Ndio ni underdog na utaelewa vizuri mkienda Sudan na Kibwana na Job wenu.Yanga hii ingekuwa ni underdog, ingewafunga kwa misimu miwili mfululizo? Na tarehe 23 ya mwezi huu, tunawafunga tena!
Ukija kwa hao Al Hilal wenu, si ndiyo waliowafunga goli 1 kwa 0 mlipoenda kucheza kwenye yale mashindano yenu! Na baada ya mechi kama kawaida uenu, mkaanza kumsimanga kocha wenu Matola?
Sasa kwa akili yako, timu ambayo iliwafunga! Jana ililazimika kutokea nyuma, na kusawazisha! Halafu unawaita Yanga underog!! Nadhani na wewe uko kwenye lile kundi la Ismail Aden Rage bila shaka.
Huyu Ibenge anazarau nyingi sana, kocha professional huwezi kusema maneno haya anatakiwa aheshimu timu yoyote! All in all kiboko yake anaijua!!Hata mimi kwa level ya ukocha niliyonayo ningeskitika kama Ibenge tena zaidi maana mechi ilikuwa ya Hilal kwa nafasi za wazi zilizotengenezwa.
Niliwaambia Yanga , muunganiko si ishu sana ukiwa kocha mzuri wa kucheza knock out games hata ukutane na timu yenye muunganiko kama jiwe unayo nafasi ya kutoboa tu ni kuzichanga vizuri tu.
Ibenge ni mzoefu wa hizi game , Hanga ndo ashatoka
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kala miezi mitatu au sita? Nikumbushe tafadhaliARAJIGA
HahahahMakundi ya panyaroad labda
Underdog wote wameanzia mechi zao nyumbani.Yanga hii ingekuwa ni underdog, ingewafunga kwa misimu miwili mfululizo? Na tarehe 23 ya mwezi huu, tunawafunga tena!
Ukija kwa hao Al Hilal wenu, si ndiyo waliowafunga goli 1 kwa 0 mlipoenda kucheza kwenye yale mashindano yenu! Na baada ya mechi kama kawaida uenu, mkaanza kumsimanga kocha wenu Matola?
Sasa kwa akili yako, timu ambayo iliwafunga! Jana ililazimika kutokea nyuma, na kusawazisha! Halafu unawaita Yanga underog!! Nadhani na wewe uko kwenye lile kundi la Ismail Aden Rage bila shaka.
Sasa mbona huyo underdog anawanyuka tu kila timu yako inapokutana naye, kiasi cha kushangilia matokeo ya sare?Underdog wote wameanzia mechi zao nyumbani.
Yanga kwa Africa ni underdog wa kudumu.
Wote tunajua kwamba huo ushindi wa 1-0 ilikuw ni dhidi ya Simba ya akina kipa Ally Saleh, Jimmyson, nk. Mara ya mwisho Simba kamili iliifunga Al Hilal 4-1 kwa Mkapa mechi ya makundi ligi ya mabingwaYanga hii ingekuwa ni underdog, ingewafunga kwa misimu miwili mfululizo? Na tarehe 23 ya mwezi huu, tunawafunga tena!
Ukija kwa hao Al Hilal wenu, si ndiyo waliowafunga goli 1 kwa 0 mlipoenda kucheza kwenye yale mashindano yenu! Na baada ya mechi kama kawaida uenu, mkaanza kumsimanga kocha wenu Matola?
Sasa kwa akili yako, timu ambayo iliwafunga! Jana ililazimika kutokea nyuma, na kusawazisha! Halafu unawaita Yanga underog!! Nadhani na wewe uko kwenye lile kundi la Ismail Aden Rage bila shaka.
Hizi sababu ni nyepesi na dhaifu mpaka basi! Mbona wakati mlipoenda Misri kwenye pre season na kuifunga ile timu ya Waarabu ya kikosi cha akiba, mlijisifia kuifunga timu kama timu!!Wote tunajua kwamba huo ushindi wa 1-0 ilikuw ni dhidi ya Simba ya akina kipa Ally Saleh, Jimmyson, nk. Mara ya mwisho Simba kamili iliifunga Al Hilal 4-1 kwa Mkapa mechi ya makundi ligi ya mabingwa
Utakiheshimu kitu kabla haujakijua uwezo wake, baada ya kugundua kuwa ni cha kijinga ni lazima ukidharau tu, Ibenge yupo sawa.Huyu Ibenge anazarau nyingi sana, kocha professional huwezi kusema maneno haya anatakiwa aheshimu timu yoyote! All in all kiboko yake anaijua!!
Hebu rekebisha basi hapo kwenye Hanga ili ueleweke. Maana mnajifanya wachambuzi, kumbe hakuna kitu.
Timu yenu inacheza leo! Mhamie huko sasa kuchambua kuhusu viungo wenu punda, viungo konokono, viungo nungunungu, nk. Ni wakati wenu sasa kutuacha tupumzike, maana mmebwabwaja mno, kabla na hata baada ya mechi.
Wanakwenda kuangukiwa na kitu kizito!Ndio ni underdog na utaelewa vizuri mkienda Sudan na Kibwana na Job wenu.
Nimekuambia Yanga kwa African soka ni Underdog.Sasa mbona huyo underdog anawanyuka tu kila timu yako inapokutana naye, kiasi cha kushangilia matokeo ya sare?
Au ni kwa sababu ya bahasha za GSM na kuroga siyo!!
Yaani inafikia wakati Mayele na Fei Toto wanapopiga mashuti golini kwenu, basi Manula na mwenzake Kakolanya wanahisi wameona moto unakuna golini!!!
Wewe ulikua hushikiki humu sahv unajibu kiupole hivi aiseeHahah Hakuna Aijuae kesho [emoji41]
🗣️ Nimeelewa!Nimekuambia Yanga kwa African soka ni Underdog.
Ni ya 75 Namungo ya56, Al- Hilal ya 22 Agosto ya 28 Simba ya 14.
Hivi hujaelewa bado ?
Labda makundi ya miiko sio CafclYanga hawezi kufungwa na Al hilal, Yanga anaingia Makundi kibabe.