Kocha Nabi leo umepoteza point 3 muhimu kutokana na selection ya wachezaji kipindi cha kwanza

Kocha Nabi leo umepoteza point 3 muhimu kutokana na selection ya wachezaji kipindi cha kwanza

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.

Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.

Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.

Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.

Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
 
Kikosi Cha kwanza Binafsi sikukikubali Ila labda ni tension ya michuano mikubwa ya CAF..

Yaan haikubidi kabisa tuwaruhusu hawa Makolo waongeeongee maana wao wako too frustrated,, Timu hawana, Head-coach hawana , Uongozi hawana na Zeran kawakimbia kaona hii Timu ni ya Wababaishaji.. sio maneno yangu lakini ni Maneno ya Yule jamaa kutoka pale Kolokoloni FC
 
Mpira wa bongo umejaa majungu sana.


Yaaani Simba na Yanga wao kutoa droo au kufungwa ni dhambi kubwa!
 
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara, Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea, pia defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho, Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu, chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango
Yaan line ya kwanza ttu imenitia kichefuchefu... hata ungepanga kikosi chako leo ungekaa tyu! na bahati yako....
 
Draw moja tu kelele zote hizo?? Tena mshukuruni yule refa wa mchongo.
 
Yanga tulikosa utulivu, tulipata nafasi nyingi na tulifika maranyingi golini Kwa Azam ila hatukutumia nafasi tulizo zipata.Azam walifika marachache golini Kwa Yanga ila walikua hatari.
 
Utopolo mshukuruni refa
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara, Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea, pia defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho, Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu, chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango
 
Wale makoroni nawahurumia na timu yao ya kuungaunga sidhani kama wataambulia point yoyote mbele ya Azam hii, Yanga wameonyesha siyo timu ya kubip na unatakiwa kusubili mpira huishe ndo uamini umeshinda vinginevyo magoli yatarudi na utagongeshwa tu, Ni ubora wa timu waliyonayo ndio unaowapa jeuri, ingekuwa ndo simba hii Azam wangekuwa wamemaliza biashara mapema sana
 
Wale makoroni nawahurumia na timu yao ya kuungaunga sidhani kama wataambulia point yoyote mbele ya Azam hii, Yanga wameonyesha siyo timu ya kubip na unatakiwa kusubili mpira huishe ndo uamini umeshinda vinginevyo magoli yatarudi na utagongeshwa tu, Ni ubora wa timu waliyonayo ndio unaowapa jeuri, ingekuwa ndo simba hii Azam wangekuwa wamemaliza biashara mapema sana
Mshukuruni refa wa mchongo nyingi uto.
 
Kikosi Cha kwanza Binafsi sikukikubali Ila labda ni tension ya michuano mikubwa ya CAF..

Yaan haikubidi kabisa tuwaruhusu hawa Makolo waongeeongee maana wao wako too frustrated,, Timu hawana, Head-coach hawana , Uongozi hawana na Zeran kawakimbia kaona hii Timu ni ya Wababaishaji.. sio maneno yangu lakini ni Maneno ya Yule jamaa kutoka pale Kolokoloni FC
Vipi bila refa wa mchongo kuwabeba ungepata nguvu ya kuongea
 
Wale makoroni nawahurumia na timu yao ya kuungaunga sidhani kama wataambulia point yoyote mbele ya Azam hii, Yanga wameonyesha siyo timu ya kubip na unatakiwa kusubili mpira huishe ndo uamini umeshinda vinginevyo magoli yatarudi na utagongeshwa tu, Ni ubora wa timu waliyonayo ndio unaowapa jeuri, ingekuwa ndo simba hii Azam wangekuwa wamemaliza biashara mapema sana
Kwa hisani ya refa wa mchongo
 
Leo nabi kazingua sana aziz ki leo kiwango chini,mayele kiwango chini ubinafsi wa kutoa pasi ktk kufunga yaani
 
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.

Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.

Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.

Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.

Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
Dah umeniwahi mkuu, sijui makocha wanakuwaga na matatizo gani, yaani ukiwaletea wachezaji wazuri anakuwa kama vile karogwa anashindwa kupanga kikosi kinachoeleweka kulingana na ubora wa kikosi ulichonacho. Yanga walikuwa wanaimaliza game mapema tu ila ujinga wa Nabi ndio ilitufanya tupoteze alama 2 tena na kashfa juu kuwa kwa msaada wa refa. Mpaka leo anashindwa kikosi chake cha uhakika panga pangua ni kipi. Game ya Polisi kafanya kosa hilo hilo ila almanusura kupata aibu. Mechi ya Simba tena kosa hilo hilo na timu imenusurika kuchapika. Leo tena kafanya kosa hilo hilo pia almanusura
 
Vipi bila refa wa mchongo kuwabeba ungepata nguvu ya kuongea
Nitajie Goli la mchongo tulilofunga Yanga.. me nakumbuka magoli yote ni kama Yale Tuliwafunga nyie Makolo.. ule mkwaju wa kwanza, Feisali kalirudia kama lipo alilowatoboa kule Arusha.. Lile la pili duuuh, Njoo ubishe kama uwongo wewe Kolo
 
Wale makoroni nawahurumia na timu yao ya kuungaunga sidhani kama wataambulia point yoyote mbele ya Azam hii, Yanga wameonyesha siyo timu ya kubip na unatakiwa kusubili mpira huishe ndo uamini umeshinda vinginevyo magoli yatarudi na utagongeshwa tu, Ni ubora wa timu waliyonayo ndio unaowapa jeuri, ingekuwa ndo simba hii Azam wangekuwa wamemaliza biashara mapema sana

Hivi unapata wapi guts za kuongea pumba hizi! Kwa mpira gani mulio nao hasa. Leo Utopolo alikua amekufa, bila goli la kwanza la mchongo, mpira umetoka nje refa anapeta, Azam kanyimwa penalty ya bure kabisa.
Lakini huu mchongo haupo kwenye mechi za Kimataifa.
 
Wale makoroni nawahurumia na timu yao ya kuungaunga sidhani kama wataambulia point yoyote mbele ya Azam hii, Yanga wameonyesha siyo timu ya kubip na unatakiwa kusubili mpira huishe ndo uamini umeshinda vinginevyo magoli yatarudi na utagongeshwa tu, Ni ubora wa timu waliyonayo ndio unaowapa jeuri, ingekuwa ndo simba hii Azam wangekuwa wamemaliza biashara mapema sana
kwani hela aliyolipwa aragija hatuwezi kui double? si kuhonga tu kwa mwazmuzi mchezo unaisha shida za nini sasa
 
Hivi unapata wapi guts za kuongea pumba hizi! Kwa mpira gani mulio nao hasa. Leo Utopolo alikua amekufa, bila goli la kwanza la mchongo, mpira umetoka nje refa anapeta, Azam kanyimwa penalty ya bure kabisa.
Lakini huu mchongo haupo kwenye mechi za Kimataifa.

 
Back
Top Bottom