Kocha mpya wa Yanga hana sifa za kuwa Kocha Mkuu wa Ligi Kuu ya Tanzania

Kocha mpya wa Yanga hana sifa za kuwa Kocha Mkuu wa Ligi Kuu ya Tanzania

Acha kuweweseka
Ndio unachojua Mjinga wewe.

Mpira Hujui kanuni Hujui umebaki na mipasho tuu.

Haya tueleze unachofahamu kuhusu hizo kanuni? Huwezi jibu,empty head.

Kule dogo wakuitwa its pancho kakuchana na kakupa point za kutosha na ni yanga mwenzio kabisa.
Kila mtu anakuambia dogo kachambua vitu wazi wazi na vinafact wewe unakuja kuandika Yanga Bingwa unakimbia
 
Ana kibali cha kufanyakazi Tanzania
sawa ana kibali cha kufanya kazi kwani kibali knakuwa issued genral tuu au in specify exactly work permit kufanya kazi katika muajiri husika. nikimaanisha kwamba ukibadilisha muajiri basi ni lazima utafute permit mpya na huwezi kutumia hiyo ya previous employer
 
  • Thanks
Reactions: Tui
View attachment 3225734
🚨 Kama Bodi ya Ligi Kuu Tanzania na idara ya ufundi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) watasimamia vyema kanuni za Ligi Kuu msimu huu, hakuna namna Kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud atalazimika kushushwa cheo na kuwa kocha msaidizi kwa daraja lake la leseni halitoshi kumfanya awe kocha Mkuu wa timu inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC na badala yake anapaswa kuwa msaidizi.
.
Yanga ilianika hadharani wasifu wake ambao ulionyesha kuwa Mualgeria huyo ana leseni daraja A iliyotolewa na Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (Uefa).
.
Kanuni ya 77 ya Ligi Kuu imefafanua sifa za kocha mojawapo ikiwa ni hadhi ya leseni inayofafanua kuwa kocha mwenye leseni kutoka nje ya Afrika anapaswa kuwa na ngazi ya Pro Diploma ambayo kwa Afrika ni sawa na Diploma daraja A.
.
3.1 “Kocha mkuu wa klabu ya Ligi Kuu kutoka nje ya bara la Afrika anatakiwa kuwa na angalau Pro Diploma au inayolingana nayo. 3.2 Kocha msaidizi wa klabu ya Ligi Kuu kutoka nje ya bara la Afrika anatakiwa kuwa na angalau A Diploma au inayolingana nayo.
.
“Kocha wa timu ya Ligi Kuu kutoka nje ya Tanzania ni lazima awe amefundisha klabu ya Ligi Kuu au timu ya Taifa katika nchi yoyote ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita,” inafafanua kanuni hiyo
.
Wakati kanuni zikimbana Miloud, kocha msaidizi Abdihamid Moalin yeye ana sifa stahiki za kuliongoza benchi la ufundi la Yanga kwa vile ana leseni daraja A inayotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika
Uto..chalii.jpg
 
View attachment 3225734
🚨 Kama Bodi ya Ligi Kuu Tanzania na idara ya ufundi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) watasimamia vyema kanuni za Ligi Kuu msimu huu, hakuna namna Kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud atalazimika kushushwa cheo na kuwa kocha msaidizi kwa daraja lake la leseni halitoshi kumfanya awe kocha Mkuu wa timu inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC na badala yake anapaswa kuwa msaidizi.
.
Yanga ilianika hadharani wasifu wake ambao ulionyesha kuwa Mualgeria huyo ana leseni daraja A iliyotolewa na Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (Uefa).
.
Kanuni ya 77 ya Ligi Kuu imefafanua sifa za kocha mojawapo ikiwa ni hadhi ya leseni inayofafanua kuwa kocha mwenye leseni kutoka nje ya Afrika anapaswa kuwa na ngazi ya Pro Diploma ambayo kwa Afrika ni sawa na Diploma daraja A.
.
3.1 “Kocha mkuu wa klabu ya Ligi Kuu kutoka nje ya bara la Afrika anatakiwa kuwa na angalau Pro Diploma au inayolingana nayo. 3.2 Kocha msaidizi wa klabu ya Ligi Kuu kutoka nje ya bara la Afrika anatakiwa kuwa na angalau A Diploma au inayolingana nayo.
.
“Kocha wa timu ya Ligi Kuu kutoka nje ya Tanzania ni lazima awe amefundisha klabu ya Ligi Kuu au timu ya Taifa katika nchi yoyote ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita,” inafafanua kanuni hiyo
.
Wakati kanuni zikimbana Miloud, kocha msaidizi Abdihamid Moalin yeye ana sifa stahiki za kuliongoza benchi la ufundi la Yanga kwa vile ana leseni daraja A inayotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika
Kwani huwa unahangaika na Yanga wakati wewe ni Simba? Una roho ya kichawi
 
