Hili kwa kweli yule dada kazingua...clear kffsideKOCHA AZAM: MAGOLI YOTE YALIKUWA OFF-SIDE.
.
“Tunahitaji VAR magoli yote mawili ni offside za wazi , Simba ni timu kubwa hilo hatukatai niwapongeze wachezaji wangu lakini kwanini offside ni kwetu tu”
Maneno ya Rachid Taoussi kocha mkuu wa Azam FC baada ya kumalizika kwa mchezo.View attachment 3107860
We Mzab ni Tatu Malogo nini? 😅Hili kwa kweli yule dada kazingua...clear kffside
Wewe Kwan kuna mwingine huku.[emoji32][emoji32] nani
Ngoja nikutafutie connection ukawe mshika kibendera mechi ya mtani alafu nawe uwape yanga goli la offsideWe Mzab ni Tatu Malogo nini? 😅
Tukujue sasa, kama unajificha kwa anonymous ID hayo maneno yako ya ukubwa katika nchi hii yana effect gani hapa?!Kijana mm ni mtu mkubwa kwenye hii nchi
Yaani Mashabiki wa UTO wana tabu sana mkuuSasa huo ndiyo mstari Gani umechora kwenye hiyo picha? Unatumia itel kitochi?
Labda kiumri.Kijana mm ni mtu mkubwa kwenye hii nchi
Mstari halisi ni huu uliochorwa na AzamSasa huo ndiyo mstari Gani umechora kwenye hiyo picha? Unatumia itel kitochi?
Yana akili basi hayo mkuuuUtopolo mnaumia sana kila Simba inaposhinda. Iliposhinda dhidi ya Tabora mlisema Yusuf Kagoma ni mchezaji wenu kwa hiyo Simba ipokonywe ushindi na Kagoma kawagomea kuwa yeye hajawahi kuwa mchezaji wenu. Hapo mkaishiwa maneno. Haya Simba kamfunga Azam mnaumia na kusema ni offside wakati juzi kati hapa mlibebwa kule Mbeya baada ya refa wenu(Man of the match) kuzulumu goli la KenGold kwa maslahi yake binafsi.
Nawaambieni msimu huu mtaumia sana mpaka hapo mtakapotoa huo mwiko huko nyuma.
Utopolo mnaumia sana kila Simba inaposhinda. Iliposhinda dhidi ya Tabora mlisema Yusuf Kagoma ni mchezaji wenu kwa hiyo Simba ipokonywe ushindi na Kagoma kawagomea kuwa yeye hajawahi kuwa mchezaji wenu. Hapo mkaishiwa maneno. Haya Simba kamfunga Azam mnaumia na kusema ni offside wakati juzi kati hapa mlibebwa kule Mbeya baada ya refa wenu(Man of the match) kuzulumu goli la KenGold kwa maslahi yake binafsi.
Nawaambieni msimu huu mtaumia sana mpaka hapo mtakapotoa huo mwiko huko nyuma.