Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Duh,pole sana.

Ni bora tu hukumtibua
 
Nakumbuka nilikuwa narud likizo, sasa nilikuwa nasoma secondary flan hivi morogoro vijijn sasa wakat narud shule ishafunguliwa nafika home maaana nilikuwa nimepanga nimemkuta nyoka ndani, aiseee cjalala nilichofanya nikamwaga mafuta ya taaa na kuacha mlango wazi nikaenda kulala sehemu nyingine
 
Vibaya sana
Sio manati tu kuna wale wanajifanya wanajua kung'ata ni jamii ya kasuku ila ni wadogo hao tulikuwa tunapaka ulimbo kwenye matawi ila wakati wa kuwatoa ndio kazi hahahaha
Yaani akili za kitoto ni adventures tupu

Lakini sasa nawapenda sana ndege na nimeajiri mtu shambani akiona watoto na manati awakamate na kuzichukua.
Yaani jamaa amekamata manati ndoo 4 mpaka sasa
Shambani nimewachimbia dimbwi la maji na miti mingi sana na maua kwa ajili ya wadudu kama nyuki
 
Wazungu bhana jina waliomtolea Koboko wetu Dendroaspis Polylepis yaani ukienda kwenye mapori ya Kaliua halafu ukimuona Koboko umuite jina hilo wanakijiji watakuja mbio laikini ukisema Kobokoo!! vumbi ndio litakalobakia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…