Mkataba wake wa kufuindisha Taifa Star ukiisha anahamia Yanga.
Tushawajua mambo yenu, tumejifunza kwa Kocha Maximo wa Brazili.
Simba hebu tuelekeze nguvu zetu kwenye mechi zetu za ligi na za kimataifa.
Huyo ni kocha wao huyo, ukiona mtu unamfanyia kosa moja tu na anakimbilia adhabu kali kama hatua ya kwanza ujue alishakuwa na kisasi fulani kwako.
Mafunzo ya ukocha yanajumuisha mahusiano mazuri na wachezaji wake, kama mchezaji kafanya kosa flani jambo la kwanza ni kufahamu chanzo cha hilo kosa, na linafuatia suluhisho la kiungwana ikiwa pamoja na kuzungumza na wachezaji au mchezaji husika ili kuweza kupata ufumbuzi unaofaa na wenye Busara
Dunia ya sasa sio ya kufanya maamuzi ya harakaharaka yaliyojaa jazba na visasi.
Karibu The Crane
Sent using
Jamii Forums mobile app