Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Huyu jamaa ameng'atwa na Kifutu Puff adder ni bora koboko unakufa tu basi yanaisha
 
Duuh imechukua muda gani mpaka hali kufika hivyo!????
 
Huyo unaogopa kumtaja ni imani haba tu,hakuna lolote
 
Mkuu huyo ni nyoka aliyetumwa kichawi. Sifa moja ya black mamba NI NYOKA MWENYE AIBU SANA, nyoka huyu hawezi kupambana uso kwa uso na mtu, ukimuona tu anakimbia sana. Na hii story yako imetiwa chumvi sana hasa hapo uliposema walikuta gamba la mamba aliyejichuna baada ya kumgonga huyo bwana, zoezi la nyoka kujitoa gamba ni la muhimu sana kwake na huchukua muda mrefu. huwa anajitoa sehemu iliyotulia sana (mbali porini) kusema alijitoa hapo ndani ni uongo mkubwa.
 
Duuh imechukua muda gani mpaka hali kufika hivyo!????
Baada tu ya kung'atwa yana anza maumivu makali sana na malengelenge baada ya siku mbili mkono hauwezi kuutambua unavimba kama balooni halafu unaanza kuoza.wiki tu.
 
Mkuu koboko tena?!ngoja tuendelee Koboko hasa yule mkomavu anaweza kukugonga bila sababu ili ufe tu.
Hapana wala hagongi ovyo mpaka umchokoze mwenyewe au umukanyage, make ile sumu yake imetengenezwa kwa ajiri ya kutafutia chakula, to kill prey, hata pia anavyokugonga yani anaona hasara xana sumu yake ya kuulia wadudu anakuuwa weewe jitu zima
 
Unajua kwanini watu hung'atwa sana na Puff adder?!huwa wanamchanganya na Puff dady yule rapper wa marekani basi huwa wanaenda kumpa mkono kwa ajili ya kumsalimia na kumpongeza kwa zile rap zake machachari ndipo wanapokula bite!
 
Puffader naye mpaka umkanyage ndio akungate Kama hujamkanyaga Hana muda na wewe mie hata ndani kwangu nikimkutaga namuacha tu make nampenda alivyo mpolee
 
Kutana na nyoka wote lkn sio hyo , kwanza ukikutana naye anakutiasha kwa kwa sauti fulani hivi ole wko uiname kuchukua kitu umpige umekwisha but ukisimama tu bila kufanya chochote anakuacha na kuondoka zake
 
Eneo la kujidai la Koboko ila waneanza kupungua sana kutokana na harakati za mwanadamu
 
Aaah unaroho mzee, mimi sichagui chochote kabisa kama kuna wauaji wameniambia kuchagua nawaambia watachagua wenyewe si wameamua.
haahaha
maaana chochote utakacho kichagua hapo lazima ufe tu ""
 
Aaaaa kwa hiyo katika jamii ya mambas..

Black ndio washari sana?
Wengine ni GREEN MAMBA huyu mwili wake ni wa kijani tii (inayong'aa) huyu anakaa juu ya miti yenye matawi ya kijani ni vigumu kumuona kirahisi. Huyu naye kama black mamba hatemi mate (spit) yeye ni kung'ata tu ila huyu sio hatari/maarufu sana kwani sumu yake sio kali sana unaweza kukaa zaidi ya masaa 24 kabla hujafa.
Usichanganye na mwingine wa kijani lakini ana madoadoa meusi mgongoni yeye hana madhara hata akikung'ata anapoteza nguvu zake tu(ni kama toy tu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…