Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Huyu ni black mamba kwa jina lingine ni mweusi wa kung'aa na jina hili la black ni kwa sababu ndani ya mdomo wake ni mweusi sana na cha ajabu akipanua mdomo utafikiri jeneza.
Wa Kijivu, mweusi wa kung'aa ni SWIRA au COBRA kwa kiingereza!
 
Hapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Puff Adder ni Kifutu, Black/Green mamba ni Koboko, Cobra ni Swira!
 
Man dies following black mamba bite
Posted on 8 April, 2015 by News Desk in News and the News Desk post series. — 1 Comment
Posted: April 8, 2015

EXTRACT FROM THE FOLLOWING THIRD PARTY SOURCE: Mpumalanga News

A man in his his early 30s was killed after he was bitten by a black mamba. According to an eyewitness the man was with others in a field when the slithering creature surprised them. “I think the snake got defensive when they tried to kill it. They then tried to run away when they saw it becoming too vicious and unfortunately the man was bitten,” said the witness.



Local police were called and the man was rushed to hospital but he was certified dead on arrival. According to the police a search for the snake was conducted and it was found and taken to the local police station.

Here are tips from Siyabona Africa Nature on what to do if you encounter a snake in the bush.

*When hiking in the bush it is important that you do not pick up, poke or provoke any snake that you come across, even if it appears to be dead – some snakes such as the Rinkhals play dead, and can strike if disturbed.

*If you discover a snake, do not approach it closely. If you step on a snake or are very close to a puff adder then move away quickly.

*If the snake is only about a meter away, freeze at first and see the snakes reaction – it will likely look for an escape route. If it is cornered, back away slowly. If you move slowly you are not perceived as a threat and the snake is less likely to strike.

*Observe the snake. If the snake stays slithering on the ground it will likely move away and not strike. If the snake rears up like a cobra and flattens its neck to form a hood then it is aggressive and is likely to strike and you need to act with caution. Pythons and adders move forward in a straight line, other snakes move using side-to-side undulations.

Treatment of snake bite

If you are bitten by a neurotoxic snake such as a cobra or mamba:

* Stay calm and breathe gently.

* Immediately apply a crepe bandage firmly around the wound, as if for a muscle sprain. This will reduce the amount of venom entering the bloodstream but should not cut off circulation.

* Do not apply a tourniquet.

* Never try and suck the venom out.

*Transport the person to hospital as soon as possible as these snakes have potent venom and anti-venom will be needed.

If you are bitten by a cytotoxic snake such as an adder:

* Drink plenty of fluid unless you have trouble swallowing.

* Apply a sterile dressing to the wound.

* Never try and suck the venom out with your mouth.

* Do not squeeze the bite.

* Do not apply a tight bandage or tourniquet.

*Transport the person to hospital as soon as possibl
 
Black mamba sio wakubwa , huwa ni wembamba na warefu. Kinachofanya wawe tishio ni hiyo Sumu yao. Kabla ya ugunduzi Wa anti venom ilikuwa ukiumwa na koboko kifo ni asilimia 100. Hata sasa hivi bado black mamba's bite INA mortality kubwa
 
Kawaida/kisayansi nyoka sio mchokozi, nyoka huchukua hatua ya kung'ata pale ambapo amejaribu kuondoka eneo la rabsha ikashindikana, akisikia hata vishindo vya nyayo za mtu lazima atafute jinsi ya kuepuka kukutana na wewe, kwahiyo kwanza atajaribu kuondoka, atakapokosa pa kuondokea/kutokea basi atajificha, na hapo ukimfuata tena ndio itabidi ajitetee.
Tukio lakufuatwa na nyoka katika mazingira ya kawaida ujue kwamba upande ulioko wewe ndio kauchagua kuwa na hatari kidogo (less risk/dangerous) kwa usalama wake, hili hutokea pale ambapo ameshasikia vishindo vingi vikitokea upande mwingine (kama vile ngombe/wanyama wengi wanakuja, au vishindo hata vya watu wengi) sasa kama unakotokea wewe kuna vishindo vichache basi ndiko atakakoelekea hata kama ni kukuface wewe, akutishie ukimbie ili na yeye akimbie, wengine hutanua kichwa kama Swira(cobra) afanyavyo(usipotishika atakutemea mate), wengine hutoa sauti nzito(kifutu hutoa sauti kama bata dume), koboko (Black mamba) yeye atasimama wima zaidi ya nusu ya mwili wake, ili kwanza akutishe,(intimidate) usipoonyesha kutishika hapo ndio atakung'ata.
swala lakumfananisha na simba au chui kwakweli ni makosa, uking'atwa na nyoka ghafla ujue umemkurupua au kakurupupushwa huko alikotoka na wewe uko kwenye njia yake ya kujiokoa, isipokuwa kifutu, kifutu ni nyoka ambaye utambaaji wake ni wa polepole sana na ndio maana kujihami kwake kitu cha kwanza hutegemea rangi yake na mazingira atayokuwa (camouflage) akitegemea kabisa kuwa hutomuona ila ukikaribia kumgusa na akitambua kuwa camouflage yake is compromised atatoa sauti ya warning (hooo) kama bata dume, ikishindikana ndio atakung'ata na kiukweli huyu kifutu reflex yake ya kung'ata is less than 0.15 sec, ni jamii ya nyoka ambao wanaongoza kwa strike speed, kiongozi akiwa nduguye 'DEATH ADDER' anayepatikana Australia, na hawa adder family ndio wanaongoza kwa kuua watu wengi kuliko koboko.
sasa Simba au chui hata kama hana njaa anaweza kukudhuru sababu ya territorial reasons, nyoka hukwepa kukutana na binadamu na ikishindikana atakutisha, akikutisha usipambane naye mwache apite aendelee na mbio zake, tatizo sisi tuna kasumba ya kujaribu kuua kila nyoka unayekutana naye. Huko porini wataalamu wa mambo hushauri kuwa ni lazima kutafuta sehemu ya kujibanza au kutulia kunapokuwa na movement kubwa ya wanyama au moto from the opposite direction sababu chini kwenye nyasi pia kunakuwa na viumbe wanaojaribu kukimbia hivyo vishindo au moto, chances za kukumbana na hawa viumbe ni kubwa sana.
Fuatilia kipindi cha Snake in the city
Snake City
Utapata ufahamu mkubwa kuhusu hawa viumbe na utakuwa salama ukiwa unajua nini cha kufanya ukikumbana na nyoka aliyecharuka.
 
Black mamba sio wakubwa , huwa ni wembamba na warefu. Kinachofanya wawe tishio ni hiyo Sumu yao. Kabla ya ugunduzi Wa anti venom ilikuwa ukiumwa na koboko kifo ni asilimia 100. Hata sasa hivi bado black mamba's bite INA mortality kubwa
Umemsahau 'Boomslang' na 'Taipan' chief!google uone maajabu yao! bahati nzuri Africa hatuna Taipan ila Boomslang yupo southern Africa.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] unavyoelezea sasaa.. Unajua kusimulia wewe haha
 
Mkuu m naonaga nyoka ni nyoka tu nikikutana nae ni mbio mpk miguu ivunjike
 
Koboko huwa anawahi kulala kisa Bundi,unaambiwa huwa anachukuliwa na kwenda nae juu sana thn anamuachia kisha kabla hajatua chini anamdaka tena na kumrudisha juu kisha kumuachia tena.Kila mbabe ana mbabe wake aiseh!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
hyu nyoka alimuua mjomba angu daah...nmekumbka mbali huyu mdudu ni hatar san[emoji26] [emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…