Kocha hatuna wanetu, kocha hatuna hakika hatuna kocha viongozi wetu hawajielewi

Kocha hatuna wanetu, kocha hatuna hakika hatuna kocha viongozi wetu hawajielewi

Amani iwe nanyi ndugu

Timu yetu haina hakika kocha hatuna ni hayo tu

Wanetu hatuna kocha
Ili apate kitu kizuri,weka bench Aziza,Dube,mpumzishe Bacca,kati kati acheze Mkude,Aucho,Mudathir/Yule Mkenya;
Weka Faridi,Chama,Maxi,musonda.
yanga kinachowaumiza ni rotation makocha ndio wanaowaumiza wachezaji,wanawatu wengi lkn hawana match fitness first 11 ikichoka timu inayumba.
Kocha wa simba alikiona hiki mapema akaanza mpumzisha mtu km Fernandez,Ateba,Mutale.
 
Na yule aliyeingia na mabeki 5 katandikwa chuma 2 ndani ya dk 4 uku akipata kigoli cha bahati bahati ni miongoni mwao🤣🤣
 
Mtu Anaitwa chedrack Boka amepotelea wapi ?
 
Back
Top Bottom