granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
tunampiga ndan nje,Ushindi ni lazima kesho, hiyo ndiyo njia pekee ya kutuweka pazuri.
Sare na Ahly itatupa motisha ya kumfunga Medeama kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunampiga ndan nje,Ushindi ni lazima kesho, hiyo ndiyo njia pekee ya kutuweka pazuri.
Sare na Ahly itatupa motisha ya kumfunga Medeama kwake.
UsikaririCR Belouizdad baada ya kumkanda Utopolo 3-0 ilikuwa motisha nzuri ya kumfunga Madeama ila waliangushiwa kitu kizito.
Sasa unataka tuwe wanyonge jamani? Tambo muhimu.Sare tena,nyie si mlikuwa mnajitapa mpo vyema sana hata barca waje tu au sistangu??
The same to you..... usikaririUsikariri
Huyu kocha hajitambui. Hajaangalia uwezo wa mpinzani wake ambaye kesho anacheza uwanja wa nyumbani. Kama Yanga akishinda kesho itakuwa ni maajabu ya Dunia kama Gallax alivyoshinda kwa WaarabuKocha wa Yanga Miguel Gamond akiongea na vyombo vya habari kabla ya mechi yao na Medeama kesho amenukuliwa akisea
"Ni lazima tushinde mechi yetu ya kesho mbele ya Medeama ili tufuzu hatua inayofuata, najua sio rahisi ila tutaweza kesho kupata alama, tumepata alama moja kwenye kundi ila timu yetu imefanya vizuri kwenye michezo iliyopita”
“Leo ndio nitajua kwenye maandalizi yetu ya mwisho nini nitaenda kufanya ila alama tatu za kesho ni lazima kwa sababu ni muhimu kwetu."
Maneno ya Kocha Mkuu wa Yanga SC, Miguel Gamondi.
uwezekano wa maajabu kuendelea upo pia, si ndio?Huyu kocha hajitambui. Hajaangalia uwezo wa mpinzani wake ambaye kesho anacheza uwanja wa nyumbani. Kama Yanga akishinda kesho itakuwa ni maajabu ya Dunia kama Gallax alivyoshinda kwa Waarabu
Kal tulia basiWakati huo Medeama wao hawaitaji huo ushindi labda...
Nanukuu "Ni lazima tushinde mechi yetu ya kesho mbele ya Medeama ili tufuzu hatua inayofuata, najua sio rahisi ila tutaweza kesho kupata alama, tumepata alama moja kwenye kundi ila timu yetu imefanya vizuri kwenye michezo iliyopita”Kocha proffesional hawez zungumza maneno kama hayo, hivi hajifunzi hata kwa wenzake wakina Guardiola au Klopp, kumdharau adui ni kosa kubwa sana kwenye mchezo wa mpira.