Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Nyoka ni viumbe wa ajabu sana!..hebu soma hichi kisa

I own several venomous snakes and my banded snouted cobra bit itself while i was pining it down to remove a piece of old shed. The cobra started to show signs of envenomation shortly thereafter. I kept monitoring her thru out the next 24 hours and the next morning went to her enclosure to open it and found her dead. I thought they would be immune but there not. This goes to show just how deadly these animals are. I learn something new everyday about them
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Inawezekanaje nyoka akafa kwa sumu yake mwenyewe?!!mimi hapa ndipo ninapoishiwa nguvu.
 
Sasa jiwe kama linakubalika kuwa linatibu sumu ya nyoka kwanini serikali yetu ya jamhuri ya muungano ilipuuze wakati lingesaidia kupunguza gharama za kuagiza antivenom kutoka ughaibuni?!
Hapa nakataa mbona dawa kibao mfano zawamasai zinatutibu nahospital hazipo! hiz hospital zetu bila maelezo yakizungu hawakubali yan wao wanataka dawa ipitishwe na WHO
 
Chura nimshenzi hua anawakomoa nyoka kila akitaka kumezwa anazid kuumuka lazma umteme hatakama umemtanguliza kichwa
Huyo nyoka huwa hana sumu ndio maana chura anamletea mchezo ila kama angekuta na Cobra sumu ingemlainisha kwanza ndio amezwe.
 
Hivi umeelewa kinachozungumzwa hapa!?.
Tunazungumzia uhatari wa koboko kesho tutazungumzia uhatari wa polisi na mengineyo hivyo jikite kwenye mada usitoke nje ya mada utaonekana una uelewa mdogo
Tatizo Akili Ikilala Katika Jambo Moja Ndio Unakuwa na Uelewa Mdogo,
Lakini Ikipanuka na ukawa na Mawazo Zaidi ya Moja Unakuwa Na Uelewa Mkubwa
So Wakati Mwingine tunashindwa kulielewa jambo si kwasababu halijaeleweka ama mtoa jambo husika hajalielewesha
ila inakuwa ni dozi nzito kumzidi mpokeaji ndio maana inakuwa haijaeleweka.

Ukiachana na Upumbavu hautakuwa mpumbavu waache chongo na chongo zao, usije ukajifanya mdadisi ukaambukizwa uchongo wakati haupo tayari
 
Tatizo Akili Ikilala Katika Jambo Moja Ndio Unakuwa na Uelewa Mdogo,
Lakini Ikipanuka na ukawa na Mawazo Zaidi ya Moja Unakuwa Na Uelewa Mkubwa
So Wakati Mwingine tunashindwa kulielewa jambo si kwasababu halijaeleweka ama mtoa jambo husika hajalielewesha
ila inakuwa ni dozi nzito kumzidi mpokeaji ndio maana inakuwa haijaeleweka.

Ukiachana na Upumbavu hautakuwa mpumbavu waache chongo na chongo zao, usije ukajifanya mdadisi ukaambukizwa uchongo wakati haupo tayari
Acha upuuzi wewe na vijimisemo ulivyokaririshwa vilabuni. Mpuuzi kweli wewe jadiri koboko acha umbea mbea kama kahaba.
 
Acha upuuzi wewe na vijimisemo ulivyokaririshwa vilabuni. Mpuuzi kweli wewe jadiri koboko acha umbea mbea kama kahaba.

Naona sasa ushajithibitisha kuwa haukuelewa mimi nimeandika nini
Maana Mpuuzi ni yule anayezuia mtu asiongee jambo katika jukwaa la hoja kwa kusimamia kuwa ni upuuzi.
Naona sasa Ushajithibitisha kuwa kampani yako kubwa ni makahaba ndio maana unajua kuwa wao ni wambea, huko ndiko chongo yako iliko, bakia huko huko usilazimishe namimi niwe kama wewe.
Mwisho misemo haipo vilabuni tu na jifunze ni nini maana ya misemo maana naona hata haujajua hata unashindwa kutambua mimi nimeandika nini.

