Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angemalizia kwa kusema: kwanza ligi ya Tanzania ni ya hali chini sana, ndiyo maana hatukufanya mazoezi yoyote.
Siyo Aziz Ki tu, timu nzima hivi sasa iko bize kwenye maandalizi ya harusi.Angemalizia kwa kusema: kwanza ligi ya Tanzania ni ya hali chini sana, ndiyo maana hatukufanya mazoezi yoyote.
Aziz K ana anafunga harusi na Mobeto Jnne ijayo kwa hiyo mawazo yako kwenye K tu.
Atulize mshono. Angeshinda jana asingebwabwaja.
Kwani anacheza peke yake
K vant au k Misa.Angemalizia kwa kusema: kwanza ligi ya Tanzania ni ya hali chini sana, ndiyo maana hatukufanya mazoezi yoyote.
Aziz K ana anafunga harusi na Mobeto Jnne ijayo kwa hiyo mawazo yake muda wote yako kwenye K tu.
Sasa JKT si ni team ndogo tu. Sisi tuna kikosi kipana.Kesho jkt anacheza,na katoka kucheza Jana...sasa sjui mna la kujitetea?