MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza.
Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.
Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.
Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.
Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.
Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.
Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.