Sasa nataka nikutoe upuuzi wako na ujinga wako ambao unalazimisha kila mtu awe kama wewe
copy maoni yangu ambayo sijajadili koboko kisha nikueleweshe maana huenda umejipa tafasiri zako binafsi unaanza kuleta lawama zisizokuwa na msingi.

jambo la muhimu la kuzingatia katika maisha yako ni hili
''Si kila jambo utakavyolielewa ndivyo linasimama hivyohivyo, jifunze kwa kuangalia na wengine wamejifunza nini''
Elimu haiona mwisho na kila siku tunajifunza kwahiyo kauli zako zisiwe za kujiamini katika mawazo ya wengine wakati haukuwaza wewe.
Ndio maana unaleta complain ambazo sio sahihi
Haya leta hapa maoni ambayo hajaenda sawa na koboko nikueleweshe maana usije ukaenda kusimulia kwa marafiki zako ambao ni wambeambea(Tabia mojawapo ya mbea huwa haulizi anajisemea tu alivyolikuta, usiwe na tabia kama hiyo uwe unauliza kujifunza)
 
Naona sasa ushajithibitisha kuwa haukuelewa mimi nimeandika nini
Maana Mpuuzi ni yule anayezuia mtu asiongee jambo katika jukwaa la hoja kwa kusimamia kuwa ni upuuzi.
Naona sasa Ushajithibitisha kuwa kampani yako kubwa ni makahaba ndio maana unajua kuwa wao ni wambea, huko ndiko chongo yako iliko, bakia huko huko usilazimishe namimi niwe kama wewe.
Mwisho misemo haipo vilabuni tu na jifunze ni nini maana ya misemo maana naona hata haujajua hata unashindwa kutambua mimi nimeandika nini.

Sasa nataka nikutoe upuuzi wako na ujinga wako ambao unalazimisha kila mtu awe kama wewe
copy maoni yangu ambayo sijajadili koboko kisha nikueleweshe maana huenda umejipa tafasiri zako binafsi unaanza kuleta lawama zisizokuwa na msingi.

jambo la muhimu la kuzingatia katika maisha yako ni hili
''Si kila jambo utakavyolielewa ndivyo linasimama hivyohivyo, jifunze kwa kuangalia na wengine wamejifunza nini''
Elimu haiona mwisho na kila siku tunajifunza kwahiyo kauli zako zisiwe za kujiamini katika mawazo ya wengine wakati haukuwaza wewe.
Ndio maana unaleta complain ambazo sio sahihi
Haya leta hapa maoni ambayo hajaenda sawa na koboko nikueleweshe maana usije ukaenda kusimulia kwa marafiki zako ambao ni wambeambea(Tabia mojawapo ya mbea huwa haulizi anajisemea tu alivyolikuta, usiwe na tabia kama hiyo uwe unauliza kujifunza)
Sijasoma ulichoandika;narudia acha upuuzi jadir koboko.
 
Sijasoma ulichoandika;narudia acha upuuzi jadir koboko.

Acha mambo yakitoto wakati umejiunga JF sasa ulijuaje nimeandika upuuzi kama haukusoma?
Sasa si huu ni ukubwa jinga kabisa?

Kaka jiheshimu namba zingine zipo busy mda wote ukilazimishwa kupigiwa itakugarimu
acha kufanya upuuzi wakati watu tunajielewa, usirudie tena tabia za watoto hapa JF ni watu wazima wenye akili timamu wanaojielewa

Jambo la nyongeza ni kwamba JF wali-update Policy ni vyema ukazipitia tena na kuzisoma kabla haujaendeleza upumbavu wako hapa
 
3a994b746e7c6e9b01bcddb0451a65bd.jpg

Yaani Tai huwa anamuonea sana Cobra.
 
Back
Top Bottom