Kocha Juma Mgunda nakuonya, uchezaji wa Simba bado hauridhishi

Kocha Juma Mgunda nakuonya, uchezaji wa Simba bado hauridhishi

Ubovu wa Simba SC umesababishwa na aina ya mpinzani aliyecheza nae, wale jamaa walishajua Simba ni timu kubwa wakajikatia tamaa mapema kisaikolojia.
 
Juma Mgunda ni kocha aliyekamilika kimbinu na kiujuzi........mengine ni ya kibinadamu tu......

Timu imeshapata matokeo Angola......hakuna haja ya kupress hali ya kuwa tuna game zingine ngumu mbele ambazo ni za muhimu.......timu imecheza kikubwa sana.......timu imekamilika kasoro zipo ndogo ndogo.......ukicheza Kwa kuwafurahisha mashabiki utapata majeruhi na mechi zijazo zitakuwa ngumu........
Inaitwa Game Management.

Hapakuwa na sababu ya kufunguka na kuwashambulia kwa nguvu wakati tayari tulikuwa na akiba ya magoli ya kutosha ya ugenini, hiyo ingetoa mianya kwa wapinzani kupata pa kupita wasababishe balaa kwetu.
 
Shida kubwa ipo sehemu ya katikati. Wachezaji wakifika mbele kidogo ya dimba wanashindwa kujua nini cha kufanya, mipira mingi inarudishwa nyuma.

Hawajiamini wakifika eneo lile, wanaogopa kupoteza mpira ndiyo maana wanaamua kurudi nyuma. Leo nimeona mara kadhaa mpira uko kwenye kona karibu na kibendera upande wa Waangola, badala ya kuendelea na pressure, mpira ulirudishwa nyuma hadi kwa Manula.
Timu inafika golini badala ya kutafuta namna ya kufunga zinapigwa pasi nyuma hadi Kwa manuka halafu anabutua mpira unatoka inakera sana
 
Habari wakuu

Kwanza nianze kukupa hongera kocha mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kufuzu kwako makundi kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE, hakika umepambana kwa kuitoa SIMBA pale ilipokuwa mpaka hapo ulipofikia

Ila ningependa kukuonya na kukuonya tena, onyo hili ambalo hautalisikia kwa mtu mwingine yeyote bali ni mimi tu. Bado timu inahitaji strategies na quality kwa kiasi cha kutosha. Uchezaji unaocheza SIMBA bado hauridhishi kiukweli kabisa. Kwa uchezaji huu, inawezekana tukaenda kudhalilika hatua ya makundi ligi ya mabingwa na hata ligi kuu hapo baadae.

Wachezaji hawana kasi, umakini, na wazito tofauti na ilivyo kawaida. Pia pasi hazifiki kwa walengwa, timu hailewani na timu inaonekana kuridhika sana tofauti na ilivyo kawaida.

Nakumbushia Simba ya Aussems na pia ntakumbushia Simba ya Gomes. Simba ambazo zilikuwa na kasi na mashambulizi ya kutosha na pia njaa ya magoli muda wote, kwani kama De Agosto angekutana na simba zile si ajabu angekula 9-0

Inawezekana kufuzu makundi na kuondolewa kwa yanga kukanyima nafasi ya hili kuongelewa, ila me ntaliongelea ili isije kukucost.

Nakukumbusha pia mashabiki wa SIMBA hatuchelewi kubadilika pindi utakapo tuzoea sana, na kutuharibia kikosi chetu pendwa.

Zaidi ya hapo nakupa hongera, MTANZANIA mwenzangu
Katika lugha hususan kiswahili, aghalabu kuna tofauti kati ya kuonya, kutahadharisha na kutoa angalizo. Kwenye kichwa cha habari umeandika unamuonya Mgunda, lakini maelezo yako yamejikita kwenye kutoa tahadhali au angalizo.
 
Habari wakuu

Kwanza nianze kukupa hongera kocha mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kufuzu kwako makundi kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE, hakika umepambana kwa kuitoa SIMBA pale ilipokuwa mpaka hapo ulipofikia

Ila ningependa kukuonya na kukuonya tena, onyo hili ambalo hautalisikia kwa mtu mwingine yeyote bali ni mimi tu. Bado timu inahitaji strategies na quality kwa kiasi cha kutosha. Uchezaji unaocheza SIMBA bado hauridhishi kiukweli kabisa. Kwa uchezaji huu, inawezekana tukaenda kudhalilika hatua ya makundi ligi ya mabingwa na hata ligi kuu hapo baadae.

Wachezaji hawana kasi, umakini, na wazito tofauti na ilivyo kawaida. Pia pasi hazifiki kwa walengwa, timu hailewani na timu inaonekana kuridhika sana tofauti na ilivyo kawaida.

Nakumbushia Simba ya Aussems na pia ntakumbushia Simba ya Gomes. Simba ambazo zilikuwa na kasi na mashambulizi ya kutosha na pia njaa ya magoli muda wote, kwani kama De Agosto angekutana na simba zile si ajabu angekula 9-0

Inawezekana kufuzu makundi na kuondolewa kwa yanga kukanyima nafasi ya hili kuongelewa, ila me ntaliongelea ili isije kukucost.

