Kocha Matola, Boss wako Pablo na Benchi lenu zima la Ufundi ni kwamba Orlando Pirates FC yenyewe ni ile ya kuanzia dakika ya 70 hadi ya 93 ya Mchezo

Simba anatakiwa msako mwanzo/mwisho.
Hakuna kupaki basi.
Sub zifanyike on time,pale panapoonekana uhitaji.
Otherwise kuna ushindi.
Msako mnauweza nyie au ndo mnataka aibu nyingine ya kufungia mwaka
 
Uko sahihi,wale jamaa lile ndio soka lao..sasa mechi ya marudiano ule msako utakua tangia dakika ya kwanza..na jinsi wachezaji wa simba wanavyokabia kwa macho..tutegemee over 1.5 kipindi cha kwanza..
Sasa wewe jichanganye ubet kuwa Simba anapigwa
 
Hivi hapa JamiiForums kuna ID inaitwa GENTAMICIN kama ulivuoandika? Mkiambiwa hamna Akili na acheni Kukurupuka hamkubali na hamtaki.

Genta nae mtoa mabomu....nikiangalia uandishi wako na yeye ni wale wale kamanda wangu....tuambie tu ukweli wewe ni yule?, hata nikijaribu kutag ID yake linagoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…