Unajua msiwe mnadandia dandia tu vihabari kwenye mitandao bila kujiridhisha,,unasema hana sifa za kukaa kwenye benchi la yanga,,swali ni Moja tu na ulijibu imekuwaje tff wakampa leseni ya kuifundisha timu ya ligi kuu kama hana sifa stahiki?
Tff wasingempa leseni kama akidhi vigezo,,au pale singida alikuwa anaenda kuwa kocha msaidizi?
Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa kuwa mie nimenukuu taarifa rasmi ya Kla bu ambayo Yanga imetoa kuhusu elimu yake na si mawazo yangu.Vinginevyo ungeilaumu timu yako kwa kudanganya kuhusu sifa za kielimu za kocha wenu.Pia ungekuwa makini ungezijua kanuni zinasemaje juu ya sifa za makocha wa ligi kuu,hizi hapa sifa za kuwa Kocha Mkuu wa Ligi Kuu
 

Attachments

  • Screenshot_20250205-133426.png
    Screenshot_20250205-133426.png
    222.7 KB · Views: 2
  • Nzuri
Reactions: Tui
View attachment 3225734
🚨 Kama Bodi ya Ligi Kuu Tanzania na idara ya ufundi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) watasimamia vyema kanuni za Ligi Kuu msimu huu, hakuna namna Kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud atalazimika kushushwa cheo na kuwa kocha msaidizi kwa daraja lake la leseni halitoshi kumfanya awe kocha Mkuu wa timu inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC na badala yake anapaswa kuwa msaidizi.
.
Yanga ilianika hadharani wasifu wake ambao ulionyesha kuwa Mualgeria huyo ana leseni daraja A iliyotolewa na Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (Uefa).
.
Kanuni ya 77 ya Ligi Kuu imefafanua sifa za kocha mojawapo ikiwa ni hadhi ya leseni inayofafanua kuwa kocha mwenye leseni kutoka nje ya Afrika anapaswa kuwa na ngazi ya Pro Diploma ambayo kwa Afrika ni sawa na Diploma daraja A.
.
3.1 “Kocha mkuu wa klabu ya Ligi Kuu kutoka nje ya bara la Afrika anatakiwa kuwa na angalau Pro Diploma au inayolingana nayo. 3.2 Kocha msaidizi wa klabu ya Ligi Kuu kutoka nje ya bara la Afrika anatakiwa kuwa na angalau A Diploma au inayolingana nayo.
.
“Kocha wa timu ya Ligi Kuu kutoka nje ya Tanzania ni lazima awe amefundisha klabu ya Ligi Kuu au timu ya Taifa katika nchi yoyote ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita,” inafafanua kanuni hiyo
.
Wakati kanuni zikimbana Miloud, kocha msaidizi Abdihamid Moalin yeye ana sifa stahiki za kuliongoza benchi la ufundi la Yanga kwa vile ana leseni daraja A inayotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika
Wacha tuone mwigulu ataiamua vipi hii kesi anaweza mpa uraia muda wowote!
 
On

Ona hii mbumbumbu, Zorani, Robertinho na Benchichak walifundisha misimu mingapi?
Zoran alikuwa kocha 2022.Benchikka na Robertinho msimu wa 2023.
Rekodi ya kufundishwa na makocha watatu kwa msimu mmoja bado inashikiliwa na Gongowazi.
 
On

Ona hii mbumbumbu, Zorani, Robertinho na Benchichak walifundisha misimu mingapi?
Dah.. Rekodi ziko hivi topolo. Hao makocha hawakufundisha musimu mmoja

Juni 2022 - Septemba 2022
Zoran Mac

Januari 2023 - Novemba 2023
Roberto 'Robertinho' Olivieira

Novemba 2023 - Aprili 2024
Abdelhak Benchikha
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa kuwa mie nimenukuu taarifa rasmi ya Kla bu ambayo Yanga imetoa kuhusu elimu yake na si mawazo yangu.Vinginevyo ungeilaumu timu yako kwa kudanganya kuhusu sifa za kielimu za kocha wenu.Pia ungekuwa makini ungezijua kanuni zinasemaje juu ya sifa za makocha wa ligi kuu,hizi hapa sifa za kuwa Kocha Mkuu wa Ligi Kuu
Taarifa rasmi ya klabu imesema hana sifa ya kukaa kwenye benchi? Ebu tuonyeshe iyo taarifa ya klabu iliyosema icho unachokizungumzia,, Mbona unakuwa kama mwezi mchanga? Bodi ya ligi na tff walimpaje leseni ya kufundisha kama walijua amevunja kanuni?
 
Back
Top Bottom