kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 539
- 637
Mkuu;;Ila wewe jamaa bana
Hivi uliangalia yale magoli matatu tuliyowafunga Agosto kule kwao? Uliona ile speed ys Okrah kwenye goli la kwanza?
Uliona ile speed ya Mzamiru, Chama, Kanoute na Mwenda kwenye goli la pili?
Uliona speed ya Chama na Phiri kwenye goli la tatu?
Sijui unataka watu wakimbieje. Mpira unachezwa kwa malengo. Hukimbii hovyo kama Moloko au Twisila.
Bora umemwambia mechi ya Jana haikuhitaji tutumie nguvu kubwa maana mechi tulishaimaliza kule Angola Na kumbuka tarehe 23. Tuna mechi Na Hawa wachawi wakuroga Simba ili wamfunge tu ndo Raha Yao
Hizi mechi zinahitaji akili kubwa kuliko nguvu Sasa wakakimbie imekuwa marason Ile?? Basi akamchukue Hussein Bolt akacheze mpira ety Simba ausems Ile ndo tulipigwa goli Kumi mechi mbili ingawa tulifuzu kuingia robo finally Ila watu wengne wanakera