Kocha Matola, Boss wako Pablo na Benchi lenu zima la Ufundi ni kwamba Orlando Pirates FC yenyewe ni ile ya kuanzia dakika ya 70 hadi ya 93 ya Mchezo

Kocha Matola, Boss wako Pablo na Benchi lenu zima la Ufundi ni kwamba Orlando Pirates FC yenyewe ni ile ya kuanzia dakika ya 70 hadi ya 93 ya Mchezo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza.

Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.

Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.

Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.
 
Kwa asilimia kubwa nasimama hapa.
Wale jamaa tangu mwanzo walikuwa wanacheza ili kutafuta draw tu sababu walijua simba wanakuwa hatari nyumbani tu.

Yaani walikuwa wanaosha hatari kuanzia nyuma bila kubutua kabisa kitu ambacho ni nadra Sana

viungo wao wale wawili wana footwork nzuri Sana Sana.

fikiria dakika zile chache walioanza kushambulia unaona jinsi walivyoboss eneo kubwa na takwimu zinaonesha wao ndio wamepiga pasi nyingi eneo la mbele la simba..

Acha tuone mkuu mimi naona simba hana nafasi.
 
Manula, Henock,Onyango, Wawa, Kapombe, Hussein, Lwanga, Kanoute, Mkude, Sakho, Mugalu. Ni kulinda na kustukiza huku wakikimbia kuanzia dk ya kwanza hadi ya mwisho ila wakitembea tu kama baadhi ya wachezaji wanavyofanya kama vile wanacheza Dodoma jiji basi tumeisha.
 
Manula, Henock,Onyango, Wawa, Kapombe, Hussein, Lwanga, Kanoute, Mkude, Sakho, Mugalu. Ni kulinda na kustukiza huku wakikimbia kuanzia dk ya kwanza hadi ya mwisho ila wakitembea tu kama baadhi ya wachezaji wanavyofanya kama vile wanacheza Dodoma jiji basi tumeisha.
Hapo toka Sakho weka Kibu Denis.
Sakho mbinafsi sana. Analazimisha afunge yeye tu na kutukosesha ushindi.

Makocha wa Simba wanachelewesha sana Sabu.
 
Manula, Henock,Onyango, Wawa, Kapombe, Hussein, Lwanga, Kanoute, Mkude, Sakho, Mugalu. Ni kulinda na kustukiza huku wakikimbia kuanzia dk ya kwanza hadi ya mwisho ila wakitembea tu kama baadhi ya wachezaji wanavyofanya kama vile wanacheza Dodoma jiji basi tumeisha.
Hawa watakutana na kitu kizito cha baki huko bondeni
 
Hapo toka Sakho weka Kibu Denis.
Sakho mbinafsi sana. Analazimisha afunge yeye tu na kutukosesha ushindi.

Makocha wa Simba wanachelewesha sana Sabu.
Kibu Denis bado sana kuweza kuhimili mikiki ya mechi za kimataifa. Kwangu mimi Sakho ni bora mara tatu zaidi ya Kibu Denis inapokuja hatua kama hii. Yes Sakho ana mapungufu yake, lakini ubora wake upo juu zaidi katika kuamua matokeo.

Mechi kama hizi ni muhimu kuwa na watu kama Morrison na Chama ambao hawatakuwepo.
 
Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza.

Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.

Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.

Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.

Mkuu, umeipeleka wapi ile ID yako?
 
Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza.

Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.

Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.

Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.
Mengine yote uliyoandika nitakuelewa na kukuunga mkono, lakini suala la wachezaji wa Simba kufika South kwa kuchelewa sikubaliani nalo.
Ni vyema at least wachezaji wakafika siku mbili kabla ili kuweza kuzoea hali ya hewa na mazingira ya South Afrika kabla ya mechi. Hizi hisia za fitina na mambo ya kienyeji sio sahihi kuzipa uzito kwa sasa, ni mambo ya kizamani sana.
 
Back
Top Bottom