Nakukumbusha pia mashabiki wa SIMBA hatuchelewi kubadilika pindi utakapo tuzoea sana, na kutuharibia kikosi chetu pendwa.

Zaidi ya hapo nakupa hongera, MTANZANIA mwenzangu
🤔🤔🤔
 
Habari wakuu

Kwanza nianze kukupa hongera kocha mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kufuzu kwako makundi kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE, hakika umepambana kwa kuitoa SIMBA pale ilipokuwa mpaka hapo ulipofikia

Ila ningependa kukuonya na kukuonya tena, onyo hili ambalo hautalisikia kwa mtu mwingine yeyote bali ni mimi tu. Bado timu inahitaji strategies na quality kwa kiasi cha kutosha. Uchezaji unaocheza SIMBA bado hauridhishi kiukweli kabisa. Kwa uchezaji huu, inawezekana tukaenda kudhalilika hatua ya makundi ligi ya mabingwa na hata ligi kuu hapo baadae.

Wachezaji hawana kasi, umakini, na wazito tofauti na ilivyo kawaida. Pia pasi hazifiki kwa walengwa, timu hailewani na timu inaonekana kuridhika sana tofauti na ilivyo kawaida.

Nakumbushia Simba ya Aussems na pia ntakumbushia Simba ya Gomes. Simba ambazo zilikuwa na kasi na mashambulizi ya kutosha na pia njaa ya magoli muda wote, kwani kama De Agosto angekutana na simba zile si ajabu angekula 9-0

Inawezekana kufuzu makundi na kuondolewa kwa yanga kukanyima nafasi ya hili kuongelewa, ila me ntaliongelea ili isije kukucost.

Nakukumbusha pia mashabiki wa SIMBA hatuchelewi kubadilika pindi utakapo tuzoea sana, na kutuharibia kikosi chetu pendwa.

Zaidi ya hapo nakupa hongera, MTANZANIA mwenzangu
Yanga inacheza soka safi lakini imetolewa, Simba tia maji tia maji lakini imeingia makundi kipi bora?
 
Ubovu wa Simba SC umesababishwa na aina ya mpinzani aliyecheza nae, wale jamaa walishajua Simba ni timu kubwa wakajikatia tamaa mapema kisaikolojia.
Point haina mashiko
 
Katika lugha hususan kiswahili, aghalabu kuna tofauti kati ya kuonya, kutahadharisha na kutoa angalizo. Kwenye kichwa cha habari umeandika unamuonya Mgunda, lakini maelezo yako yamejikita kwenye kutoa tahadhali au angalizo.
Yeah it's a warning, ni Onyo
 
Haya nyie Utopolo si mna Kisinda aka kiberenge, mbona jana kaharisha?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Wamefanya kazi kubwa tuwape hongera. Ila Simba inabidi izibe baadhi gap hasa kati na striker. Nadhani kuelekea group stage huwa kuna nafasi za kuongeza nguvu.

Kwa game ya jana Simba ilitakiwa kucheza hivyo kwa utulivu zaidi tofauti na kukurupuka na kudharau mpinzani. Yangetokea ya Jwaneng. Halafu kumbuka haikuwa peke yake uwanjani mpinzani naye ana mbinu zake.
 
Unaichambua Simba wakati hata mpira wenyewe hujawahi kucheza...Simba inacheza kwa mkakati sio kukimbia kimbia tu.
Unaugulia ukiwa wapi
 
Habari wakuu

Kwanza nianze kukupa hongera kocha mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kufuzu kwako makundi kwenye michuano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE, hakika umepambana kwa kuitoa SIMBA pale ilipokuwa mpaka hapo ulipofikia

Ila ningependa kukuonya na kukuonya tena, onyo hili ambalo hautalisikia kwa mtu mwingine yeyote bali ni mimi tu. Bado timu inahitaji strategies na quality kwa kiasi cha kutosha. Uchezaji unaocheza SIMBA bado hauridhishi kiukweli kabisa. Kwa uchezaji huu, inawezekana tukaenda kudhalilika hatua ya makundi ligi ya mabingwa na hata ligi kuu hapo baadae.

Wachezaji hawana kasi, umakini, na wazito tofauti na ilivyo kawaida. Pia pasi hazifiki kwa walengwa, timu hailewani na timu inaonekana kuridhika sana tofauti na ilivyo kawaida.

Nakumbushia Simba ya Aussems na pia ntakumbushia Simba ya Gomes. Simba ambazo zilikuwa na kasi na mashambulizi ya kutosha na pia njaa ya magoli muda wote, kwani kama De Agosto angekutana na simba zile si ajabu angekula 9-0

Inawezekana kufuzu makundi na kuondolewa kwa yanga kukanyima nafasi ya hili kuongelewa, ila me ntaliongelea ili isije kukucost.

Nakukumbusha pia mashabiki wa SIMBA hatuchelewi kubadilika pindi utakapo tuzoea sana, na kutuharibia kikosi chetu pendwa.

Zaidi ya hapo nakupa hongera, MTANZANIA mwenzangu
Tanzania kila mtu anajifanya mchambuzi
 
Back
Top Bottom