Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Huo ndio ukweli, labda tusubiri miujizaWale jamaa tangu mwanzo walikuwa wanacheza ili kutafuta draw tu sababu walijua simba wanakuwa hatari nyumbani tu.
Yaani walikuwa wanaosha hatari kuanzia nyuma bila kubutua kabisa kitu ambacho ni nadra Sana
viungo wao wale wawili wana footwork nzuri Sana Sana.
fikiria dakika zile chache walioanza kushambulia unaona jinsi walivyoboss eneo kubwa na takwimu zinaonesha wao ndio wamepiga pasi nyingi eneo la mbele la simba..
Acha tuone mkuu mimi naona simba hana nafasi.