Kumbe kweli mkuu umeumia😂Wewe Messi anakujua hadi uamue kuwa msemaji wangu?
Wamatumbi bhana [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
HaitatokeaSijawahi kushuhudia binadamu bora wa kandanda duniani zaidi ya Ronaldinho, dunia inakuhusudu sana mzee Gaucho.
Hao awamfikii Gaucho ata roboNadhani wewe sio mwanampira, umekariri "old is gold" Messi hata asipofunga unafurahia anavyocheza
Huyo gaucho mbali na kupiga kanzu, kipi kingine cha maana!! Chenga hamfikii hata robo Messi na Maradona
So, acha kukariri
Timu Andunje mna psycopath disoders rudini Mirembe haraka sana [emoji38]Kumbe kweli mkuu umeumia[emoji23]
Sema usikonde Ronaldo naye mwamba atakumbukwa kwa rekodi yake ya magoli
Kwamba yeye adebayo ndie alistahili mshindi wa ballon 😄 chumvi hizi!Hakika umesema hizi ni biashara. Kuna mwaka Adebayor alilalamika, alipewa taarifa yeye ndiye mshindi akasema Kwa bahati mbaya hawezi kufika kwenye tuzo sababu ana mechi muhimu. Kilichotokea wakamwambia kama haendi atachaguliwa mchezaji mwingine, na hakika ndicho kilichotokea. Tuzo za kijanja kijanja.
Kama hujaelewa nilichoandika basi Walimu wako walikuwa na kazi sanaKwamba yeye adebayo ndie mshindi wa ballon 😄 chumvi hizi!
Anduje ni nani?Andunje anayejipiga kifuani mara 3 na kujiona ana mahaba na Messi ilihali hata Messi mwenyewe hamtambui na hana hata haja ya kumtambua kwa kushabikiwa naye [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
kwa hyo wewe kusema hakuna wa kufananishwa na andunje ndo mwanampira siyo, kila anayekuwa na mawazo tofauti na wewe kuhusu andunje siyo mwanampira siyo, mkuu unataka ulimwengu wote uwaze kama wewe? hlo linawezekana kwel
Wapo walosema hastahili na wapo walosema anastahili.
Lewandowski alipata mafanikio ya klabu peke yake pamoja na huyo halland na katika mafanikio binafsi Messi alikua juu kitakwimu.
2023 alipata kwa ubora aloonesha kombe la Dunia 2022 na kwa kuwa mchezaji Bora kombe la Dunia na kuweka rekodi duniani kuwa Toka kombe la dunia kuanza yeye ndiye mchezaj pekee kubeba golden ball nyingi wengine wote wamebeba Moja moja.
We ungempa nani??
Kwa Mimi ballon zote 8 ni halali kwa alivyochukua.
Maana hao kina halland na lewandowski Wana mafanikio ya sehem moja hata ukiyalinganisha bado Messi anaonekana yupo juu.
Beki zimeteseka sana kwa messi shahidi boateng
Fatilia alipokuwa akipokea tuzo za Ballon D'Or 2021 & 2023 alichoongea akiwa na wapinzani hao mbele ya jopo la Watu mbali mbali.
Google itakurahisishia majibu mubashara kabisa
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
mkuu upo sawa kichwani?Hujalazimishwa na mtu umkubali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazee kutwa vijiweni ha ha ha haWazee muwe mnapumzika nyumbani kulea wajukuu!
Asante.
Duh! Adebayor na ballon d'or!? Mwaka gani huo chief?Hakika umesema hizi ni biashara. Kuna mwaka Adebayor alilalamika, alipewa taarifa yeye ndiye mshindi akasema Kwa bahati mbaya hawezi kufika kwenye tuzo sababu ana mechi muhimu. Kilichotokea wakamwambia kama haendi atachaguliwa mchezaji mwingine, na hakika ndicho kilichotokea. Tuzo za kijanja kijanja.
Beki zimeteseka sana kwa messi shahidi boateng
Wapo wengi sana makipa nao wapo wa kushuhudia maajabu ya LM 10Kabisa, roberto carlos nae anajua kilichomtokea 😄