajui kuretreat, ana accuracy, speed na bado yeye ndiyo ataanzisha ugomvi.

Iwe iwavyo ninachojua hachomoki mbele ya honey badger.
Nilitaka kuuliza hapo kwa honey badger maana huyu jamaa ni mbishi hatari, nyoka wote wanamuogopa hahahha
 
Jeshi la nyoka mmoja !!!
 
Unajua huyu mnyama huwa hana staha,kuna wakati huwa anang'atwa na nyuki mpaka anakufa.
Huyo ndiye nguchiro ...daah kama ndiye huyo kweli nimbishi "" halafu mbona kama anafanana nawale waliomkimbiza yule mzungu wa kwenye bush man (the god must be crazy) mpka wakawa wanakula viatu vyake ...wale nao walikuwa wabish mnooo aisee
 
Kiboko ya koboko ni nyegere
 
Huyo ni Badger bird akiona mzinga wa nyuki huwa anaenda alipo Nyegere na kuanza kuimba imba Nyegere akimuona huyo ndege anajua asali imeoatikana bila kujua nyuki wanamsubiri.
aiseee nyegere ndiye nguchiro "" daahh kwahiyo huyo ndege ni mchochezi ...wataka kuniambia ndio tabia ya zito ?? hahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…