Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchuro wewe.Duh! Nasikia Simba wanampango nae!
Aisee! kuna goal wamenyimwa au kuna goal la offside au penalty?Refa nae kawaminya sana Gwambina
Na si hao wawili tu kumbukeni hata Mwambusi nae amekatiza mahojiano kwa hasira na mwanahabari wa Azam aliyekua akiulizia tathmini ya mchezo na hali ya klabu inavyokwenda kua baada ya mapokezi ya kocha mpya.Nahisi kuna mgawanyiko/Makundi miongini mwa wachezaji/benchi la ufundi.
Hata saikolojia yake ya usoni haikuwa nzuri achilia mbali Deus Kaseke.
Una maana hana namba pale? Hahahahaaaah!
Mwambusi player management ni zero, timu ina mpasuko, viongozi wachukue hatua ya kumtoa Mwambusi haraka, he has lost the dress room.Wataalam wa mambo njooni mtujuze.
tukio gani mfano?Utopolo wamebebwa sana leo kama kawaida yao.
Wasipobebwa wanalalamikia waamuzi.
Huu no uropokajiRefa nae kawaminya sana Gwambina
Hukuwa na aggression yeyoteHata TK Master alichokuwa akicheza leo kimenifikirisha sana
Huu ni uropokajiUtopolo wamebebwa sana leo kama kawaida yao.
Wasipobebwa wanalalamikia waamuzi.
Tk,yacouba na Kaseke hawakutakiwa kuanza kipindi cha piliHata TK Master alichokuwa akicheza leo kimenifikirisha sana
Hata ukiangalia uso wa kocha Juma Mwambusi baada ya kitendo cha Saidoo na kaseke hakua mwenye furaha.Nahisi kuna mgawanyiko/Makundi miongini mwa wachezaji/benchi la ufundi
Hata saikolojia yake ya usoni haikuwa nzuri achilia mbali Deus Kaseke
Amekutana na beki anayetumia akili sa unategemea angechomokaHata TK Master alichokuwa akicheza leo kimenifikirisha sana
Asije akawa kaona kwa vile anaondoka ameamua kuigawa timu, huyu juma aondoke tu hakuna namna atatuvuruda.hata ukiangalia uso wa kocha Juma mwambusi baada ya kitendo cha Saidoo na kaseke hakua mwenye furaha.
Wamenyimwa matuta ma4, cheki YouTube utaona.Aisee! kuna goal wamenyimwa au kuna goal la offside au penalty?