Kocha Miguel Gamondi tayari kajaa kwenye mfumo wa viongozi wa Yanga Sc kwa kumpa dakika za kutosha Chama mbele ya Pacome

Kocha Miguel Gamondi tayari kajaa kwenye mfumo wa viongozi wa Yanga Sc kwa kumpa dakika za kutosha Chama mbele ya Pacome

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Naam wanajukwaa, Goli alilofunga Aziz K dhidi ya CBE na kutoshangilia lilikua na maana kubwa sana tena sana na hilo goli alifunga akitokea Sub baada ya Chama kutoka.

labda kuna mashabiki watakua wanauliza hiyo ina maana gani kiukweli Azizi k hakua na Furaha kutokea bench na ndiyo maana ufungaji wake wa goli na kutoshangilia ulikua ni ujumbe mkubwa sana kwenye benchi la ufundi

benchi limeshituka na kuanza kumtumia Azizi k kwa dakika za kutosha sasa wameanza kumuacha Pacome nje na kumpa dakika za kutosha Chama wakati uchezaji wake mbele za Pakome anasubiri pakubwa mno tena mno.

Chama bado ana mwendo wa pole na kupoza mashambulizi muoga anapoona mpinzani anakuja mbele yake kumkaba ni mtu wa kuhofia kuumia sasa ukwa na mchezaji wa hivi ni hatari sana haswa wapinzani wanapokua wamejua madhaifu yake.

Chama alisajiliwa kisiasa na viongozi waliompigia upatu aje Yanga wanamlazimisha Gamond ampe muda wa kutosha lakini kiuhalisia hakuna kitu

Maoni Yangu; Viongozi wamuache Gamond afanye kazi yake achague kikosi anachokiona kinamfaa kwa kuzingatia wachezaji bora alinao
 
Naam wanajukwaa, Goli alilofunga aziz k dhidi ya CBE na kutoshangilia lilikua na maana kubwa sana tena sana na hilo goli alifunga akitokea Sub baada ya Chama kutoka.
labda kuna mashabiki watakua wanauliza hiyo ina maana gani kiukweli Azizi k hakua na Furaha kutokea bench na ndiyo maana ufungaji wake wa goli na kutoshangilia ulikua ni ujumbe mkubwa sana kwenye benchi la ufundi

benchi limeshituka na kuanza kumtumia Azizi k kwa dakika za kutosha sasa wameanza kumuacha Pacome nje na kumpa dakika za kutosha Chama wakati uchezaji wake mbele za Pakome anasubiri pakubwa mno tena mno.

Chama bado ana mwendo wa pole na kupoza mashambulizi muoga anapoona mpinzani anakuja mbele yake kumkaba ni mtu wa kuhofia kuumia sasa ukwa na mchezaji wa hivi ni hatari sana haswa wapinzani wanapokua wamejua madhaifu yake.

Chama alisajiliwa kisiasa na viongozi waliompigia upatu aje Yanga wanamlazimisha Gamond ampe muda wa kutosha lakini kiuhalisia hakuna kitu

Maoni Yangu; Viongozi wamuache Gamond afanye kazi yake achague kikosi anachokiona kinamfaa kwa kuzingatia wachezaji bora alinao
Wewe nae umeanza ujuha wako , ulitaka Pacome acheze akiwa anaumwa?
 
Chama alisajiliwa kisiasa na viongozi waliompigia upatu aje Yanga wanamlazimisha Gamond ampe muda wa kutosha lakini kiuhalisia hakuna kitu
Labda ndio vile tulivyosikia kuwa mkataba unalazimisha acheze (NB: sina uhakika, nilisoma tu mahali ndo maana nimetumia neno 'labda')
 
Hakuna mtu wa kumweka bench Chama hapa Yanga. Na miaka mingi sana tulitaka aje Chama.sasa amekuja.tumwache atuoneshe mpira.
 
Naam wanajukwaa, Goli alilofunga aziz k dhidi ya CBE na kutoshangilia lilikua na maana kubwa sana tena sana na hilo goli alifunga akitokea Sub baada ya Chama kutoka.
labda kuna mashabiki watakua wanauliza hiyo ina maana gani kiukweli Azizi k hakua na Furaha kutokea bench na ndiyo maana ufungaji wake wa goli na kutoshangilia ulikua ni ujumbe mkubwa sana kwenye benchi la ufundi

benchi limeshituka na kuanza kumtumia Azizi k kwa dakika za kutosha sasa wameanza kumuacha Pacome nje na kumpa dakika za kutosha Chama wakati uchezaji wake mbele za Pakome anasubiri pakubwa mno tena mno.

Chama bado ana mwendo wa pole na kupoza mashambulizi muoga anapoona mpinzani anakuja mbele yake kumkaba ni mtu wa kuhofia kuumia sasa ukwa na mchezaji wa hivi ni hatari sana haswa wapinzani wanapokua wamejua madhaifu yake.

Chama alisajiliwa kisiasa na viongozi waliompigia upatu aje Yanga wanamlazimisha Gamond ampe muda wa kutosha lakini kiuhalisia hakuna kitu

Maoni Yangu; Viongozi wamuache Gamond afanye kazi yake achague kikosi anachokiona kinamfaa kwa kuzingatia wachezaji bora alinao
Ramli chingsnishi. Mtu anaumwa unasema ameachwa sababu ya eti shinikizo la viongozi
 
Kama hakuwakalia kichwani kama alivyofanya Simba basi atawavuruga. Ni issue ya muda Tu.
 
Naam wanajukwaa, Goli alilofunga aziz k dhidi ya CBE na kutoshangilia lilikua na maana kubwa sana tena sana na hilo goli alifunga akitokea Sub baada ya Chama kutoka.
labda kuna mashabiki watakua wanauliza hiyo ina maana gani kiukweli Azizi k hakua na Furaha kutokea bench na ndiyo maana ufungaji wake wa goli na kutoshangilia ulikua ni ujumbe mkubwa sana kwenye benchi la ufundi

benchi limeshituka na kuanza kumtumia Azizi k kwa dakika za kutosha sasa wameanza kumuacha Pacome nje na kumpa dakika za kutosha Chama wakati uchezaji wake mbele za Pakome anasubiri pakubwa mno tena mno.

Chama bado ana mwendo wa pole na kupoza mashambulizi muoga anapoona mpinzani anakuja mbele yake kumkaba ni mtu wa kuhofia kuumia sasa ukwa na mchezaji wa hivi ni hatari sana haswa wapinzani wanapokua wamejua madhaifu yake.

Chama alisajiliwa kisiasa na viongozi waliompigia upatu aje Yanga wanamlazimisha Gamond ampe muda wa kutosha lakini kiuhalisia hakuna kitu

Maoni Yangu; Viongozi wamuache Gamond afanye kazi yake achague kikosi anachokiona kinamfaa kwa kuzingatia wachezaji bora alinao
Bado hamjasema nyie Uto....

Kalpana
 
Mbona chama yuko vizuri tu, pamoja na kwamba unasema hana kasi ila ni mwepesi wa kutoa pasi kwa haraka kwa hao unawaona wewe wana kasi.
 
Usajili wa Chama na Baleke ulikua ni wa kisiasa zaidi kuliko matakwa ya kocha.

Yanga ilishakamilika katika eneo la kiungo sikuona sababu ya kumleta Chama ambaye umri wake umeenda na uwezo umeshuka.

Hili suala wasipoliweka vizuri litaleta shida sana kwenye timu yetu.
 
Back
Top Bottom