Kocha mpya Simba ni lazima aendane na falsafa ya timu

Kocha mpya Simba ni lazima aendane na falsafa ya timu

Sisi hatuitaji timu inayo tegemea bahati kushinda bali tunahitaji timu inayo cheza mpira una eleweka ,ebu fikiria mpila ulio chezwa na simba jana baada ya chama kutoka alafu ndo mnacheza na Casabranca kwenye makundi ya ligi ya mabingwa nini kingetokea si ilikuwa ni kuoga magoli?

unazungumzia timu mbili tofauti hapo, kila mtu au kila kocha anakuja na mfumo wake

kwa hayo mawazo yako basi tusiwe na kocha, wakati wa mechi list si inajulikana? wacheze tu

why mnataka kuwe na kocha na hamtaki mawazo yake?

huo ni ujinga
 
KOCHA AKILI HANA CHAMA NI LAZIMA AANZE SABABU NDIO MCHEZAJI BIRA NA TEGEMEO NA SIMBA INAUNDWA KUOITIA CHAMA...NINA HAKIKA SIMBA YA MGUNDA NA CHAMA ILIPATA GOLI 5 ZIKAJA 5 IKAJA 7 HII YA HUYU FALA HATA GOLI 4 HAIWEZI KUPATA VIONGOZI WANGEMUACHIA MGUNDA MSIMU AMALIZE

kama ni hivyo basi tusiwe na kocha, tunaitaji kocha wa nini?

haiwezekani kocha afate mchezo wa mchezaji never, hata chama alivyokuwa anacheza zambia na tz ni tofauti hata anavyocheza nation team ya zambia mbona tofaut? hata bekane mbona likuwa tofauti? hayo yote ni kutokana na mifumo ya walimu
 
Ww ndo hujui lolote kila timu duniani ina farsafa yake na kocha akija anatakiwa kuiboresha na sio kuibadilisha.
Mfano Baserona farsafa yake ni kucheza mpila wa pasi kocha hawezi kwenda pale akaleta falsafa ya kubutua butua ukavumiliwa.

Kama kocha anahukumiwa na matokeo basi mechi ya jana yame muhukumu, hivi kama timu ina shindwa kumiliki mpila mbele ya mbeya city iliyo pungufu je ungekuwa inacheza na Casabranca iliyo kamili Kwenye makundi ya ligi ya mabingwa?

jifunze kumheshim mpinzani
 
kama ni hivyo basi tusiwe na kocha, tunaitaji kocha wa nini?

haiwezekani kocha afate mchezo wa mchezaji never, hata chama alivyokuwa anacheza zambia na tz ni tofauti hata anavyocheza nation team ya zambia mbona tofaut? hata bekane mbona likuwa tofauti? hayo yote ni kutokana na mifumo ya walimu
Sasa yeye kama kocha anatakiwa kumfanya chama aendane na mfumo wake kama wenzake walio tangulia na sio kumuweka benchi.
Mnasema chama ni mtaratibu lakini kipindi cha Uchebe simba ilikuwa inacheza mpila wa kasi sana na bado Chama alikuwa hawekwi benchi.

Yaani Chama ambaye hakukaa benchi kipindi simba ina wachezaji kama Miqson,Kahata,Fraga,kotei, Bwaliya aje akae benchi timu ikiwa na akina kibu ?
 
Sasa yeye kama kocha anatakiwa kumfanya chama aendane na mfumo wake kama wenzake walio tangulia na sio kumuweka benchi.
Mnasema chama ni mtaratibu lakini kipindi cha Uchebe simba ilikuwa inacheza mpila wa kasi sana na bado Chama alikuwa hawekwi benchi.

Yaani Chama ambaye hakukaa benchi kipindi simba ina wachezaji kama Miqson,Kahata,Fraga,kotei, Bwaliya aje akae benchi timu ikiwa na akina kibu ?
Zoran,Ibenge, Robertinho hawa wote ni vichaa??
Chama kwa kocho yeyote mwenye kutaka mpira wa Kasi atampiga benchi tu.

Ana mpira wa kizamani
 
Zoran,Ibenge, Robertinho hawa wote ni vichaa??
Chama kwa kocho yeyote mwenye kutaka mpira wa Kasi atampiga benchi tu.

Ana mpira wa kizamani
Hivi kuna simba iliyo kuwa inacheza mpila wa kasi kama simba ya Uchebe na kishingo? mbona aliweza kucheza?
 
