Kocha Nabi Kaisuka Yanga SC kwa miaka Miaka Miwili, Kocha Oliveira Kaisuka Simba SC kwa Miezi Minne je, yupi ni Bora?

Kocha Nabi Kaisuka Yanga SC kwa miaka Miaka Miwili, Kocha Oliveira Kaisuka Simba SC kwa Miezi Minne je, yupi ni Bora?

Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
Nyuzi za kujifariji baada ya kutoka udangani
 
Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
Gentamycine,kwa hili hapana!
Simba iliyosukwa na kusukika ilikuwa ya Uchebe tu.
Hii ikiyopo ni lhefu iliyochangamka.
 
Njoeni lile popoma limeanza mada zinazoendana na akili yake

Alex Ferguson alikua mda gani kuisuka Manchester united hadi falsafa yake kueleweka?

Pitso Mosimane alikaa na al ahly kwa muda gani mpaka wachezaji kumwelewa?
 
Ncha Kali .

Nabi sio PROFESA.

Naomba IFUTE Hilo Neno.

Mtu Hana hata Degree Moja, unamwitaje PROFESA!!!!!

Hakuna Cha maana alichokifanya, Wala Kugundua kufungwa na Simba, kufungwa na Ihefu vipers Alhilal mnamwita PROFESA. Shame.

Na kwenye LIGI KUU Simba hainafungwa miaka miwili na Nabi.


PROFESA Looser.
Wivu utakuua mkurugenzi. Kwani Profesa J ana digrii ngapi? Profesa Maji Marefu mpaka anafariki, akikuwa ana digrii ngapi? Dr. Msukuma ana digrii ngapi?

Anza kwanza na hawa kabla ya kumsakama Profesa wetu Nabi.
 
Robetinho anajua sana, Nabi shahidi alikalishwa 2-0 nyingine kibao zikagonga mwamba..
 
Ncha Kali .

Nabi sio PROFESA.

Naomba IFUTE Hilo Neno.

Mtu Hana hata Degree Moja, unamwitaje PROFESA!!!!!

Hakuna Cha maana alichokifanya, Wala Kugundua kufungwa na Simba, kufungwa na Ihefu vipers Alhilal mnamwita PROFESA. Shame.

Na kwenye LIGI KUU Simba hainafungwa miaka miwili na Nabi.


PROFESA Looser.
Sasa kama uprofesa wa nabi unakuuma je wa profesa j wamitulinga
 
Ncha Kali .

Nabi sio PROFESA.

Naomba IFUTE Hilo Neno.

Mtu Hana hata Degree Moja, unamwitaje PROFESA!!!!!

Hakuna Cha maana alichokifanya, Wala Kugundua kufungwa na Simba, kufungwa na Ihefu vipers Alhilal mnamwita PROFESA. Shame.

Na kwenye LIGI KUU Simba hainafungwa miaka miwili na Nabi.


PROFESA Looser.
Sisi tunachojua ni prof. Hayo nengine ni chuki binafsi kama kakuchukulia demu wako. Alafu kakufunga mara nne toka amekuja tz, wew umeambulia ushindi mara mbili na draw 3. Usijitie mjuaji record zipo tena kaa kimyaa
 
Kwa tulisoma Saikolojia na hata kuwa Wakufunzi / Walimu tukiona Mwanafunzi anamwelewa Mwalimu kwa muda mfupi huamini huyo Mwalimu ni mahiri ila tukiona kuna Mwalimu kaeleweka na Wanafunzi kwa muda mrefu haraka sana huwa tunamtilia Mashaka na hata Kuamuru Uchunguzi wa Kitaaluma ufanyike kwa huyo Mwalimu.
RAGE aliwaita mbumbumbu na hilo naendelea kuamini. Kwa akili ya kawaida tu ungeangalia kila kocha aliikuta timu ina hali gani. Nabi kaingia Yanga timu ndiyo kwanza ilikuwa inaanza kujitafuta na wachezaji wanaingia na kutoka, wakati huyu mwingine kakuta timu iko robo fainali. Nadhani tuombe Mungu uzima mwaka kesho Hawa makocha wote kwenye ligi wawepo ili tuheshimiane.
 
Tukiweka unazi mbali,robertinho na nabi wamekutana mara tatu ila mara zote nabi hajawahi kumfunga mbrazil....so nani mkali zaidi...jibu liko wazi
 
Back
Top Bottom