Falsafa kwenye mpira ni kitu ipo.Brasil,Germany,Spain,Real Madrid,Barcelona n,k izo timu zina falsafa zake.
lakini pia kuna falsafa za makocha.
hayo mambo kwenye mpira yapo ndugu zangu.
 
Kocha mpya wa Simba ni lazima aendane na falsafa ya timu asitake kutuletea falsafa zake zisizo eleweka hapa. Inajulikana siku zote kuwa Simba falsafa yake ni kuanzisha mashambulizi kwa kutumia viungo na sio mawinga hilo anatakiwa kulijua tofauti na hapo maisha yake ndani ya Simba ni mafupi sana.

Timu inayo amini kutengeneza mashambulizi kupitia mawinga ni Utopolo na ndio maana inapenda kusajili wachezaji wanao kimbia kimbia hovyo kama vichaa.

Mechi ya jana uwezo binafisi wa wachezaji ndo umeamuwa matokea na sio mbinu jana Simba kipindi cha pili ilicheza mpila wa hovyo kabisa, kwa sababu ya kukosa kiungo wa kuchezesha timu baada ya chama kutoka.

Anacho takiwa ni kuhakikisha chama anaingia kwenye mfumo wake na sio kumpiga bechi, watu wanasema eti chama ni mchezaji wa taratibu lakini wanasahau kuwa kipindi cha Uchebe na kishingo Simba ilikuwa inafanya mashambulizi kwa kasi ya ajabu na Chama alikuwa miongoni mwa hicho kikosi.

Kama hawezi kufuata falsafa ya Simba asepe tu sisi tunahitaji mpira wa kutumia akili na sio mipira ya kushika na kubutua mbele ili wachezaji wakimbizane kama vichaa kwenda kufunga.
Sio kila mechi kocha atacheza kwa mfumo wake ule ule mwanzo mwisho kuna siku mambo yatakataa atalazimika kutumia plan b hata gadiora kuna siku anapelekewa moto mpaka anaamua kupaki basi.
 
Yaani mnamuabudu sana mungu wenu chama, madunduka hamna akili.
 
Falsafa ya timu ni ipi au ndo lazima chama acheze dk 90 , sku akifa vip na falsafa inabadrika ?
 
Sasa yeye kama kocha anatakiwa kumfanya chama aendane na mfumo wake kama wenzake walio tangulia na sio kumuweka benchi.
Mnasema chama ni mtaratibu lakini kipindi cha Uchebe simba ilikuwa inacheza mpila wa kasi sana na bado Chama alikuwa hawekwi benchi.

Yaani Chama ambaye hakukaa benchi kipindi simba ina wachezaji kama Miqson,Kahata,Fraga,kotei, Bwaliya aje akae benchi timu ikiwa na akina kibu ?

Jiulize why nation team ya Zambia kocha haingii kwenye mfumo wa chama?

Why alipokuwa bekane alikuwa anakaa bench because kocha anamfumo wake ambao Kwa chama haufaction?

And why ni lazima kocha wa Simba awe kwenye mfumo wa chama na sio timu mzima?

So hata kama tunafungwa au timu inaelemewa chama aendelee kucheza Tu?

Ushabiki gani huo?

Me ni Simba dam dam kabisa but Kwa ishu ya Jana kocha alifanya Jambo sahihi
 
Jiulize why nation team ya Zambia kocha haingii kwenye mfumo wa chama?

Why alipokuwa bekane alikuwa anakaa bench because kocha anamfumo wake ambao Kwa chama haufaction?

And why ni lazima kocha wa Simba awe kwenye mfumo wa chama na sio timu mzima?

So hata kama tunafungwa au timu inaelemewa chama aendelee kucheza Tu?

Ushabiki gani huo?

Me ni Simba dam dam kabisa but Kwa ishu ya Jana kocha alifanya Jambo sahihi
Kwa hiyo jana kipindi chama anatoka simba ilikuwa imezidiwa?
 
Kwa hiyo jana kipindi chama anatoka simba ilikuwa imezidiwa?

Yes, katikati ilikuwa imezidiwa, na saidoo na chama walikuwa wanafanya kazi moja, ndio maana akamwingiza sako

Na kibu

Kibu ni mbaya yes but analeta presha Kwa mpinzani, ana speed, ana nguvu, ila maamuzi yake ya mwisho ndio shida
 
Uzuri wa soka letu la bongo kila mtu ni mchambuzi, ni kocha...
Mfano mzuri ni mtoa maada
 
Back
Top Bottom